Zitto: Baadhi ya mitambo ya Vyombo vyetu vya na dola mlitumika kumchafua BM

Hajasemwa uongo. Ni ukweli. Ila nachomshangaa anajifanya kuwa hajui ni kwa sababu ya rais kupewa nguvu zilizopitiliza na katiba yetu? Mbona ameweka break kwenye kudai katiba na anatumika kufifisha juhudi?
 
Kumjibu mpuuzi kama zitto ni kupoteza muda tu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

Jibu hoja acha kuleta propaganda zenu za kichumia tumbo. Gazeti la TANZANITE lilikuwa linachapishwa na mitambo ya Serikali na hiyo inajulikana na hakuna atakayebisha!! Kitu kilicho wazi unataka ushahidi wa nini? Acheni upuuzi menu.
 
Zitto Kabwe (Mb) ametusaidia kuunganisha doti na nukta kuhusu umauti wa the late ex-FM na issue ya deni la Mr Funeral. Wake up guys!
Kwani si inajulikana, au we hujui! Ilibidi yule aleftishwe ili nchi itulie mana ilikuwa inaongezwa kinyumenyume hata usalama walimchoka kabisa
 
Kafuatilie kesi ya Membe. Membe alipofungua kesi ilibidi TISS wakubaliane naye ili wamnunulie musiba mitambo mipya ili wasiunganishwe kwenye kesi.
 
Kwani amesema uwongo? Amesema ukweli ili fundisho vyombo hivi visitumike vibaya kuchafua watu kwa manufaa ya kisiasa
Zitto ameongea ukweli kabisa na tunahitaji mabadiliko makubwa kwenye vyombo hivyo ili visitumike na wanasiasa dhidi ya maadui zao wa kisiasa.

Usalama wa Taifa, Mapolisi, Takukuru, Magereza JWTZ vifanye kazi zao kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Nchi.

Ni ajabu sana baadhi ya vyombo kutumia Wahuni kama Musiba kiwachafua Wananchi.
 
Kiongozi mkuu wa chama cha upinzani bila shaka ametumwa na kundi la upande huu ili kutetea ule msimamo wa the late ex-FM.

It means hapo tayari kuna vita baridi na moto kwa pamoja. Ukirejea maneno ya Waziri & Mbunge wa Mtama utaelewa vizuri.

Njia pekee ya kutokea, kwa mtazamo wao, ni kuikuza issue ya Mr Funeral na the late ex-FM ili liwe suala ama mgogoro wa taifa zima (and here, frankly, they've a point).

Lengo kubwa hapa ni malipo ya zile bilioni 9. Hakuna miongoni mwao atakayeridhika iwapo Mr Funeral hatawajibika. Na kuwajibika kwake ni sawa na karipio kubwa lingine kwa utawala wa Mr Chuma. All dots are clearly connected and astonishingly related.
 
Tumekwisha toka kwenye nyakati hizo za kubana uhuru. Kama siyo kweli wahusika wakanushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…