Wewe ni Mjing&&& issue hii unaichukulia kichama duhChadema hamkushiriki mkutano, acheni walioshiriki waunde timu inayowafaa. Kelele za nini. Nyie tazameni tu ,train ndiyo inaondoka hivyo bila nyie. Akili za kuambiwa na Lissu muwe mnachanganya na zenu.
Hivi kuna watu timamu walitarajia jambo la maana kwenye kile kikao? Chadema siku zote wako mbele ya muda yaani mkandara daah anyway ujinga ni mzigo mkubwa kwa wadanganyikahapa tunapigwa changa la macho wazi wazi kabisa, hamna tume huru hapo
Nchi hii kuna majitu majinga sana nahayo ndio msaada wa cccmFikra za watu wengine zinafikirisha sana, hata kama kina Zitto & co. wakifanikiwa kuunda tume huru kitu ambacho ni next to impossible unadhani itakuwa ni tume ya CCM na ACT tuu?
Kwa hiyo CHADEMA kwa kuwa hawakuwepo ndio iwe kigezo Cha CCM kuweka Wana CCM kwenye hiyo timu?,Please remain within the context of the issue.. Chadema wamealikwa wawe sehemu ya mkutano, wamekataa, lakini hapo hapo wanataka wafanye maamuzi ya yanayoendelea ndani ya kikao hicho hicho wao wakiwa nje..Hakuna uhusiano na swali unalouliza.
Jambo kubwa kwa nchi haliwezi kufanyika chini ya rais dhaifu kama wa sasaNaomba kumuuliza Mhe. Zitto kama ameshiriki kuunda hii timu iliyotajwa na Msajili au Msajili Kwa namna alivyoona inafaa ndiye kaja na wajumbe wake? Mwenyekiti wa timu hii kweli tunaamini ni mtu wakumleta kwenye hoja nyeti wakati alishatoa kauli mbili tofauti juu ya uchaguzi uliopita? Ana kauli ya baada ya uchaguzi na baada yakuingia awamu wa sita.
Huyu Mwenyekiti wa amani wa Dar es salaam tunaamini anatuvusha na Makamu wake?
Wawajilishi wa vyama vya siasa ndo Hawa? Wawalishi wa Asasi za kiraia nafasi hazina majina means awakushirikishwa wateue watu?
Nataka Kuanza kuamini katiba mpya ni ngumu kupatikana Kwa namna agenda zinavyowekwa meza kuu
Mjumbe enzi za Magufuli akidai kuwa Magufuli ni zaidi ya Mungu,ni zaidi ya Yesu na ni zaidi ya Mtume Mohamadi🤡🤡🤡
Haa huwa wanajiona special sana .wanafiki watabembelezwaChadema hamkushiriki mkutano, acheni walioshiriki waunde timu inayowafaa. Kelele za nini. Nyie tazameni tu ,train ndiyo inaondoka hivyo bila nyie. Akili za kuambiwa na Lissu muwe mnachanganya na zenu.
Kabisa kabisa, mfumo wa kenya ni mzuri sana, tume ya uchaguzi, mahakama, bunge, vyombo vya usalama etcKatiba mpya ndio jibu.. huwezi kuwa na tume huru kama mahakama sio huru, bunge sio huru, etc
Changa la macho hili.Naomba kumuuliza Mhe. Zitto kama ameshiriki kuunda hii timu iliyotajwa na Msajili au Msajili Kwa namna alivyoona inafaa ndiye kaja na wajumbe wake? Mwenyekiti wa timu hii kweli tunaamini ni mtu wakumleta kwenye hoja nyeti wakati alishatoa kauli mbili tofauti juu ya uchaguzi uliopita? Ana kauli ya baada ya uchaguzi na baada yakuingia awamu wa sita.
Huyu Mwenyekiti wa amani wa Dar es salaam tunaamini anatuvusha na Makamu wake?
Wawajilishi wa vyama vya siasa ndo Hawa? Wawalishi wa Asasi za kiraia nafasi hazina majina means awakushirikishwa wateue watu?
Nataka Kuanza kuamini katiba mpya ni ngumu kupatikana Kwa namna agenda zinavyowekwa meza kuu
Wakae hivyo hivyo na waendelea kubweka kama mbwa aliyenyangwanywa fupaUamuzi gani Chadema wanataka wafanye.
Kama kuna makosa makubwa walifanya CHADEMA ni kutoshiriki huu mkutano. Ingewasaidia kupambana wakiwa ndani. If you can't fight them, join them!Please remain within the context of the issue.. Chadema wamealikwa wawe sehemu ya mkutano, wamekataa, lakini hapo hapo wanataka wafanye maamuzi ya yanayoendelea ndani ya kikao hicho hicho wao wakiwa nje..Hakuna uhusiano na swali unalouliza.
Mkuu na wewe changanya na za watu wenye maono na hekimaChadema hamkushiriki mkutano, acheni walioshiriki waunde timu inayowafaa. Kelele za nini. Nyie tazameni tu ,train ndiyo inaondoka hivyo bila nyie. Akili za kuambiwa na Lissu muwe mnachanganya na zenu.
DuhMjumbe enzi za Magufuli akidai kuwa Magufuli ni zaidi ya Mungu,ni zaidi ya Yesu na ni zaidi ya Mtume Mohamadi🤡🤡🤡View attachment 2055232
Kwa ninavyo ona na kuchambua hali halisi ya siasa CHADEMA ina inatisha na inawatatiza watu wengi, wakubwa kwa wadogo, wenye wasomi na wenzangu mimi, matajiri na wanyonge na hata wazalendo na wasio wazalendo.Itakuwa Tume ya wote. Ndiyo maana inabidi Chadema wakae kimya watulie, waundiwe Tume. You cannot eat your cake and have it. Meaning you can't enjoy both of two desirable.
Chadema haiwezi kukaa nje na wakati huo huo wanataka kuwa na say kwenye mambo yanayofanyika ndani.
Mkuu bado tu!!Please remain within the context of the issue.. Chadema wamealikwa wawe sehemu ya mkutano, wamekataa, lakini hapo hapo wanataka wafanye maamuzi ya yanayoendelea ndani ya kikao hicho hicho wao wakiwa nje..Hakuna uhusiano na swali unalouliza
Tulieni mfundishwe siasa.Kwa hiyo CHADEMA kwa kuwa hawakuwepo ndio iwe kigezo Cha CCM kuweka Wana CCM kwenye hiyo timu?,
Bado walipaswa kuweka timu inayokubalika na pande zote bila kujali Kama CDM hawakuwepo au walikuwepo.
Me ninachowaza tupaze sauti kama wanataka kuwapa watanzania tume huru ya katiba basi basi iwe huru kweli kweli isiingiliwe na mihimili mingine kabisa!
Kwa mfano unaposema tume itaongozwa na labda Jaji fulani ambaye kachaguliwa na Rais moja kwa moja lazima awe biased,
Au Rais ndo anateuwa wajumbe lazima ateuwe anaojua watamfavor,
Tume huru iongozwe na watu ambao hawana affiliation na serikali, kwa mfano taasisi za dini, vyama upinzani vyote viwe na wajumbe angalau hata wawili kwa kila chama, taasisi zinazotetea haki za binadamu wajumuishwe,
Ndani ya hawa wajumbe wafanyiane vetting wenyewe kumchagua mwenyekiti, makamu n.k badala ya Rais kupendekeza viongozi