Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahaha Mpwa huna akili hahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha Mpwa huna akili hahahaha
Uhuni mnashirikiana.Mbowe ale mvua muhuni
Amwachie gaidi ili iwejeMh.Samia ebu jaribu kuvaa ujasiri,,,achana na akina Sirro wanakuchafua ni miongoni mwa watu wanaoamini mifumo dume,wanakupigia saluti kwa sababu ni sheria tu!!! Ila wanakudharau kama hulijui hili basi lijue,Mtoe ndg Mbowe Magereza na Ushirikiane nae atakusaidia mambo mengi!! Ni bingwa wa siasa za aina zote,,mbali na hilo utaendelea kulalamika usipate msaada ndani ya chama chako maana wamejaa wanafiki ndo hao unaosema wanakuangushia jumba bovu,,,amini mwanzoni ulikuwa umejipatia mtaji mkubwa wa kisiasa kutoka kwa mashabiki wa upinzani hasa chadema ,,wahuni ndani ya chama chako wakatafuta mbinu ya kukunyang'anya mtaji huo wakamkamata Mbowe ili uchukiwe na wameelekea kufanikiwa,,,ebu shtuka mama!! Wapinzani ndo walikuja na kauli mbiu ya "MAMA ANAUPIGA MWINGI" Jiulize toka akamatwe Mbowe neno hilo unalisikia!!!? Wahuni wanataka wakugombanishe na kila kundi ..Usiogope maneno kama katiba mpya kutana na wapinzani myajenge.....Mama nakuhurumia kwa jinsi wanafiki walivokuzunguka ndani ya chama hukutakiwa kugombana na Chadema maana utajiongezea presha,,Chadema ilimpeleka puta Magufuli na udikteta wake mpaka akanyoosha mikono pamoja na matumizi makubwa ya vyombo vya dola..Chadema itakuumiza mama chagua kushirikiana nayo achana na Mbowe.
Akiamungu sijatumwa ila namhurumia mama atapata shida sana akifitinishwa na chadema atafeli,,,Chadema ni vichwa ngumu sana!! Magu huko alipo anajua mziki wake!! Mama chadema ilimuunga mkono wahuni wakashtukia wakamgombanishaUmetumwa na lema hio
Huu ni utumbo tu ambao biashara yake mwisho saa 6. Mbowe anakabiliwa na tuhuma zilizotokea Magufuli akiwa Rais na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kumuachia, ndiyo utawala wa sheria huo.Mh.Samia ebu jaribu kuvaa ujasiri,,,achana na akina Sirro wanakuchafua ni miongoni mwa watu wanaoamini mifumo dume,wanakupigia saluti kwa sababu ni sheria tu!!! Ila wanakudharau kama hulijui hili basi lijue,Mtoe ndg Mbowe Magereza na Ushirikiane nae atakusaidia mambo mengi!! Ni bingwa wa siasa za aina zote,,mbali na hilo utaendelea kulalamika usipate msaada ndani ya chama chako maana wamejaa wanafiki ndo hao unaosema wanakuangushia jumba bovu,,,amini mwanzoni ulikuwa umejipatia mtaji mkubwa wa kisiasa kutoka kwa mashabiki wa upinzani hasa chadema ,,wahuni ndani ya chama chako wakatafuta mbinu ya kukunyang'anya mtaji huo wakamkamata Mbowe ili uchukiwe na wameelekea kufanikiwa,,,ebu shtuka mama!! Wapinzani ndo walikuja na kauli mbiu ya "MAMA ANAUPIGA MWINGI" Jiulize toka akamatwe Mbowe neno hilo unalisikia!!!? Wahuni wanataka wakugombanishe na kila kundi ..Usiogope maneno kama katiba mpya kutana na wapinzani myajenge.....Mama nakuhurumia kwa jinsi wanafiki walivokuzunguka ndani ya chama hukutakiwa kugombana na Chadema maana utajiongezea presha,,Chadema ilimpeleka puta Magufuli na udikteta wake mpaka akanyoosha mikono pamoja na matumizi makubwa ya vyombo vya dola..Chadema itakuumiza mama chagua kushirikiana nayo achana na Mbowe.
We ni mnufaika wa Samia kufeli sikushangaiAmwachie gaidi ili iweje
Umahemukwa sana.......
Nakwambia Ndani ya ccm mama ana maadui wanaotafuta kumchonganisha na kila kundi,,bahati mbaya mama ni laini sana hawezi pambana na chama kama chadema kamwe katu!! Magufuli na ubabe wake Chadema nadhani ni miongoni mwa vitu vilivyoharakisha kifo chakeHuu ni utumbo tu ambao biashara yake mwisho saa 6. Mbowe anakabiliwa na tuhuma zilizotokea Magufuli akiwa Rais na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kumuachia, ndiyo utawala wa sheria huo.
Kuhusu Mbowe kumsaidia Samia nakataa kabisa. Mbowe hana hekima hata kidogo.
Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".
Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.
On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA?? Na Mdude akasema " nitamnyoa mama yenu kwa wembe uleule nilio mnyolea mtangulizi wake"
Nini kikiwapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.
Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.
Hahahahaha Mpwa huna akili hahahaha
Kwa maana hiyo mnatueleza kuwa mama hahusiki na kesi ya Mbowe?
Wewe ndo wale ambao mama anasema kuwa mna mambo yenu mnayoyafanya... kwa kweli muda wenu unahesabika.... Mbwa nyie, unafiki umewajaa kutaka kumgombanisha Mama na wananchi..... AMEWASHTUKIA, INGAWA AMECHELEWA KUSHTUKA!!Mbowe ale mvua muhuni
Bado hujajifungua tu?Hakuna anayepambana na dikteta. Hana legacy yoyote mwizi yule
Chuki zako binafsi hazitokusaidia chochote ,,,Tunasema hakuna aliyepewa kesi ya ugaidi awamu ya Samia. Akina Mbowe wameandaliwa hiyo kesi na jini jiwe. Umeelewa we sukuma gang?
Hii kesi iendelee tu ili CCM na Serikali yake dhalim izidi kuumbukaHuu ni utumbo tu ambao biashara yake mwisho saa 6. Mbowe anakabiliwa na tuhuma zilizotokea Magufuli akiwa Rais na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kumuachia, ndiyo utawala wa sheria huo.
Kuhusu Mbowe kumsaidia Samia nakataa kabisa. Mbowe hana hekima hata kidogo.
Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".
Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.
On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA?? Na Mdude akasema " nitamnyoa mama yenu kwa wembe uleule nilio mnyolea mtangulizi wake"
Nini kikiwapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.
Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.
Hakika kabisa mkuu,,Ukweli ni kwamba Hawa wanasiasa uchwara wanamshambulia Magufuli kwa sababu bado ni tishio kwao anapambana nao yuko kaburini huyu jamaa alikuwa mwamba si mchezo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu wenye vyeti feki wamesharudishwa kazini?Hakuna anayepambana na dikteta. Hana legacy yoyote mwizi yule
Mbowe ana mtaji wa watu hilo halipingiki,,Samia atapumua na kuenjoy endapo ataachana na Chadema na wakaridhiana!! Otherwise Mzena haiko mbali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbowe atamsidia nn?