Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
😅😅😅😅😅😅😅
Chadema hamkushiriki mkutano, acheni walioshiriki waunde timu inayowafaa. Kelele za nini. Nyie tazameni tu ,train ndiyo inaondoka hivyo bila nyie. Akili za kuambiwa na Lissu muwe mnachanganya na zenu.
Naomba kumuuliza Mhe. Zitto kama ameshiriki kuunda hii timu iliyotajwa na Msajili au Msajili Kwa namna alivyoona inafaa ndiye kaja na wajumbe wake? Mwenyekiti wa timu hii kweli tunaamini ni mtu wakumleta kwenye hoja nyeti wakati alishatoa kauli mbili tofauti juu ya uchaguzi uliopita? Ana kauli ya baada ya uchaguzi na baada yakuingia awamu wa sita.
Huyu Mwenyekiti wa amani wa Dar es salaam tunaamini anatuvusha na Makamu wake?
Wawajilishi wa vyama vya siasa ndo Hawa? Wawalishi wa Asasi za kiraia nafasi hazina majina means awakushirikishwa wateue watu?
Nataka Kuanza kuamini katiba mpya ni ngumu kupatikana Kwa namna agenda zinavyowekwa meza kuu
Tume inaundwa.Me ninachowaza tupaze sauti kama wanataka kuwapa watanzania tume huru ya katiba basi basi iwe huru kweli kweli isiingiliwe na mihimili mingine kabisa!
Kwa mfano unaposema tume itaongozwa na labda Jaji fulani ambaye kachaguliwa na Rais moja kwa moja lazima awe biased,
Au Rais ndo anateuwa wajumbe lazima ateuwe anaojua watamfavor,
Tume huru iongozwe na watu ambao hawana affiliation na serikali, kwa mfano taasisi za dini, vyama upinzani vyote viwe na wajumbe angalau hata wawili kwa kila chama, taasisi zinazotetea haki za binadamu wajumuishwe,
Ndani ya hawa wajumbe wafanyiane vetting wenyewe kumchagua mwenyekiti, makamu n.k badala ya Rais kupendekeza viongozi
hapa tunapigwa changa la macho wazi wazi kabisa, hamna tume huru hapoTume inaundwa.
Ina wajumbe 10.
Mmoja mwandishi wa habari.
Mmoja jaji mstaafu
Mmoja mwanaharakati maarufu
Mmoja kiongozi wa dini (Mkristo)
Mmoja kiongozi wa dini (Muislam)
Mmoja kiongozi mstaafu wa chama cha upinzani
Mmoja kiongozi mstaafu wa chama tawala
Mmoja mhadhiri wa chuo kikuu kimoja
Mmoja mwananchi aliyetambulishwa kama mkulima.
Mmoja mwananchi aliyetambulishwa kama mjasiriamali.
Wananchi wanapiga makofi kwa sababu "hakuna mtu wa serikali hapo."
Wasichojua, watu hao 10 wote ni wa kitengo.
And this is how it works.
Na "baadhi ya washirika wenu katika harakati zenu" wapo kazini.
Yes, that is how it works.
Chahali zaidi ya kutangaza kifo cha Magufuli , ambayo haikuwa na faida yoyote hata hivyo , hivi umesaidia nini taifa lako ?Tume inaundwa.
Ina wajumbe 10.
Mmoja mwandishi wa habari.
Mmoja jaji mstaafu
Mmoja mwanaharakati maarufu
Mmoja kiongozi wa dini (Mkristo)
Mmoja kiongozi wa dini (Muislam)
Mmoja kiongozi mstaafu wa chama cha upinzani
Mmoja kiongozi mstaafu wa chama tawala
Mmoja mhadhiri wa chuo kikuu kimoja
Mmoja mwananchi aliyetambulishwa kama mkulima.
Mmoja mwananchi aliyetambulishwa kama mjasiriamali.
Wananchi wanapiga makofi kwa sababu "hakuna mtu wa serikali hapo."
Wasichojua, watu hao 10 wote ni wa kitengo.
And this is how it works.
Na "baadhi ya washirika wenu katika harakati zenu" wapo kazini.
Yes, that is how it works.
Fikra za watu wengine zinafikirisha sana, hata kama kina Zitto & co. wakifanikiwa kuunda tume huru kitu ambacho ni next to impossible unadhani itakuwa ni tume ya CCM na ACT tuu?Chadema hamkushiriki mkutano, acheni walioshiriki waunde timu inayowafaa. Kelele za nini. Nyie tazameni tu ,train ndiyo inaondoka hivyo bila nyie. Akili za kuambiwa na Lissu muwe mnachanganya na zenu.
Fikra za watu wengine zinafikirisha sana, hata kama kina Zitto & co. wakifanikiwa kuunda tume huru kitu ambacho ni next to impossible unadhani itakuwa ni tume ya CCM na ACT
Fikra za watu wengine zinafikirisha sana, hata kama kina Zitto & co. wakifanikiwa kuunda tume huru kitu ambacho ni next to impossible unadhani itakuwa ni tume ya CCM na ACT tuu?
Itakuwa Tume ya wote. Ndiyo maana inabidi Chadema wakae kimya watulie, waundiwe Tume. You cannot eat your cake and have it. Meaning you can't enjoy both of two desirable.a ACT tuu?
Kwa vile wewe hukushiriki kuandika katiba ya 1977 huna ruhusa ya kuijadili? What a thinking.Itakuwa Tume ya wote. Ndiyo maana inabidi Chadema wakae kimya watulie, waundiwe Tume. You cannot eat your cake and have it. Meaning you can't enjoy both of two desirable.
Chadema haiwezi kukaa nje na wakati huo huo wanataka kuwa na say kwenye mambo yanayofanyika ndani.
Please remain within the context of the issue.. Chadema wamealikwa wawe sehemu ya mkutano, wamekataa, lakini hapo hapo wanataka wafanye maamuzi ya yanayoendelea ndani ya kikao hicho hicho wao wakiwa nje..Hakuna uhusiano na swali unalouliza.Kwa vile wewe hukushiriki kuandika katiba ya 1977 huna ruhusa ya kuijadili? What a thinking.
Uamuzi gani Chadema wanataka wafanye.Please remain within the context of the issue.. Chadema wamealikwa wawe sehemu ya mkutano, wamekataa, lakini hapo hapo wanataka wafanye maamuzi ya yanayoendelea ndani ya kikao hicho hicho wao wakiwa nje..Hakuna uhusiano na swali unalouliza.
Kutoshiriki kwa kuwa wakati huo haukualikwa na kutoshiriki baada ya kualikwa ukakataa ni vitu viwili tofauti.Kwa vile wewe hukushiriki kuandika katiba ya 1977 huna ruhusa ya kuijadili? What a thinking.
The bottom line ni kuhoji nani awe mjumbe wa kamati nani asiwe wakati walisusia kikao.Uamuzi gani Chadema wanataka wafanye.
Na kwanini wasihoji, wanaotakiwa kuhoji ni wale tu waliohudhuria? Kwani posho za wajumbe zinalipwa na CCM au ACT si wanalipwa kwa kodi za wananchi. Hivi wanafunzi waliwakilishwa na nani wakulima je kwahiyo wasihoji.The bottom line ni kuhoji nani awe mjumbe wa kamati nani asiwe wakati walisusia kikao.
Me ninachowaza tupaze sauti kama wanataka kuwapa watanzania tume huru ya katiba basi basi iwe huru kweli kweli isiingiliwe na mihimili mingine kabisa!
Kwa mfano unaposema tume itaongozwa na labda Jaji fulani ambaye kachaguliwa na Rais moja kwa moja lazima awe biased,
Au Rais ndo anateuwa wajumbe lazima ateuwe anaojua watamfavor,
Tume huru iongozwe na watu ambao hawana affiliation na serikali, kwa mfano taasisi za dini, vyama upinzani vyote viwe na wajumbe angalau hata wawili kwa kila chama, taasisi zinazotetea haki za binadamu wajumuishwe,
Ndani ya hawa wajumbe wafanyiane vetting wenyewe kumchagua mwenyekiti, makamu n.k badala ya Rais kupendekeza viongozi