UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Aende akazikwe naye RondoJamaa kaumia mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende akazikwe naye RondoJamaa kaumia mno
Anatafuta umaarufu kwa nguvu ili autumie kugombea urais, kwa hiyo wakimwita na kumhoji ni kumpa promo asiyostahili. Mtu mwenyewe afya mgogoro asije akawakatikia kwenye mahojiano.Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Katumwa huyo na smile!
Kwani Mr smile alikuwepo kwenye kumuaga!!?
Zito ananunua ugomvi na dola tena wa bure KABISA!!!
Yeye angeaga na kutuliza tu,dola haishindwi na uchawi wa ziwa Tanganyika!
Asije sababisha akawa tagert bila kutegemewa!
Dola haitukanwi,kama yeye anajiona ni mwanaupinzani maarufu ajiulize Maalum seif watu washa sahau kabisa kwamba alikuwepo ACT wazalendo!!
Mambo ya kutishana hayapo tena hiyo dola ya kuuwa watu ilisha potea,sasa ni Tanzania huru,ya mama wa Kiislam.
Lissu ameingiaje kwenye mambo ya zitto kabwe?? Au una mimba yakeHuyo lissu kaamua kufuata nyayo za mamaaaa ake
Mbona wewe ndiye uliyechelewa sana kujua , ulikuwa wapi kusiko na mawasiliano ?Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Mnataka kumuua mtu wenu ?Nadhani amechoka kuishi of anaamini katika ndumba hawamuwezi
Labda mazee wako ndo ana mimba ya huyo anaechechemeaLissu ameingiaje kwenye mambo ya zitto kabwe?? Au una mimba yake
Punguza ufala na ushoga pimbi ww, unatajaje watu kwenye mambo yasiyowahusu ??? Nguruwe wwLabda mazee wako ndo ana mimba ya huyo anaechechemea
Punguza ufala na ushoga pimbi ww, unatajaje watu kwenye mambo yasiyowahusu ??? Nguruwe ww
Weee ni nguruwe tu hata ujibaraguze vpQumamako
Qumamako againWeee ni nguruwe tu hata ujibaraguze vp
Wewe bwege unawashwa na Chadema, wote wanaompinga Zitto kwenye uzi huu ni nyie vibwengo wa sukuma Gang.Zitto akisema jambo CDM hampendi - why?
Upumbavu kwa wewe mpumbavu unayetaka ushahidi kwa kitu kilicho wazi!Mkuu kujibu upuuzi ni tofauti na kujibu hoja, hapo hakuna hoja bali ni upumbafu tu.
Ila zito alikuwa role model wangu ila amekuwa mnafiki sana . Si huyu alikuwa anawasema akina change kuwa wamefisha pesa uswis ,Patel na rostam si aliwasimanga sana ..
Ex fm ni nani
Late FM, also known as Camilius.BM ni nanu guys??
Mum, unataka uthibitisho gani? Baadhi ni huu hapa..Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Mpuuzi ni yule anayeshindwa kujibu hoja na kujibu upuuzi
😄😄😄Huko kuchafuliwa si ndio Membe akaenda mahakamani akashinda kesi alipwe mabilioni, au kuna kuchafuliwa kwingine zaidi ya ile kesi aliyoshinda Membe?
Zitto anataka ku trend tu.