Zitto: Baadhi ya mitambo ya Vyombo vyetu vya na dola mlitumika kumchafua BM

Zitto: Baadhi ya mitambo ya Vyombo vyetu vya na dola mlitumika kumchafua BM

Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Atahojiwa vipi kwa jambo linalofahamika wazi?
 
Zitto ameongea ukweli kabisa na tunahitaji mabadiliko makubwa kwenye vyombo hivyo ili visitumike na wanasiasa dhidi ya maadui zao wa kisiasa.

Usalama wa Taifa, Mapolisi, Takukuru, Magereza JWTZ vifanye kazi zao kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Nchi.

Ni ajabu sana baadhi ya vyombo kutumia Wahuni kama Musiba kiwachafua Wananchi.
Umenena vyema sana. Nchi yetu ilipopotea kabisa ni kuvifanya vyombo hivi kuwa mali ya Rais badala ya kuwa mali ya umma wa Taifa.
 
Maoni ya wengine ni kwamba hata Mr Funeral naye alisema ukweli mtupu, japo mchungu kwa wahusika. Hilo unaliongeleaje? Kumbuka kwamba kushinda kesi kisheria mahakamani haina maana kwamba una haki kimaadili.
Kuna kamati ya maadili ambayo ina nguvu kisheria, kama ni kweli.

Lakini kwa vyovyote vile, kuna mengine ni wazi kulikuwa ni kukengeuka kwa huyo Musiba. Kama ile kuandika kwenye magazeti yake kuwa eti Zito na Maalim wamegombania shoga, utasema ilikiwa ni habari ya kweli?
 
Umenena vyema sana. Nchi yetu ilipopotea kabisa ni kuvifanya vyombo hivi kuwa mali ya Rais badala ya kuwa mali ya umma wa Taifa.
Ni katiba mpya pekee ndio inayoweza kulazimisha mabadiliko kama hayo !
 
Katumwa huyo na smile!

Kwani Mr smile alikuwepo kwenye kumuaga!!?

Zito ananunua ugomvi na dola tena wa bure KABISA!!!

Yeye angeaga na kutuliza tu,dola haishindwi na uchawi wa ziwa Tanganyika!

Asije sababisha akawa tagert bila kutegemewa!

Dola haitukanwi,kama yeye anajiona ni mwanaupinzani maarufu ajiulize Maalum seif watu washa sahau kabisa kwamba alikuwepo ACT wazalendo!!
Na kwa kuwa Zitto amesema wale jamaa ndio waliokuwa nyuma ya yule jamaa je ina maana kwa sasa wamebadilika ?? Ni nini kitakuwa kimewabadilisha ??!
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Mbona 7shahidi upowazi kwani yale magazeti uchwara si yalichapwa kwenye mitambo ya serikali
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Hiyo ni kijeshi au ni kisiasa au kisheria[emoji848][emoji848][emoji2960][emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Thubutuu!

Madudu ya awamu ya Tano ni mengi mno, ni kama mwiba kwao; wanakosa ujasiri na uhalali wa kuhoji.
 
Back
Top Bottom