Zitto: IGP amemdhalilisha Waziri Gwajima na Rais Samia

Zitto: IGP amemdhalilisha Waziri Gwajima na Rais Samia

ZITTO amemaliza mambo ya Ethiopia kule Tigray? ... Au amekula tena Ugoro leo?..

Gwajima si waziri mwenye dhamana na Jeshi la Polisi. Hivyo hawezi kumpa order askari bila kufuata utaratibu. Mbona hawatoi order kwa wanajeshi??

Polisi wako chini ya Wizara ya Mambo ya ndani. so afuate utaratibu tu
Zitto amesema IGP Siro anapaswa kujiuzuru maana amekataa kutii amri ya askari wa mwamvuli wa rais SSH kwa kukataa kumkamata askofu Gwajima.

Na kwa kufanya hivyo Siro amegoma kutii amri toka kwa rais SSH.

Source; StarTV medani za siasa.
 
ZITTO amemaliza mambo ya Ethiopia kule Tigray? ... Au amekula tena Ugoro leo?..

Gwajima si waziri mwenye dhamana na Jeshi la Polisi. Hivyo hawezi kumpa order askari bila kufuata utaratibu. Mbona hawatoi order kwa wanajeshi??

Polisi wako chini ya Wizara ya Mambo ya ndani. so afuate utaratibu tu


Hivi mtu akishika muhalifu ni lazima aende kupeleka taarifa wizara ya mambo ya ndani??
 
Zitto kama kawaida yake, anazima moto kwa petrol, anakaa nasikilizia, hapo anataka achochee ili Mh. Rais asipokuwa makini, ataona IGP kakaidi amri ya Waziri, ili amtimue, hapo Zitto atakenua mimeno ya migebuka hadi mwisho, kumbe IGP yuko sahihi na amefuata utaratibu na kiapo chake. Ila kwa jinsi Gwajima alivyo hovyo nataka akamatwe tu
He is smart
 
Kifungu gani hicho kinachopa nguvu ya kumuamrisha IGP huyo waziri

Tuhuma anazohusianishwa nazo Gwajiboy kwenye kadhia hii, wewe huzioni?

Vipi Sirro naye hazioni?

Gwajiboy amewatuhumu SSH na vigogo kadhaa hadharani kwa rushwa.

Gwajiboy hapaswi kutakiwa kuthibitisha tuhuma zake?
 
Zitto amesema IGP Siro anapaswa kujiuzuru maana amekataa kutii amri ya askari wa mwamvuli wa rais SSH kwa kukataa kumkamata askofu Gwajima.

Na kwa kufanya hivyo Siro amegoma kutii amri toka kwa rais SSH.

Source; StarTV medani za siasa.




Kosa kubwa alilofanya SSH ni kuonyesha woga na kuogopa walioteuliwa na Mwenda zake. Itamkosti sana.

Mwenda zake hakuogopa mtu yeyote hata angekua nani alisema akamatwe na kutiwa ndani na ikiwezekana kutaifisha mali zake alizopata kwa rushwa na wizi. Hii ilisababisha watendaji wake wote wamuogope ndani ya chama na serikali.
Siro alipaswa atenguliwe mara tu baada ya kuwaruhuhusu wanazengo kuweka njama ya kuichafua nchi kwa kubambikia watu kesi za ugaidi na kumfumbia macho Gwajima atumie dini yake kuwa kama mwongozo kwenye nchi isiyofungamana na dini yoyote.

Kuchanganya dini na siasa kwa misimamo mikali ni jambo la hatari kuliko kudai Katiba Mpya.

Dini ya Gwajima imetoka Ulaya sio Usukumani ,namba 666 imetoka ulaya sio usukumani, Covid 19 imetoka China.
Chanjo etoka Ulaya tangu chajo ya ndui.
Sawa leo Gwajima anatumia dini iliyotoka ulaya kupinga wazungu waliompa PhD na elimu ya dini yao.
Yote anayoyahubiri yameandikwa kwenye mitandao ya Wazungu sio Wasukuma wala wangoni wala wachaga.
Mwamko wa makanisa ya Kilokole ulianzia Marekani na sio Usukumani sasa leo ametumia Elimu na dini za kizungu kutajirika anataka kuwaita wazungu ni Mabeberu ,wauaji, wanyama wa 666. Bila kujua kuwa yeye pia ni 666 mkubwa kabisa na mjanja mjanja mpenda fedha na madaraka huku akiwa anazitumia kujilimbikizia mali kwenye kundi la maskini wanaomzunguka.

Ni bora angetokea Mganga wa kienyeji toka Sumbawanga akapinga Chanjo huyo nisingemshangaa.Ningesema ni mzalendo na mwafrika wa asili.
 
Nampongeza Sirro, bora akubali afukuzwe kuliko kutii amri zisizo na uhalali
Ni jambo jema, next time mawaziri na viongozi wengine watasita kutoa amri kwa mihemko wakiwa majukwaani!! Miaka 5 ya JPM ilikuwa ndiyo tabia yao hii, kitu kidogo kamata huyo weka ndani, bila hata kufuata utaratibu! Hongera IGP! Kwa hulka ya Samia hili nadhani yupo upande wa IGP, kwanza yeye kama Rais hajawahi kutoa amri za kidwanzi kama hizi, hivi hawa mawaziri hadi leo hawajajua Rais huyu si sawa na yule kwenye baadhi ya mambo hasa mihemko ya majukwaani?
 
Tuhuma anazohusianishwa nazo Gwajiboy kwenye kadhia hii, wewe huzioni?

Vipi Sirro naye hazioni?

Gwajiboy amewatuhumu SSH na vigogo kadhaa hadharani kwa rushwa.

Gwajiboy hapaswi kutakiwa kuthibitisha tuhuma zake?
Gwajiboy ni mtu wa kubwabwaja, hajaanza leo!! Mtu kama huyo ni wa kumpuuza, ukianza kupambana naye wote mtaonekana ni vichaa kama yeye alivyo
 
Zitto amesema IGP Siro anapaswa kujiuzuru maana amekataa kutii amri ya askari wa mwamvuli wa rais SSH kwa kukataa kumkamata askofu Gwajima.

Na kwa kufanya hivyo Siro amegoma kutii amri toka kwa rais SSH.

Source; StarTV medani za siasa.
Acha unafiki ndugu
 
Zitto amesema IGP Siro anapaswa kujiuzuru maana amekataa kutii amri ya askari wa mwamvuli wa rais SSH kwa kukataa kumkamata askofu Gwajima.

Na kwa kufanya hivyo Siro amegoma kutii amri toka kwa rais SSH.

Source; StarTV medani za siasa.
Zitto anawapambanisha
 
Zerro apumzike naona muda unaenda mbio sana zaidi uwezo wake.....angepumzikia hata balozi burundi
 
Gwajiboy ni mtu wa kubwabwaja, hajaanza leo!! Mtu kama huyo ni wa kumpuuza, ukianza kupambana naye wote mtaonekana ni vichaa kama yeye alivyo

Huoni hatari ya kuwa na undumila kuwili hapo?

Kumbe ili kuepuka kuwajibishwa dawa yake kujifanya wa kubwabwaja?
 
Back
Top Bottom