Zitto: Baadhi ya mitambo ya Vyombo vyetu vya na dola mlitumika kumchafua BM

Zitto: Baadhi ya mitambo ya Vyombo vyetu vya na dola mlitumika kumchafua BM

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Anatafuta umaarufu kwa nguvu ili autumie kugombea urais, kwa hiyo wakimwita na kumhoji ni kumpa promo asiyostahili. Mtu mwenyewe afya mgogoro asije akawakatikia kwenye mahojiano.
 
Katumwa huyo na smile!

Kwani Mr smile alikuwepo kwenye kumuaga!!?

Zito ananunua ugomvi na dola tena wa bure KABISA!!!

Yeye angeaga na kutuliza tu,dola haishindwi na uchawi wa ziwa Tanganyika!

Asije sababisha akawa tagert bila kutegemewa!

Dola haitukanwi,kama yeye anajiona ni mwanaupinzani maarufu ajiulize Maalum seif watu washa sahau kabisa kwamba alikuwepo ACT wazalendo!!

Mambo ya kutishana hayapo tena hiyo dola ya kuuwa watu ilisha potea,sasa ni Tanzania huru,ya mama wa Kiislam.
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Mbona wewe ndiye uliyechelewa sana kujua , ulikuwa wapi kusiko na mawasiliano ?

Hili jambo hata vipofu wanajua

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mimi nimependa uwasilishaji wake,kifasihi hii inaitwa _apostrophe "the figure of speech in which the dead is addressed as if he/she listens.BM Ulikuwa mpiganaji,hukuogopa kupigania utu wako hata pale viongozi wakubwa walipowatumia wahuni kukuchafua...inaleta hisia flani eee!
 
Mkuu kujibu upuuzi ni tofauti na kujibu hoja, hapo hakuna hoja bali ni upumbafu tu.
Upumbavu kwa wewe mpumbavu unayetaka ushahidi kwa kitu kilicho wazi!
Waambie handlers wako wamshitaki basi kama mna ubavu!!
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Mum, unataka uthibitisho gani? Baadhi ni huu hapa..

1684120520541.png
 
Back
Top Bottom