Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajasemwa uongo. Ni ukweli. Ila nachomshangaa anajifanya kuwa hajui ni kwa sababu ya rais kupewa nguvu zilizopitiliza na katiba yetu? Mbona ameweka break kwenye kudai katiba na anatumika kufifisha juhudi?Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Mwambie Zitto akazikwe naeHakuna wa kumuita maana ukweli unafahamika. Dhalimu aliharibu sana hii nchi.
Dhalimu ndiyo hiyo mitambo? Au tayari ushalewa?Hakuna wa kumuita maana ukweli unafahamika. Dhalimu aliharibu sana hii nchi.
Ww ndio una muda na hayo majizi menzio ya CCM. Mimi muda huo sina wala hainiumi.Ni kweli BM kavuta maana siamini na km una kapicha nitumie nijiridhishe...
Sio nimwambie , awahi huko kaburini kimpango wake.Mwambie Zitto akazikwe nae
Kwani si inajulikana, au we hujui! Ilibidi yule aleftishwe ili nchi itulie mana ilikuwa inaongezwa kinyumenyume hata usalama walimchoka kabisaZitto Kabwe (Mb) ametusaidia kuunganisha doti na nukta kuhusu umauti wa the late ex-FM na issue ya deni la Mr Funeral. Wake up guys!
Hahaha! Mr. Tindo wewe na dhalimu sijui ndoa yenu itaisha lini .Hilo mimi sijui, ninachojua dhalimu wa chattle aliharibu sana hii nchi.
Haiishi hata dhalimu akifufuka.Hahaha! Mr. Tindo wewe na dhalimu sijui ndoa yenu itaisha lini .
Kwani haifahamiki kuwa hiyo mitambo ilikuwa inafanya kazi kwa maagizo ya dhalimu?Dhalimu ndiyo hiyo mitambo? Au tayari ushalewa?
Kafuatilie kesi ya Membe. Membe alipofungua kesi ilibidi TISS wakubaliane naye ili wamnunulie musiba mitambo mipya ili wasiunganishwe kwenye kesi.Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Zitto ameongea ukweli kabisa na tunahitaji mabadiliko makubwa kwenye vyombo hivyo ili visitumike na wanasiasa dhidi ya maadui zao wa kisiasa.Kwani amesema uwongo? Amesema ukweli ili fundisho vyombo hivi visitumike vibaya kuchafua watu kwa manufaa ya kisiasa
UndoubtedlyYaani na Mr funeral was one of the said Guys ??!!
Kiongozi mkuu wa chama cha upinzani bila shaka ametumwa na kundi la upande huu ili kutetea ule msimamo wa the late ex-FM.Katumwa huyo na smile!
Kwani Mr smile alikuwepo kwenye kumuaga!!?
Zito ananunua ugomvi na dola tena wa bure KABISA!!!
Yeye angeaga na kutuliza tu,dola haishindwi na uchawi wa ziwa Tanganyika!
Asije sababisha akawa tagert bila kutegemewa!
Dola haitukanwi,kama yeye anajiona ni mwanaupinzani maarufu ajiulize Maalum seif watu washa sahau kabisa kwamba alikuwepo ACT wazalendo!!
Tumekwisha toka kwenye nyakati hizo za kubana uhuru. Kama siyo kweli wahusika wakanusheZitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.