Zitto: Hata kesi ya Mbowe ni jumba bovu kwa awamu ya 6. IFUTWE!

Zitto: Hata kesi ya Mbowe ni jumba bovu kwa awamu ya 6. IFUTWE!

Tumeanza kujadiliwa kimataifa kwa mambo ya kipumbavu. Sababu ya chuki za kishenzi. Hivi Tanzania ya Mwalimu ni nchi ya kujadiliwa kuhusu demokrasia? Mh rais haoni hilo doa??
Alishauriwa mapema kwamba Jpm alikuwa na kundi la wahuni hakusikia. Sasa pressure zina mpanda mama wa watu. Bado Siro yuko ofisini????
 
Tumeanza kujadiliwa kimataifa kwa mambo ya kipumbavu. Sababu ya chuki za kishenzi. Hivi Tanzania ya Mwalimu ni nchi ya kujadiliwa kuhusu demokrasia? Mh rais haoni hilo doa??
Alishauriwa mapema kwamba Jpm alikuwa na kundi la wahuni hakusikia. Sasa pressure zina mpanda mama wa watu. Bado Siro yuko ofisini????
Mama naye inabidi ajitafakari
 
Zipo dalili za Mama kunawa na Sunsiro kustaafu kwa aibu kubwa. "... Nilikwambieni madhambi na aibu ...huo ushahidi uko wapi..."
 
View attachment 2032644

Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Leo Mtukufu Rais kwa kinywa chake mwenyewe ametamka kwamba ameona mambo ya hovyo ambayo amebambikiwa na awamu zilizopita , ameongea mengi na kukemea vikali kundi la watu waliomuangushia gari bovu kwenye awamu yake kwa lengo la kumchafua .

Mh Samia hakuwataja wapinzani , bali amewataja wanaccm wenzake na viongozi waliomo kwenye serikali yake mwenyewe , hawa watu wa hovyo ndio walewale waliokuwemo kwenye awamu ya 5 , hawa ndio waliomuangushia gari bovu mama na kumlisha maneno ya uongo ya kwamba Freeman Mbowe ni Gaidi , Njama zote za kumbambika kesi ya Uongo ya Ugaidi Mbowe zilipangwa kwenye awamu ya 5 na hawa hawa watu wa hovyo waliotajwa leo

Kesi ya uongo iliyofunguliwa kishamba sana bila hata ushahidi wa kuthibitisha ugaidi wa Mbowe , sasa inadhalilisha Nchi kila mahali duniani , mliyoyasikia huko EU ni ushahidi wa kwamba hili ni gari bovu aliloangushiwa mama na utawala uliopita kwa msaada wa vyombo vya dola , ANAPASWA KUTOONA AIBU KUIFUTA KESI HII ILI KULINDA HESHIMA YA UTAWALA WAKE , na baada ya kufuta uchafu huu unaoleta harufu kali na mbaya duniani kote , tunaamini atafanya mabadiliko kwenye uongozi wa vyombo vya dola nchini , Ili kuondoa watu wa hovyo wanamuangushia gari bovu

KUANZA UPYA SI UJINGA .
Mama amaenza kutambua ukweli kuwa kesi ya Mbowe ni jumba bovu wanataka adhalilike yeye.

Majaji wa Mwendakuzimu akina Siyani, Liganga na wenzake mmesikia hilo?
 
Hao makomandoo wamekamatwa mwezi wa 8 mwaka 2020, ilikua Ni awamu ya ngapi hio?
Kusema hivyo Wenda hufatilii kesi iliyopo mahakani....hao makamando wanasema walibadilishiwa majina...huwezi jiongeza kwa nini majina yalibadilishwa
 
Back
Top Bottom