Kiongozi mkuu wa chama cha upinzani bila shaka ametumwa na kundi la upande huu ili kutetea ule msimamo wa the late ex-FM.
It means hapo tayari kuna vita baridi na moto kwa pamoja. Ukirejea maneno ya Waziri & Mbunge wa Mtama utaelewa vizuri.
Njia pekee ya kutokea, kwa mtazamo wao, ni kuikuza issue ya Mr Funeral na the late ex-FM ili liwe suala ama mgogoro wa taifa zima (and here, frankly, they've a point).
Lengo kubwa hapa ni malipo ya zile bilioni 9. Hakuna miongoni mwao atakayeridhika iwapo Mr Funeral hatawajibika. Na kuwajibika kwake ni sawa na karipio kubwa lingine kwa utawala wa Mr Chuma. All dots are clearly connected and astonishingly related.