Tume inaundwa.
Ina wajumbe 10.
Mmoja mwandishi wa habari.
Mmoja jaji mstaafu
Mmoja mwanaharakati maarufu
Mmoja kiongozi wa dini (Mkristo)
Mmoja kiongozi wa dini (Muislam)
Mmoja kiongozi mstaafu wa chama cha upinzani
Mmoja kiongozi mstaafu wa chama tawala
Mmoja mhadhiri wa chuo kikuu kimoja
Mmoja mwananchi aliyetambulishwa kama mkulima.
Mmoja mwananchi aliyetambulishwa kama mjasiriamali.
Wananchi wanapiga makofi kwa sababu "hakuna mtu wa serikali hapo."
Wasichojua, watu hao 10 wote ni wa kitengo.
And this is how it works.
Na "baadhi ya washirika wenu katika harakati zenu" wapo kazini.
Yes, that is how it works.