Kama hivyo ndivyo ilivyokuwa je msimamo ule uliokuwepo kipindi kile kule mahala kwa sasa umebadilika ??!Mbona wewe ndiye uliyechelewa sana kujua , ulikuwa wapi kusiko na mawasiliano ?
Hili jambo hata vipofu wanajua
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Atahojiwa vipi kwa jambo linalofahamika wazi?Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Umenena vyema sana. Nchi yetu ilipopotea kabisa ni kuvifanya vyombo hivi kuwa mali ya Rais badala ya kuwa mali ya umma wa Taifa.Zitto ameongea ukweli kabisa na tunahitaji mabadiliko makubwa kwenye vyombo hivyo ili visitumike na wanasiasa dhidi ya maadui zao wa kisiasa.
Usalama wa Taifa, Mapolisi, Takukuru, Magereza JWTZ vifanye kazi zao kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Nchi.
Ni ajabu sana baadhi ya vyombo kutumia Wahuni kama Musiba kiwachafua Wananchi.
Kuna kamati ya maadili ambayo ina nguvu kisheria, kama ni kweli.Maoni ya wengine ni kwamba hata Mr Funeral naye alisema ukweli mtupu, japo mchungu kwa wahusika. Hilo unaliongeleaje? Kumbuka kwamba kushinda kesi kisheria mahakamani haina maana kwamba una haki kimaadili.
Ni katiba mpya pekee ndio inayoweza kulazimisha mabadiliko kama hayo !Umenena vyema sana. Nchi yetu ilipopotea kabisa ni kuvifanya vyombo hivi kuwa mali ya Rais badala ya kuwa mali ya umma wa Taifa.
Na kwa kuwa Zitto amesema wale jamaa ndio waliokuwa nyuma ya yule jamaa je ina maana kwa sasa wamebadilika ?? Ni nini kitakuwa kimewabadilisha ??!Katumwa huyo na smile!
Kwani Mr smile alikuwepo kwenye kumuaga!!?
Zito ananunua ugomvi na dola tena wa bure KABISA!!!
Yeye angeaga na kutuliza tu,dola haishindwi na uchawi wa ziwa Tanganyika!
Asije sababisha akawa tagert bila kutegemewa!
Dola haitukanwi,kama yeye anajiona ni mwanaupinzani maarufu ajiulize Maalum seif watu washa sahau kabisa kwamba alikuwepo ACT wazalendo!!
Bernad Morrison a.k.a mandevu aka upara,a.k.a mbobezi aliyebobea...mguse unuke..BM ni nanu guys??
Ina maana wale jamaa hufanyaga mambo yao kwa mihemuko tu na kwa kumridhisha mwenye mamlaka ??!Hawawezi kumfanya kitu.
Mwenye mamlaka anapenda kusikia maneno kama hayo.
Yale Mazungunzo Yao toka mitandao ya Simu yalikuwa Printed China? Faragha za maongezi ya Watu kwenye Mitandao ya Simu ni Haki kutepiwa na kurushwa Mtandaoni?
Nikafikiri BM mmiliki wa yale ms busBernad Morrison a.k.a mandevu aka upara,a.k.a mbobezi aliyebobea...mguse unuke..
Mbona 7shahidi upowazi kwani yale magazeti uchwara si yalichapwa kwenye mitambo ya serikaliZitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Mwalimu alokufundisha matusi mlaani - narudia tena kuwa CDM huwa hampendi Zitto asifiwe kwa hoja zakeWewe bwege unawashwa na Chadema, wote wanaompinga Zitto kwenye uzi huu ni nyie vibwengo wa sukuma Gang.
Hiyo ni kijeshi au ni kisiasa au kisheria[emoji848][emoji848][emoji2960][emoji2960]Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Huna akiliMwalimu alokufundisha matusi mlaani - narudia tena kuwa CDM huwa hampendi Zitto asifiwe kwa hoja zake
Thubutuu!Zitto katoa kashfa nzito kuvihusu vyombo vya dola kwa kutumika kumchafua Membe ikiwamo mitambo ya vyombo hivyo kutumika kuchapisha magazeti ya kumchafua.
Maoni yangu:
Hii kashfa ni kubwa mno kutolewa na mfanya siasa kama Zitto tena mbele ya Amri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na ni lazima Mamlaka vitolee ufafanuzi tuhuma hizo.
Pia, Zitto aitwe na atoe uthibitisho wa kashfa hiyo.
Ni aibu endapo kashfa hiyo itaachwa na kufumbiwa macho pasina mtoa tuhuma hizo kuhojiwa ili athibitishe pasi na chembe ya shaka kwazo.
Kaumia ndio lakini msiba huu umempa platform ya kutoa nyongo kwa niaba ya waoga wengi!Zitto kaumia saaana msiba wa Membe