Zitto: Baadhi ya mitambo ya Vyombo vyetu vya na dola mlitumika kumchafua BM

Zitto: Baadhi ya mitambo ya Vyombo vyetu vya na dola mlitumika kumchafua BM

Zitto ameongea ukweli kabisa

Ni ajabu sana baadhi ya vyombo kutumia Wahuni kama Musiba kiwachafua Wananchi.
Maoni ya wengine ni kwamba hata Mr Funeral naye alisema ukweli mtupu, japo mchungu kwa wahusika. Hilo unaliongeleaje? Kumbuka kwamba kushinda kesi kisheria mahakamani haina maana kwamba una haki kimaadili.
 
Katumwa huyo na smile!

Kwani Mr smile alikuwepo kwenye kumuaga!!?

Zito ananunua ugomvi na dola tena wa bure KABISA!!!

Yeye angeaga na kutuliza tu,dola haishindwi na uchawi wa ziwa Tanganyika!

Asije sababisha akawa tagert bila kutegemewa!

Dola haitukanwi,kama yeye anajiona ni mwanaupinzani maarufu ajiulize Maalum seif watu washa sahau kabisa kwamba alikuwepo ACT wazalendo!!
Seif!Ila watu ni hamnazo sana kumbe!Sasa mtu wa 70 years huko si muda wake ndiyo umefika!.Aisee!.
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Kwani si ilishasemwa vyombo vya uchapishaji vilivyopo karibu na Bagamoyo ndo alipewa musiba atukane kwa umahiri
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Zitto anatafuta kufa kwa changamoto ya kupumua!
 
Kiongozi mkuu wa chama cha upinzani bila shaka ametumwa na kundi la upande huu ili kutetea ule msimamo wa the late ex-FM.

It means hapo tayari kuna vita baridi na moto kwa pamoja. Ukirejea maneno ya Waziri & Mbunge wa Mtama utaelewa vizuri.

Njia pekee ya kutokea, kwa mtazamo wao, ni kuikuza issue ya Mr Funeral na the late ex-FM ili liwe suala ama mgogoro wa taifa zima (and here, frankly, they've a point).

Lengo kubwa hapa ni malipo ya zile bilioni 9. Hakuna miongoni mwao atakayeridhika iwapo Mr Funeral hatawajibika. Na kuwajibika kwake ni sawa na karipio kubwa lingine kwa utawala wa Mr Chuma. All dots are clearly connected and astonishingly related.
Tusubiri tuone who is holding the four aces !
 
Maoni ya wengine ni kwamba hata Mr Funeral naye alisema ukweli mtupu, japo mchungu kwa wahusika. Hilo unaliongeleaje? Kumbuka kwamba kushinda kesi kisheria mahakamani haina maana kwamba una haki kimaadili.
Na ukifikiri kwa makini Mr Funeral alikuwa akiongea kwa kujiamini sana!
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Kasemaje tupe taarifa zaidi
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Kwa nini watu wakisema ukweli mnakuwa wakali? Kwani ni siri kuwa vile vijarida vya musiba vilikuwa vinachapishwa kule malindi?
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Ningemuona wa maana kama angewalaumu wale wazee na watoto wao walio mtusi na kumkejeli aliyekuwa mkuu wa nchi, hapo ningemuona wa maana huyu mnafiki pambe.
 
Jibu hoja acha kuleta propaganda zenu za kichumia tumbo. Gazeti la TANZANITE lilikuwa linachapishwa na mitambo ya Serikali na hiyo inajulikana na hakuna atakayebisha!! Kitu kilicho wazi unataka ushahidi wa nini? Acheni upuuzi menu.
Mkuu kujibu upuuzi ni tofauti na kujibu hoja, hapo hakuna hoja bali ni upumbafu tu.
 
Ex fm ni nani
Kiongozi mkuu wa chama cha upinzani bila shaka ametumwa na kundi la upande huu ili kutetea ule msimamo wa the late ex-FM.

It means hapo tayari kuna vita baridi na moto kwa pamoja. Ukirejea maneno ya Waziri & Mbunge wa Mtama utaelewa vizuri.

Njia pekee ya kutokea, kwa mtazamo wao, ni kuikuza issue ya Mr Funeral na the late ex-FM ili liwe suala ama mgogoro wa taifa zima (and here, frankly, they've a point).

Lengo kubwa hapa ni malipo ya zile bilioni 9. Hakuna miongoni mwao atakayeridhika iwapo Mr Funeral hatawajibika. Na kuwajibika kwake ni sawa na karipio kubwa lingine kwa utawala wa Mr Chuma. All dots are clearly connected and astonishingly related.
 
Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.

Maoni yangu:

Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.

Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.

Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Kwa mawazo yako unadhani Zitto amekurupuka? Umekosea sana!
 
Back
Top Bottom