Zitto: Hata kesi ya Mbowe ni jumba bovu kwa awamu ya 6. IFUTWE!

Zitto: Hata kesi ya Mbowe ni jumba bovu kwa awamu ya 6. IFUTWE!

H
Hivi Magufuli kama kwl ndy aliyekuwa na visasi?
Hivi mbowe kakamatwa wakati wa Magufuli?

Hivi wale uamsho walitolewa na nani mahabusu?
Na kama waliopo madarakani wanafata ya Magufuli kuna Mambo mangapi ya Magufuli ,, wameyageuka?

Walishindwa nn kutokumkamata mbowe na kumpa kesi ya ugaidi?
Mbowe amematwa na kupewa kesi ya ugaidi kila mtu anafahamu tatizo ni nn?
Tatizo ni kudai katiba mpya,,tena walisema wataitisha maandamano bila kikomo inchi nzima.
Hilo pia sababu ni Magufuli?

Ama kweli marehemu Hana haki..
Atasingiziwa kila kinachotokea hapa Tanzania.
Tuwache siasa za kinafiki,,tuwe wakweli.

Ifike kipindi ukweli usemwe na sio kumsingizia Magufuli kila kukicha..
Hawa ni wapuuzi tu, Magufuri amekuwa madarakani na Mbowe yupo nakama Magufuri angelitaka kumkamata Mbowe angelifanya hivo, Maana Magufuri alikuwa amwogopi Mtu yeyote.Mbowe kakamatwa na Samia na kufunguliwa mashitaka na Samia lawama zote kwa Magufuri, Mbona Samia alivoshika madaraka aliwaachia akina Lugemarila n Mashee wa uhamisho,na Mafisadi wengi waliokuwa wamekamatwa na Magufuri?Samia ahache uhuni,kumsingizia marehemu sio pow.
M
 
Mh.Samia ebu jaribu kuvaa ujasiri,,,achana na akina Sirro wanakuchafua ni miongoni mwa watu wanaoamini mifumo dume,wanakupigia saluti kwa sababu ni sheria tu!!! Ila wanakudharau kama hulijui hili basi lijue,Mtoe ndg Mbowe Magereza na Ushirikiane nae atakusaidia mambo mengi!! Ni bingwa wa siasa za aina zote,,mbali na hilo utaendelea kulalamika usipate msaada ndani ya chama chako maana wamejaa wanafiki ndo hao unaosema wanakuangushia jumba bovu,,,amini mwanzoni ulikuwa umejipatia mtaji mkubwa wa kisiasa kutoka kwa mashabiki wa upinzani hasa chadema ,,wahuni ndani ya chama chako wakatafuta mbinu ya kukunyang'anya mtaji huo wakamkamata Mbowe ili uchukiwe na wameelekea kufanikiwa,,,ebu shtuka mama!! Wapinzani ndo walikuja na kauli mbiu ya "MAMA ANAUPIGA MWINGI" Jiulize toka akamatwe Mbowe neno hilo unalisikia!!!? Wahuni wanataka wakugombanishe na kila kundi ..Usiogope maneno kama katiba mpya kutana na wapinzani myajenge.....Mama nakuhurumia kwa jinsi wanafiki walivokuzunguka ndani ya chama hukutakiwa kugombana na Chadema maana utajiongezea presha,,Chadema ilimpeleka puta Magufuli na udikteta wake mpaka akanyoosha mikono pamoja na matumizi makubwa ya vyombo vya dola..Chadema itakuumiza mama chagua kushirikiana nayo achana na Mbowe.
Nimekuelewa

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mambo yaliyopo mahakamani yataamriwa na Mahakama. Tusiingilie na kujadili masuala yaliyopo mahakamani.
 
Ukipenda boga penda na ua lake..ccm huipendi ila mwenyekiti wake ndio kipenzi chako..na unafaham fika huyu mpendwa wako ni mwajiriwa wa ccm..

Kwanini usimshauri arudishe kadi ya ccm kisha aende huko unapopataka ili umpende vizuri.

Nyie si ndio waumini wa mnachokiita taasisi imara..cant you operate your politics without the presence of mbowe..kwan hyo sio one man show.
 
Zito nae akili ameshikiliwa na ccm ya Jakaya!!
Nani alimfikisha mbowe mahakamani? JPM AU SAMIA?
 
Ma ccm sasaiv yanataka kusukuma ubovu wao kwa Magifuri, ikiwemo ccm member Zitto!!
Hii ni trick ili ionekane wao ni wasafi na mchafu ni Magufuri..
 
Mh.Samia ebu jaribu kuvaa ujasiri,,,achana na akina Sirro wanakuchafua ni miongoni mwa watu wanaoamini mifumo dume,wanakupigia saluti kwa sababu ni sheria tu!!! Ila wanakudharau kama hulijui hili basi lijue,Mtoe ndg Mbowe Magereza na Ushirikiane nae atakusaidia mambo mengi!! Ni bingwa wa siasa za aina zote,,mbali na hilo utaendelea kulalamika usipate msaada ndani ya chama chako maana wamejaa wanafiki ndo hao unaosema wanakuangushia jumba bovu,,,amini mwanzoni ulikuwa umejipatia mtaji mkubwa wa kisiasa kutoka kwa mashabiki wa upinzani hasa chadema ,,wahuni ndani ya chama chako wakatafuta mbinu ya kukunyang'anya mtaji huo wakamkamata Mbowe ili uchukiwe na wameelekea kufanikiwa,,,ebu shtuka mama!! Wapinzani ndo walikuja na kauli mbiu ya "MAMA ANAUPIGA MWINGI" Jiulize toka akamatwe Mbowe neno hilo unalisikia!!!? Wahuni wanataka wakugombanishe na kila kundi ..Usiogope maneno kama katiba mpya kutana na wapinzani myajenge.....Mama nakuhurumia kwa jinsi wanafiki walivokuzunguka ndani ya chama hukutakiwa kugombana na Chadema maana utajiongezea presha,,Chadema ilimpeleka puta Magufuli na udikteta wake mpaka akanyoosha mikono pamoja na matumizi makubwa ya vyombo vya dola..Chadema itakuumiza mama chagua kushirikiana nayo achana na Mbowe.
Kama ni mwanakijani ni miongoni mwa mliokuwa waereu kuliko kundi la wanakijani walio wengi kama sii rundo🤔.Ni wachache Sana miongoni mwenu, vinginevyo umejinathibisha nao tu.
 
Ukweli ni kwamba Hawa wanasiasa uchwara wanamshambulia Magufuli kwa sababu bado ni tishio kwao anapambana nao yuko kaburini huyu jamaa alikuwa mwamba si mchezo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kitaalamu tunaiita MALALAMIKO KANTRI.
Wananchi wanalalamika TOZO, wananchi wanalalamika UMEME, wananchi wanalalamika MAJI, machinga wanalalamika biashara zao kuharibiwa na Rais analalamika anaangushiwa jumba bovu, nani wa kumfariji mwenzie katika nchi hii..Nchi ngumu sana hii

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
TODAYS anakodoa macho tu kama mjusi aliyebanwa na mlango, haamini jinsi legasi inavyopopolewa[emoji1787][emoji1787]
Mkuu tembo kapigwa risasi 31 December 2021 kafa January 2022.

👉🏾 Swali tembo kauwawa mwaka gani?.
 
Wakibadilishwa majina then ndio inaondoa ukweli Kwamba walikamatwa na utawala wa Magufuli?
Wakibadilishwa majina then ndio inaondoa ukweli Kwamba walikamatwa na utawala wa Magufuli?
Ok why DPP wa kipindi Cha magufuli hakufungua kesi mapema...magufuli aliamua kuachana na huo mtego wa kina kingai kesi haina ushahidi...lengo lao ilikuwa ni kuwabambikia kesi tofauti na hii iliyopo...so kwa nini majina yabadilishwe !!!
 
Sukuma GANG wamebaki serikalini, wamemuanguashia jumba bovu. Anashituka kachelewa.
Namchukia sana hiki kibibi cha kiarabu.
Wewe fulafula Kwani kila mwarabu anavaa ushungi wa kiislam ?!!!

MAKUNDUCHI na waarabu wapi na wapi?!!!

Huijui historia ya Afrika utayajuaye mambo nyeti ya nchi ?!!!
 
Huu ni utumbo tu ambao biashara yake mwisho saa 6. Mbowe anakabiliwa na tuhuma zilizotokea Magufuli akiwa Rais na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kumuachia, ndiyo utawala wa sheria huo.

Kuhusu Mbowe kumsaidia Samia nakataa kabisa. Mbowe hana hekima hata kidogo.

Haina ubishi wanufaika wakubwa wa siku 100 za kwanza za Rais SSH ni CDM, Mbowe na Mdude kwa maelekezo, falsafa na haiba ya Samia. Mpaka tukaandika threads nyingi za kusema "Mama anaupiga mwingi".

Ningetegemea Mbowe na Lissu watumie busara katika madai yao kwa kuwa wasikivu na wavumilivu pale Samia aliposema suala la Katiba lisubiri ajenge uchumi.

On the contrary Mbowe na Lissu wakaanza kumfokea Rais kama vile ni mbunge wa BAWACHA?? Na Mdude akasema " nitamnyoa mama yenu kwa wembe uleule nilio mnyolea mtangulizi wake"

Nini kikiwapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia.
Comment ina MADINI haswaa......
 
Back
Top Bottom