Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ulisema Magufur na samia, Hawa watu ni kitu kimoja....? Inabidi tu ukubali mamaKumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato😁😁😁
View attachment 2032651
Hao makomandoo walipokamatwa mwezi wa 8 mwaka 2020, DPP, alikuwa ni wa samia?Samia aliteua DPP wake ndio akamshtaki Mbowe kwa hii kesi, sio DPP wa Magufuli (Biswalo Mganga)
Sasa ni jumba bovu kivipi wakati DPP ni wa Samia?
Aliyeshtaki anaweza kuiondoa kesi mahakamani. Ila kwa jinsi kesi hii inavyoendelea kuivua nguo CCM na Serikali yake dhalim wacha iendelee tu ili dunia ione uovu wa Serikali hii dhalim.Mambo yaliyopo mahakamani yataamriwa na Mahakama. Tusiingilie na kujadili masuala yaliyopo mahakamani.
Lakini ana jidikia raha kumuona Mbowe mahakamani kila siku? Mbowe ni baba wa familia kama Mama Samia alivyo mama wa familia. Kesi yenyewe haina kichwa wala miguu. Hadi sasa sio Kingai wala Mahita walio weza kuonyesha ugaidi ulifanyika wapi?Dhamira ya mama inaonesha wazi kuwa hataki maugomvi na kulipiza visasi.Lakini kwakuwa ameshajionea nia ovu ya baadhi ya watu dhidi ya uongozi wake,ni vizuri akatoa maamuzi magumu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mnaongea lugha chafu halaf hampigwi ban..nikikutukana hapa napigwa banJiwe alikuwa mwizi sana
Mimi nilisema kuwa msaidizi wa shetani hawezi kuwa Malaika na Samia akaja kuconfirm hili jambo yeye mwenyewe kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja😁😁😁Si ulisema Magufur na samia, Hawa watu ni kitu kimoja....? Inabidi tu ukubali mama
Team Tundu Lissu kaziniTeam Jiwe kazini
Sasa mgao ungekujaje kama awamu ya tano ingekuwa imetimiza ipasavyo shida ya umeme?mgao wa umeme na wenyewe ni jumba bovu? hapana ili kaupiga mwingi
Alikuwa miongoni mwa mateka wa ibilisi joka kuu. Angefanyaje wakati kuna mtu alikuwa ameitaka nyara nchi akiongoza kwa msaada wa vyombo wakati aliingia kwa sanduku la kura. Mama kwa hayo hasilaumiwe.Awamu ya tano mama alikuwa wap?
Zitto amesahahu mahojiano aliyofanya Mama na BBC?Maneno kuntu sana haya.
EU wamemshtua mamaKesi ya kubumba ya Mbowe inaivua nguo serikali na kwa kweli ni hujuma dhidi ya utawala wake. Kesi hii imewaudhi mno na inawakera watanzania wote, wapinzani na wana CCM na inamweka Rais Samia katika mizani sawa na Fashisti Magufuli. Ni kesi inayoharibu tashwira ya Mahakama, Polisi na Majaji. Hoja iliyowasilishwa karibuni katika Bunge la Ulaya ya kuiponda kesi hii imedhihirisha namna kesi ya kijinga hii inavyoligharimu Taifa! Naungana na Mh. Zitto kwamba Kesi hii ni jumba bovu inayolinufaisha na kulifurahisha genge la kihuni la Mwendazake. Kwa vyovyote vile haina maslahi kwa Taifa wala Utawala wa awamu ya Mama Suluhu.
AminaInjili ya Luka Mtakatifu Mlango wa 3:
2 wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, neno la Mungu lilimfikia Yohana, mwana wa Zakaria, jangwani.
14 Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu.