Na kigwangala je?Ukweli ni kwamba Hawa wanasiasa uchwara wanamshambulia Magufuli kwa sababu bado ni tishio kwao anapambana nao yuko kaburini huyu jamaa alikuwa mwamba si mchezo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kigwangala je?Ukweli ni kwamba Hawa wanasiasa uchwara wanamshambulia Magufuli kwa sababu bado ni tishio kwao anapambana nao yuko kaburini huyu jamaa alikuwa mwamba si mchezo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yes anatakiwa awe na Uthubutu asiogope hao wahunk hawata mfanya kitu Watanzania tuko nyuma yake.Kuliponya taifa SSH anatakiwa afanye maamuzi magumu. Kwanza atoke hadharani na kusema wazi kuwa alidanganywa na akina SIRRO kuhusu hii kesi ya Mbowe. Pili aunde jopola kimahakama kuwachunguza akina Kingai na kundi lake hasa katika kutoa mateso kwa binadamu wenzake. Tatu apendekeze ama alishauri bunge kutengeneza chombo cha kisheria kitakachokuwa kinachunguza mwenendo wa utendaji kazi wa jeshi la polisi. Nne kama sio kuwaondoa basi ajitahidi kuingiza majaji ambao sio kutoka kitengo ili watoe hukumu kwa haki.
Nitakuuuliza Swali moja tu. Kudai katiba mpya kisiasa ni kosa la jinai?? Kukosa busara kwa Mbowe ndio kufunguliwa kesi ya ugaidi??Huu ni utumbo tu ambao biashara yake mwisho saa 6. Mbowe anakabiliwa na tuhuma zilizotokea Magufuli akiwa Rais na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kumuachia, ndiyo utawala wa sheria huo.
Kuhusu Mbowe kumsaidia Samia nakataa kabisa. Mbowe hana hekima hata kidogo.
Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".
Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.
On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA?? Na Mdude akasema " nitamnyoa mama yenu kwa wembe uleule nilio mnyolea mtangulizi wake"
Nini kikiwapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.
Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.
Akina Sirro na kundi lao wameumiza sana watu sasa wamemdanganya mama wa watu. Hii kesi ya Mbowe inaenda kufichua mambo mengi sana maana kumbuka walikosea hata kuifaili na Jaji wa kwanza akawaambia wabadilishe hati ya mashitaka ndio wameharibu. Kila uchwao kunaibuka jipya katika hii kesi. Uenda SSH anataka aone mwisho wake unakuwaje ili aweze kuwafunga akina Mahita.Yes anatakiwa awe na Uthubutu asiogope hao wahunk hawata mfanya kitu Watanzania tuko nyuma yake.
Kwa nini sasa alipoona kesi inafunguliwa asingeelekeza ifutwe tu? Mbona kesi nyingine zimefutwa ambazo zilianza enzi za JPM? Kwa nini alipokuwa BBC alisema ushahidi dhidi ya Mbowe upo wa kutosha bila kuacha shaka!?Hao makomandoo wamekamatwa mwezi wa 8 mwaka 2020, ilikua Ni awamu ya ngapi hio?
Nani anakudanganya kuwa Tanzania haijapiga hatua kwa miaka 60 toka tupate uhuru? Kwa taarifa yako Tanzania ni Moja kati ya Nchi 10 Afrika zenye uchumi mkubwa ikiwa ni pamoja na Egypt, Nigeria, Morocco, Algeria, Angola, Ethiopia, South Africa, Kenya, Ghana na Cote D'Ivoire.Tusubiri uchumi ukue ndio tuulize katiba mpya?? Miaka 60 ya utawala chinu ya katina hii uchumi haujabadilika utakuja kubadilika lini? chini ya katiba hii hii iliyoshindwa? na viongozi hawa hawa??
Huna hoja we ni mhuni kama alivyowaita Polepole.
Sawa MatagaNani anakudanganya kuwa Tanzania haijapiga hatua kwa miaka 60 toka tupate uhuru? Kwa taarifa yako Tanzania ni Moja kati ya Nchi 10 Afrika zenye uchumi mkubwa ikiwa ni pamoja na Egypt, Nigeria, Morocco, Algeria, Angola, Ethiopia, South Africa, Kenya, Ghana na Cote D'Ivoire.
Kama kwenu hamjishughulishi kubadili economic destiny ya eneo mtabakia mnalia lia hivyo hivyo ila Tz inasonga mbele
Jf ukiandika ukweli hupigwi banMnaongea lugha chafu halaf hampigwi ban..nikikutukana hapa napigwa ban
Mnampa Mbowe umaarufu asiokuwa nao. Mbowe ni mtuhumiwa tu na iache Mahhakama ifanye kazi yakeKwa nini sasa alipoona kesi inafunguliwa asingeelekeza ifutwe tu? Mbona kesi nyingine zimefutwa ambazo zilianza enzi za JPM? Kwa nini alipokuwa BBC alisema ushahidi dhidi ya Mbowe upo wa kutosha bila kuacha shaka!?
Kesi ya Mbowe imeanza toka mwaka jana mwezi wa 9 kipindi cha Magufuli. Sasa utamlaumuje mama, wakati waliotengeneza kesi ni Sabaya na KingaiHuyu wa sasa si kwamba tu amewamazisha lakini pia ameishia kuwaweka ndani sijuj nani ni mbaya kati ya magu na huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama kwa nini mpaka sasa anaiacha iendelee? Si amuagize DPP afute kama alivyofanya kwenye zile kesi nyingine?Kesi ya Mbowe imeanza toka mwaka jana mwezi wa 9 kipindi cha Magufuli. Sasa utamlaumuje mama, wakati waliotengeneza kesi ni Sabaya na Kingai
Jiwe alikuwa mwizi sana
Acha hizo, kesi ya uamsho aliikuta lakini ikaondolewa, kesi ya rugemalira hivyohivyo. Iweje ya mbowe ashindwe kuiondoa Kama aliikuta?Kesi ya Mbowe imeanza toka mwaka jana mwezi wa 9 kipindi cha Magufuli. Sasa utamlaumuje mama, wakati waliotengeneza kesi ni Sabaya na Kingai
Jini jiwe alikuwa jambazi. Hata huko Jehanamu atakufa tenaalikuibia mcundu wako???
Ninakumbuka Remmy alipotumiwa Maafsaa wa Uhamiaji baada ya hii Santuri
Tena wa kutumia silahaJiwe Hakuwa Mwizi Jiwe Alikuwa Jambazi