Sirro sio boyaZitto amesema IGP Siro anapaswa kujiuzuru maana amekataa kutii amri ya askari wa mwamvuli wa rais SSH kwa kukataa kumkamata askofu Gwajima.
Na kwa kufanya hivyo Siro amegoma kutii amri toka kwa rais SSH.
Akili sanaZitto kama kawaida yake, anazima moto kwa petrol, anakaa nasikilizia, hapo anataka achochee ili Mh. Rais asipokuwa makini, ataona IGP kakaidi amri ya Waziri, ili amtimue, hapo Zitto atakenua mimeno ya migebuka hadi mwisho, kumbe IGP yuko sahihi na amefuata utaratibu na kiapo chake. Ila kwa jinsi Gwajima alivyo hovyo nataka akamatwe tu
Kifungu gani hicho kinachompa nguvu ya kumuamrisha IGP huyo waziriNi kweli IGP amevunja sheria ya Public Health Na amekaidi agizo la bosi wake. AJIUZULU AU RAIS AMFUKUZE.
Nampongeza Sirro, bora akubali afukuzwe kuliko kutii amri zisizo na uhalaliZitto amesema IGP Siro anapaswa kujiuzuru maana amekataa kutii amri ya askari wa mwamvuli wa rais SSH kwa kukataa kumkamata askofu Gwajima.
Na kwa kufanya hivyo Siro amegoma kutii amri toka kwa rais SSH.
Source; StarTV medani za siasa.
A fall from grace[emoji28][emoji28][emoji28]Wow just wow!! Zitto yupo concerned kuhusu optics tu sasa hivi[emoji1787]
What a fall from grace
Tatizo genderZama zimebadilika aliweza zitii amri za bashite anashindwa vipi kutii za Gwajigirl
Halafu watu wa Mara wanadharau sana wanawakeTatizo gender