Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hii "maneno" wakiona wale disciples wake wanafura ile ngumu!Hata miandiko yao tu utatambua wanaandika huku wanatetemeka kwa hasira.๐๐๐๐Jiwe alikuwa mwizi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii "maneno" wakiona wale disciples wake wanafura ile ngumu!Hata miandiko yao tu utatambua wanaandika huku wanatetemeka kwa hasira.๐๐๐๐Jiwe alikuwa mwizi sana
Jiwe alizidi (alitia fora).Hivi unadhani CCM ilipata wapi hela za kampeini ya mwaka 2015,miaka yote fedha ya kampaini hupatikana kwa njia ya ufisadi, Nani sio mwizi CCM?
Tumeanza kujadiliwa kimataifa kwa mambo ya kipumbavu. Sababu ya chuki za kishenzi. Hivi Tanzania ya Mwalimu ni nchi ya kujadiliwa kuhusu demokrasia? Mh rais haoni hilo doa??
Wacha wachukie mpk wapasukeHii "maneno" wakiona wale disciples wake wanafura ile ngumu!Hata miandiko yao tu utatambua wanaandika huku wanatetemeka kwa hasira.๐๐๐๐
Wakuu wa usalama, washauri ni wa Magu au wa Mama.Samia aliteua DPP wake ndio akamshtaki Mbowe kwa hii kesi, sio DPP wa Magufuli (Biswalo Mganga)
Sasa ni jumba bovu kivipi wakati DPP ni wa Samia?
Mama naye inabidi ajitafakariTumeanza kujadiliwa kimataifa kwa mambo ya kipumbavu. Sababu ya chuki za kishenzi. Hivi Tanzania ya Mwalimu ni nchi ya kujadiliwa kuhusu demokrasia? Mh rais haoni hilo doa??
Alishauriwa mapema kwamba Jpm alikuwa na kundi la wahuni hakusikia. Sasa pressure zina mpanda mama wa watu. Bado Siro yuko ofisini????
Mama kazingua lkn. Kwann analalamika badala ya kuchukua hatua??
Mtu aliyeonja nyama ya mtu hivi ataanzaje kuona aibu kunywa supu yake kabisa?Zipo dalili za Mama kunawa na Sunsiro kustaafu kwa aibu kubwa. "... Nilikwambieni madhambi na aibu ...huo ushahidi uko wapi..."
Mama amaenza kutambua ukweli kuwa kesi ya Mbowe ni jumba bovu wanataka adhalilike yeye.View attachment 2032644
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Leo Mtukufu Rais kwa kinywa chake mwenyewe ametamka kwamba ameona mambo ya hovyo ambayo amebambikiwa na awamu zilizopita , ameongea mengi na kukemea vikali kundi la watu waliomuangushia gari bovu kwenye awamu yake kwa lengo la kumchafua .
Mh Samia hakuwataja wapinzani , bali amewataja wanaccm wenzake na viongozi waliomo kwenye serikali yake mwenyewe , hawa watu wa hovyo ndio walewale waliokuwemo kwenye awamu ya 5 , hawa ndio waliomuangushia gari bovu mama na kumlisha maneno ya uongo ya kwamba Freeman Mbowe ni Gaidi , Njama zote za kumbambika kesi ya Uongo ya Ugaidi Mbowe zilipangwa kwenye awamu ya 5 na hawa hawa watu wa hovyo waliotajwa leo
Kesi ya uongo iliyofunguliwa kishamba sana bila hata ushahidi wa kuthibitisha ugaidi wa Mbowe , sasa inadhalilisha Nchi kila mahali duniani , mliyoyasikia huko EU ni ushahidi wa kwamba hili ni gari bovu aliloangushiwa mama na utawala uliopita kwa msaada wa vyombo vya dola , ANAPASWA KUTOONA AIBU KUIFUTA KESI HII ILI KULINDA HESHIMA YA UTAWALA WAKE , na baada ya kufuta uchafu huu unaoleta harufu kali na mbaya duniani kote , tunaamini atafanya mabadiliko kwenye uongozi wa vyombo vya dola nchini , Ili kuondoa watu wa hovyo wanamuangushia gari bovu
KUANZA UPYA SI UJINGA .
Hata kesi za kubambikiza zilianza awamu ya tano kama mama alivyosema yeye atasimama na haki za wananchi kama alivyoapa.Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato๐๐๐
View attachment 2032671
Mama Hana kifua na nafasi kuhifadhi visasi na roho mbaya, tumsamehe na kumuombea alikuwa na mashinikizo makubwa wafuasi wa mwenda zake.Mtu aliyeonja nyama ya mtu hivi ataanzaje kuona aibu kunywa supu yake kabisa?
Leo mama ameshtuka. Atasimamia haki za wananchi sio za akina Kingai ,Goodluck na dereva azizi.Kwa ilo gari bovu ulikua utawala wa chama gani kama sio ccm. Shida, mateso kwa watanzania na mikataba mibovu yote ni zao la ccm
Ayatimulie mbali na kuyafungulia kesi mahuni hayo.Mama Hana kifua na nafasi kuhifadhi visasi na roho mbaya, tumsamehe na kumuombea alikuwa na mashinikizo makubwa wafuasi wa mwenda zake.
Kusema hivyo Wenda hufatilii kesi iliyopo mahakani....hao makamando wanasema walibadilishiwa majina...huwezi jiongeza kwa nini majina yalibadilishwaHao makomandoo wamekamatwa mwezi wa 8 mwaka 2020, ilikua Ni awamu ya ngapi hio?