Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Naomba kumuuliza Mhe. Zitto kama ameshiriki kuunda hii timu iliyotajwa na Msajili au Msajili Kwa namna alivyoona inafaa ndiye kaja na wajumbe wake? Mwenyekiti wa timu hii kweli tunaamini ni mtu wakumleta kwenye hoja nyeti wakati alishatoa kauli mbili tofauti juu ya uchaguzi uliopita? Ana kauli ya baada ya uchaguzi na baada yakuingia awamu wa sita.
Huyu Mwenyekiti wa amani wa Dar es salaam tunaamini anatuvusha na Makamu wake?
Wawajilishi wa vyama vya siasa ndo Hawa? Wawalishi wa Asasi za kiraia nafasi hazina majina means awakushirikishwa wateue watu?
Nataka Kuanza kuamini katiba mpya ni ngumu kupatikana Kwa namna agenda zinavyowekwa meza kuu
Huyu Mwenyekiti wa amani wa Dar es salaam tunaamini anatuvusha na Makamu wake?
Wawajilishi wa vyama vya siasa ndo Hawa? Wawalishi wa Asasi za kiraia nafasi hazina majina means awakushirikishwa wateue watu?
Nataka Kuanza kuamini katiba mpya ni ngumu kupatikana Kwa namna agenda zinavyowekwa meza kuu