Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina bifu naye ila namfuatilia kwa sababu ni Mwanasiasa anayejua afanye nini wakati ganiHuwa ana bifu na Zitto mara nyingi nimeona nyuzi zake za kumsiginia kunguni Mwami.
Yes huyo ndiye Lucas Kadawi LimbuHuyu ndiye aliyekabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu wa ACT sijui kama hata Zitto anamkumbuka.
View attachment 2402864
Kidawi Limbu ndiye alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa ACT baada ya kupata usajili wa kudumu alitimuliwa kama mbwa.who is this?
Kwamba na wewe unakubaliana na huu uzushi?Hilo linajulikana bwashee
Huyu ndiye aliyekabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu wa ACT sijui kama hata Zitto anamkumbuka.
View attachment 2402864
Asante wenye masikio na wasikie.Chama cha ACT kimeanzishwa na kina JK, Membe, Januari, Mwigulu nk kama Backup ya CCM baada ya kuzidiwa na CDM. Zito ndio alipewa jukumu hilo. Hao kina Limbu walitangulizwa tu baadae akataka kulazimisha kuwa kiongozi. Lakini wenye chama wakafanya yao na Zito akapewa nafasi yake. Rejea uchaguzi wa 2015 ACT ikiwa changa kabisa, ilisimamisha wagombea wa nafasi zote kuanzia urais, ubunge na udiwani nchi nzima, huku haifahamiki hela zao zilitoka wapi.
Magufuli 2015 ndio aliharibu mpango wa ACT kuwa chama kikuu cha upinzani, kwani alikuwa hampendi Zito, na pia hakuwa analipenda kundi la JK ambao ndio wafadhili wa ACT. Ni bahati mbaya wakati Maalim Seif anaporwa chama na Magufuli kwa kumtumia Lipumba, Maalim Seif akatafuta chama akaona ACT ndio hakina kiongozi wa muda mrefu na sio cha muda mrefu kama ilivyo CDM, NCCR, TLP nk. Alijua fika akiwa ACT atakuwa na maamuzi yote kama alivyokuwa CUF, na kweli ndio ilivyokuwa, ndio maana alishikilia kumuunga mkono Lisu kwenye urais, na sio Membe kama ambavyo Zito alitaka kwani Membe ndio wenye chama.
Zito ataendelea kuwa kiongozi wa chama cha ACT, kama ataendelea kuwafanya hao Wapemba wafanye Siasa zinazotakiwa na CCM. Hao Wapemba watavurugana na zito siasa za kweli za ushindani zitakapoanza na CDM kushika nafasi yake kama inavyotegemewa. Na zito anajakikisha anafanya siasa zinazotakiwa na CCM, kwa kuwahadaa ACT Wapemba kuwa hizo ni siasa za kistaarabu. Hili jengo la ACT lina fedha ya ufadhilii wa CCM, ndio maana huoni wakitaja thamani ya jengo, wala chanzo cha fedha hizo.
Siasa ni biashara kama biashara nyingine bwasheeKwamba na wewe unakubaliana na huu uzushi?
Siku wenye chama chao wakiamua kuondoka na jengo lao chama kitakufa Zitto atabaki na makaratasi ya Msajili wa vyama vya siasa tu. Jifunze kutoka kwa Lipumba na CUF yake.[emoji818][emoji817]ACT - Wazalendo haina wanachama wala jengo la ofisi inalomiliki Bara. ACT inategemea nguvu ya wanachama kutoka Zanzibar wengi wakiwa ni wale waliokuwa wafuasi wa CUF- Maalimu Seif.
ACT -Wazalendo haina Jengo la Chama kwa maana ya umiliki, jengo walilopewa na Maalimu Seif Foundation ni lile walilokuwa wanatumia waliokuwa Wabunge watiifu wa Maalimu Seif, linamilikiwa na familia ya Seif.
ACT Wazalendo haina mtandao Bara mtandao wake uko Zanzibar. Kwa mtu makini ataelewa hapa mwenye nguvu ya chama ni nani kati ya Zitto, Wazanzibari na familia ya Seif.
Siku wenye chama chao wakiamua kuondoka na jengo lao chama kitakufa Zitto atabaki na makaratasi ya Msajili wa vyama vya siasa tu. Jifunze kutoka kwa Lipumba na CUF yake.
Najua wafuasi wa Zitto hawapendi kusikia haya lkn, Ukweli ndio huo.
Zitto and others, Keep this short Thread you will thank me later.
Wewe unaona ana akili?Sidhani kama Zitto ni mjinga hivyo.
Siasa ni biashara kama biashara nyingine bwashee
Kuuza Chama ni Sawa na kuuza Makolo SC
Ma don wa CCM ni mabeberu kina John L. Thornton wao hawanunui chama dola tu wananunua Chama na Serikali.Chama Dola tu ndio hakina Bei
Kwa mfano hapo Ufipa st Chama hakiuzwi ila Wachezaji ndio wanauzwaMa don wa CCM ni mabeberu kina John L. Thornton wao hawanunui chama dola tu wananunua Chama na Serikali.
Haya yanaweza kutimia kabla 2025, tuombe uzima tuKama ulivyosema ipo siku Zito atabaki na makaratasi na Wapemba wataondoka na wanachama wao
Wachezaji kina Mdee na Zitto hahahaaa 😁😁😁Kwa mfano hapo Ufipa st Chama hakiuzwi ila Wachezaji ndio wanauzwa
Siku unazosema oungo, unakuwa mpenzi wa shetani? Yohana acha unaaa bwashee.Msema Ukweli ni mpenzi wa Mungu wa mbinguni!
Selasini na Zitto ni CCM kitambo sanaWachezaji kina Mdee na Zitto hahahaaa 😁😁😁
Zitto alikuwa CDM leo ni Kiongozi wa chama, Selasini alikuwa CDM leo ni mkiti wa chama. Bado Mdee kuanzisha chama.