Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Kumjibu mpuuzi kama zitto ni kupoteza muda tuZitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Nadhani amechoka kuishi of anaamini katika ndumba hawamuweziZitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Hakuna wa kumuita maana ukweli unafahamika. Dhalimu aliharibu sana hii nchi.Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Wewe ni mtu mzito humu JfZitto Kabwe (Mb) ametusaidia kuunganisha doti na nukta kuhusu umauti wa the late ex-FM na issue ya deni la Mr Funeral. Wake up guys!
Kwa hiyo tuhuma za mfu kupewa onyo asiendelee na kesi ya kufidiwa ni za kweli?Hakuna wa kumuita maana ukweli unafahamika. Dhalimu aliharibu sana hii nchi.
Hilo mimi sijui, ninachojua dhalimu wa chattle aliharibu sana hii nchi.Kwa hiyo tuhuma za mfu kupewa onyo asiendelee na kesi ya kufidiwa ni za kweli?
Yaani na Mr funeral was one of the said Guys ??!!Zitto Kabwe (Mb) ametusaidia kuunganisha doti na nukta kuhusu umauti wa the late ex-FM na issue ya deni la Mr Funeral. Wake up guys!
Na kazi inaendelea ! Wether we like it or not !!Kwani amesema uwongo? Amesema ukweli ili fundisho vyombo hivi visitumike vibaya kuchafua watu kwa manufaa ya kisiasa
Hilo mimi sijui, ninachojua dhalimu wa chattle aliharibu sana hii nchi.
Zitto akazikwe na Membe.Mbona anachelewa kwenda Rondo.Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Kama Baba yako alivyomgonga mama yako na kutuletea toto kichaa kama weweHakuna wa kumuita maana ukweli unafahamika. Dhalimu aliharibu sana hii nchi.
Kwani amesema uwongo? Amesema ukweli ili fundisho vyombo hivi visitumike vibaya kuchafua watu kwa manufaa ya kisiasa
Katumwa huyo na smile!Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.