Zitto: Hata kesi ya Mbowe ni jumba bovu kwa awamu ya 6. IFUTWE!

Zitto: Hata kesi ya Mbowe ni jumba bovu kwa awamu ya 6. IFUTWE!

Mh.Samia ebu jaribu kuvaa ujasiri,,,achana na akina Sirro wanakuchafua ni miongoni mwa watu wanaoamini mifumo dume,wanakupigia saluti kwa sababu ni sheria tu!!! Ila wanakudharau kama hulijui hili basi lijue,Mtoe ndg Mbowe Magereza na Ushirikiane nae atakusaidia mambo mengi!! Ni bingwa wa siasa za aina zote,,mbali na hilo utaendelea kulalamika usipate msaada ndani ya chama chako maana wamejaa wanafiki ndo hao unaosema wanakuangushia jumba bovu,,,amini mwanzoni ulikuwa umejipatia mtaji mkubwa wa kisiasa kutoka kwa mashabiki wa upinzani hasa chadema ,,wahuni ndani ya chama chako wakatafuta mbinu ya kukunyang'anya mtaji huo wakamkamata Mbowe ili uchukiwe na wameelekea kufanikiwa,,,ebu shtuka mama!! Wapinzani ndo walikuja na kauli mbiu ya "MAMA ANAUPIGA MWINGI" Jiulize toka akamatwe Mbowe neno hilo unalisikia!!!? Wahuni wanataka wakugombanishe na kila kundi ..Usiogope maneno kama katiba mpya kutana na wapinzani myajenge.....Mama nakuhurumia kwa jinsi wanafiki walivokuzunguka ndani ya chama hukutakiwa kugombana na Chadema maana utajiongezea presha,,Chadema ilimpeleka puta Magufuli na udikteta wake mpaka akanyoosha mikono pamoja na matumizi makubwa ya vyombo vya dola..Chadema itakuumiza mama chagua kushirikiana nayo achana na Mbowe.
Amwachie gaidi ili iweje
 
Umetumwa na lema hio
Akiamungu sijatumwa ila namhurumia mama atapata shida sana akifitinishwa na chadema atafeli,,,Chadema ni vichwa ngumu sana!! Magu huko alipo anajua mziki wake!! Mama chadema ilimuunga mkono wahuni wakashtukia wakamgombanisha
 
Mh.Samia ebu jaribu kuvaa ujasiri,,,achana na akina Sirro wanakuchafua ni miongoni mwa watu wanaoamini mifumo dume,wanakupigia saluti kwa sababu ni sheria tu!!! Ila wanakudharau kama hulijui hili basi lijue,Mtoe ndg Mbowe Magereza na Ushirikiane nae atakusaidia mambo mengi!! Ni bingwa wa siasa za aina zote,,mbali na hilo utaendelea kulalamika usipate msaada ndani ya chama chako maana wamejaa wanafiki ndo hao unaosema wanakuangushia jumba bovu,,,amini mwanzoni ulikuwa umejipatia mtaji mkubwa wa kisiasa kutoka kwa mashabiki wa upinzani hasa chadema ,,wahuni ndani ya chama chako wakatafuta mbinu ya kukunyang'anya mtaji huo wakamkamata Mbowe ili uchukiwe na wameelekea kufanikiwa,,,ebu shtuka mama!! Wapinzani ndo walikuja na kauli mbiu ya "MAMA ANAUPIGA MWINGI" Jiulize toka akamatwe Mbowe neno hilo unalisikia!!!? Wahuni wanataka wakugombanishe na kila kundi ..Usiogope maneno kama katiba mpya kutana na wapinzani myajenge.....Mama nakuhurumia kwa jinsi wanafiki walivokuzunguka ndani ya chama hukutakiwa kugombana na Chadema maana utajiongezea presha,,Chadema ilimpeleka puta Magufuli na udikteta wake mpaka akanyoosha mikono pamoja na matumizi makubwa ya vyombo vya dola..Chadema itakuumiza mama chagua kushirikiana nayo achana na Mbowe.
Huu ni utumbo tu ambao biashara yake mwisho saa 6. Mbowe anakabiliwa na tuhuma zilizotokea Magufuli akiwa Rais na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kumuachia, ndiyo utawala wa sheria huo.

Kuhusu Mbowe kumsaidia Samia nakataa kabisa. Mbowe hana hekima hata kidogo.

Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA?? Na Mdude akasema " nitamnyoa mama yenu kwa wembe uleule nilio mnyolea mtangulizi wake"

Nini kikiwapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.
 
Huu ni utumbo tu ambao biashara yake mwisho saa 6. Mbowe anakabiliwa na tuhuma zilizotokea Magufuli akiwa Rais na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kumuachia, ndiyo utawala wa sheria huo.

Kuhusu Mbowe kumsaidia Samia nakataa kabisa. Mbowe hana hekima hata kidogo.

Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA?? Na Mdude akasema " nitamnyoa mama yenu kwa wembe uleule nilio mnyolea mtangulizi wake"

Nini kikiwapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.
Nakwambia Ndani ya ccm mama ana maadui wanaotafuta kumchonganisha na kila kundi,,bahati mbaya mama ni laini sana hawezi pambana na chama kama chadema kamwe katu!! Magufuli na ubabe wake Chadema nadhani ni miongoni mwa vitu vilivyoharakisha kifo chake
 
Hahahahaha Mpwa huna akili hahahaha

Kwani uongo mkuu wangu? Kwa:

1. Kuwaachia Mbowe na wale makomando
2. Kufuatilia dhuluma walizofanyiwa
3. Kufuatilia makomando waliopotea
4. Kuonana na upinzani kama walivyoomba
5. Kutoa ratiba ya kurejelewa mchakato wa katiba mpya
6. Kuondoa kesi na hukumu za kubambikiziana
7. Kuhakikisha haki inatamalaki

Mama angejiweka katika nafasi nzuri, hata ya mi 10 tena.

Taabu yake yeye kajikita kwenye mi 5 mingine. Masikio wala haoni. Ngoja aumane na kina Polepole sasa.

Asipoangalia mi 5 itatoa mbawa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbowe atamsidia nn?
 
Sijawahi mwamini mbongo.kama unamwajili basi lazima uwe karibu naye.lasivyo utayakuta madudu.angalia watu wote macho ni kwenye kesi.kumbe watu wanapiga.Ni wajehuri balaa
 
Aache unafiki kwanini hakukubali hawamu iliyopita? Au yeye hawamu ya tano haikuwa inamihusu? Kama kuna madudu yalifanyika yanamuhusu moja kwa moja. Naye ni moja wapo ya watu wanaopaswa kuulizwa kwann hayo madudu yalitokea
 
Mbowe ale mvua muhuni
Wewe ndo wale ambao mama anasema kuwa mna mambo yenu mnayoyafanya... kwa kweli muda wenu unahesabika.... Mbwa nyie, unafiki umewajaa kutaka kumgombanisha Mama na wananchi..... AMEWASHTUKIA, INGAWA AMECHELEWA KUSHTUKA!!
 
Tunasema hakuna aliyepewa kesi ya ugaidi awamu ya Samia. Akina Mbowe wameandaliwa hiyo kesi na jini jiwe. Umeelewa we sukuma gang?
Chuki zako binafsi hazitokusaidia chochote ,,,

Hata tozo na makodi ya ajabu ajabu yanayoendelea hapa inchini,
Ipo siku mtasema ni magufuli ndy amezileta..
 
Huu ni utumbo tu ambao biashara yake mwisho saa 6. Mbowe anakabiliwa na tuhuma zilizotokea Magufuli akiwa Rais na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kumuachia, ndiyo utawala wa sheria huo.

Kuhusu Mbowe kumsaidia Samia nakataa kabisa. Mbowe hana hekima hata kidogo.

Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA?? Na Mdude akasema " nitamnyoa mama yenu kwa wembe uleule nilio mnyolea mtangulizi wake"

Nini kikiwapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.
Hii kesi iendelee tu ili CCM na Serikali yake dhalim izidi kuumbuka

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba Hawa wanasiasa uchwara wanamshambulia Magufuli kwa sababu bado ni tishio kwao anapambana nao yuko kaburini huyu jamaa alikuwa mwamba si mchezo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakika kabisa mkuu,,
Kila mtu mwenye akili tamamu anafahamu kwann mbowe yupo pale.

Sababu ya maslahi yao binafsi au udhaifu walionao,,
Wanaanza kukwepa ukweli na kumsingizia Magufuli.
Kama ni kweli wao wapo kwa maslahi mapana ya taifa hili basi waongee ukweli,

Vinginevyo watabaki kuwa ni wanasiasa uchwara.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbowe atamsidia nn?
Mbowe ana mtaji wa watu hilo halipingiki,,Samia atapumua na kuenjoy endapo ataachana na Chadema na wakaridhiana!! Otherwise Mzena haiko mbali
 
Back
Top Bottom