Zitto ataka wanaoikosoa ACT-Wazalendo waanzishe chama chao

Tundu amewaambia muingie road mpinge uchaguzi hamjaenda,hawa viongozi mnataka wafuate matakwa yenu tu,wakiwaambia mfuate yao hamtaki
Kuingia barabarani kuna watu watauwawa na kuachiwa vilema, wao wasipoungana na hao wezi wa kura na wamwaga damu, ni watu wangapi watakufa na kupata vilema?
 
Zitto na Maalim Seif wamechukua Dola milion 5 cash wamegawana kimya kimya ndiyo maana Zitto kaanza kuwa na kiburi cha kishamba
Haya madai ni mazito lakini siwezi kushangaa kwa sababu huyo jamaa amesemwa sana huko nyuma kuwa ni mlaji mkubwa wa hongo.

Hata safari hii sidhani kama Jiwe na genge lake waliweka mpunga mezani ili hawa jamaa watulie au waingie serikalinj basi hawa jamaa walilaza damu, kuna kila dalili ya hongo kwa hawa jamaa kukubali kuingia serikalini huko Zanzibar
 
Jibu zuri sana. Lengo la siasa sio kuishi kwa uhasama muda wote. Binadamu kapewa siku chache sana chini ya jua.

Maendeleo kwanza siasa baadae. Zitto katazama pia namna yeye anavyofaidika kwa viongozi wa chama chake kuwa na nafasi serikalini.

Maisha ya nongwa muda wote ni upuuzi uliopitiliza, wanasiasa wa TZ lazima wajifunze.
 

Hao viongozi kadhaa wa CDM walioenda kwenye sherehe za uhuru huko Mwanza kutaka maridhiano, sisi wafuasi wao tuliwapinga waziwazi na tuliwapa ukweli wao. Kimsingi walijikuta wenyewe bila support yetu sisi washabiki wao. Haya tunayomwambia Zitto leo, hata viongozi wa CDM walioenda kutaka maridhiano uchwara tuliwananga, na post za kupinga ule upuuzi wa viongozi kadhaa wa CDM zipo humu humu jukwaani.
 

Unaijuia na kuilewa dolla Milioni 1 US kwanza au unataja tu namba ? Ungeanza na kuilewa US Dola laki moja kwanza , Zitto Kabwe alipwe 5 million USD halafu aendelee kuganga njaa kwenye Siasa zisizo na mbele wala nyuma ? Unajua CHADEMA walikuwa wanalipwa ruzuku kiasi gani na Serikali kwa mwezi? Anzia hapo halafu labda utapata idea ya 5 million USD ni nini, labda kwa kukusaidiatu kama chadema walilipwa shilingi milioni 300/mwezi hiyo hiyo haifiki hata dola laki moja na nusu achilia mbali dola laki tano na wala sijagusia dola laki 7, 8, 9 mpaka 1 million USD, ...
 
Njaa bwana. Imewapasa wale nguruwe ili waishi. Ndiyo sababu ya hasira hizo.
 
Zitto yuko sahihi, anzisha chama chako maana ACT ni mali ya Zitto ndo maana yeye kajipa cheo cha Kiongozi Mkuu wa Chama maana yake ni kwamba hutosikia eti kuna uchaguzi wa Kiongozi Mkuu wa ACT
 

Vipi CCM hawajakutunuku bado ile nishani ya uzushi uliotukuka?
 
Kila mtu akiwa anachokitaka ndio hicho hicho chama kifanye basi itakuwa balaa, mimi naona jibu la Zitto ni la kiuhalisia kabisa. Ndio maana Chadema walikaa wenyewe huko wenye chama chao 2015 na kuamua kubadili gear, laiti wangetaka maoni ya watu wasingeweza kufanya hilo jambo.

Kwahiyo mi naona jibu la Zitto ndio uhalisia wenyewe.
 
Sjawahi kufahamu Kwa nini ukweli huwa unauma Sana!!!

Zitto kasema ukweli tupu, kama hulidhiki na maamuzi yao, Anzisha Chama chako
 
Wanaoumia na SUK ni CDM, cha kushangaza CDM waliamua kununa huku hawana leverage yoyote dhidi ya serikali, walikuwa wanategemea leverage ya ACT Zanzibar. CDM waendelee kununa tu hadi 2030 hakuna kitakachopungua wala kuongezeka.
Sawa umepataia ila ipo siku tutapata tume huru
 
Mkuu,
This is democracy, maamuzi ya MTU au ya chama cha sisa should be respected. Looks like chadema kimewauma sana hiki kitendo.
 
Mkuu,
This is democracy, maamuzi ya MTU au ya chama cha sisa should be respected. Looks like chadema kimewauma sana hiki kitendo.

Mkuu wapi unapounukuu msimamo wa CHADEMA?

CHADEMA ni taasisi kubwa jombi.
 
Tatizo makamanda mna kumbukumbu hafifu sana, mara hii mmeshasahau hata aliewataka muingie barabarani! Kwa mwendo huu kweli mnaelewa mlikuwa mnaombwa kuingia barabarani kwa sababu gani?
 
We jamaa mbona fala sana hzo US 5 milions dollar haizdi hata tsh billion 12 hafu unatupigia kelele zionekane nying kwamba serikali haiwez kuzitoa kuzitoa..
 
We jamaa mbona fala sana hzo US 5 milions dollar haizdi hata tsh billion 12 hafu unatupigia kelele zionekane nying kwamba serikali haiwez kuzitoa kuzitoa..

Hata wewe haulewi maana ya dola milion 5 USD unataja tu namba, laiti ungeelewa usingeamini kirahisi hivyo kwamba Serikali inaweza kumpa Zito Kabwe hela zote hizo, for what ?
 
Sasa Ndugu yangu Wewe wa kumfundisha Siasa Maalim Seif Sharif Hamad hasa hasa siasa za Upinzani Tanzania?

Seif katumia options zote mnazomshauri na bado hazijazaa matunda

1. 1980s Seif katumia uongo na uzushi na fitna kutaka kumchomoa Sheilkh Jumbe kwa kumchonganisha na Nyerere , akafanikiwa kumkosesha Urais Jumbe lakin hakufanikiwa kupata Urais wa Znz

2.1985-1990 Seif Katumia Siasa za kumchonganisha Idrisa Abdul wakeel na Wananchi Unguja 1985-1990 akafanikisha kumstaafisha Urais Hayati Mzee Wakeel lakin hakuupata Urais
3. 1995 Seif akafanikiwa kuichonganisha Znz na Jumuiya ya Kimataifa hadi ikawekewa vikwazo lakin haikumfanya kupata Urais
4.2000 Seif akafanikiwa kuitisha Maandamano ya vurugu watu wakauawa lakin hakufanikisha azma yake ya Urais

5. 2010 akaridhia maridhiano ili apate fursa ya kuwa ndani ya Serikal akidhan ni shortcut ya kumfanya kupata Urais lakin hakufanikiwa
6.2016 Akasusia Uchaguzi, uchaguzi ukafanyika lakin hakuna alicho gain


So Options zote za Kisiasa kuanzia Fitna za kuchonganisha Watu ndan ya Serikal, kufungwa, kuhama vyama, kuitisha maandamano hadi watu kufa, kususa, kuchongea jumuia ya kimataifa hadi kuwekwa vikwazo, kote huko kamaliza

So only option iliyopo ni kushirikiana na Walinzi wa Mapinduzi matukufu ya 1964
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…