Zitto: IGP amemdhalilisha Waziri Gwajima na Rais Samia

Zitto: IGP amemdhalilisha Waziri Gwajima na Rais Samia

Ni jambo jema, next time mawaziri na viongozi wengine watasita kutoa amri kwa mihemko wakiwa majukwaani!! Miaka 5 ya JPM ilikuwa ndiyo tabia yao hii, kitu kidogo kamata huyo weka ndani, bila hata kufuata utaratibu! Hongera IGP! Kwa hulka ya Samia hili nadhani yupo upande wa IGP, kwanza yeye kama Rais hajawahi kutoa amri za kidwanzi kama hizi, hivi hawa mawaziri hadi leo hawajajua Rais huyu si sawa na yule kwenye baadhi ya mambo hasa mihemko ya majukwaani?

Hamna lolote, huyo IGP angeagizwa hata na balozi wa nyumba kumi wa ccm kumkamata mpinzani, angetoa hata gari kumi kutekeleza hayo. Ila kwakuwa ni mwanaccm anajifanya kuna sheria za kufuata. Siku zote poli hujisifia kutii amri toka juu, mbona hasemi barua huwa zinatoka kwa nani?
 
Siro aliwaambia wenye mapenzi na MBOWE kamuulize ukweli wake je ajashiriki katika ishu ya ugaidi ,Sasa Zito ameanzia mbali Sana
 
Waziri amuache Gwajima mana yeye ni Elected Mp wakati waziri ni Nominated, Gwajiboy Ana back up ya Wananchi ambao ndio wamempa dhamana
 
Mambo ya wanasiasa wa Kiafrika yanatafakarisha sana. Zitto anayefahamika pia kama Ayatola kulingana na majukumu yake ya kimwinyi ACT Wazalendo amesema kuwa IGP amemdharirisha Mh Rais at kwa kile alichodai kukaidi amri iliyotolewa na Waziri wa afya daktari Doroth Gwajima. Kauli hiyo siyo kuwa inatuonyesha ni kwa namna gani Zitto Kabwe ni mnafika lakini pia inaonesha kabisa mtu huyu ni mbinafsi na mtu anayetumiwa na wanaccm wa msoga. Wakali wa uongozi (naweza kuuita pia utawala) wa Magufuli Zitto aliwahi kumuita Magufuli na washirika wake ni WASHAMBA na Malimbukeni. Maneno haya yalikuwa maneno makali na yenye kudharirisha mamlaka ya urais nchini lakini hakuna mtu aliyempelekea police kwa kauli yake hiyo. Je hatuoni kuwa ni dharau pia kwa Zitto kumtaka IGP Siro kumkamata mtanzania kisa tu katoa maoni yake binafsi?
THE LOST, lost and gone.
 
Mambo ya wanasiasa wa Kiafrika yanatafakarisha sana. Zitto anayefahamika pia kama Ayatola kulingana na majukumu yake ya kimwinyi ACT Wazalendo amesema kuwa IGP amemdharirisha Mh Rais at kwa kile alichodai kukaidi amri iliyotolewa na Waziri wa afya daktari Doroth Gwajima. Kauli hiyo siyo kuwa inatuonyesha ni kwa namna gani Zitto Kabwe ni mnafika lakini pia inaonesha kabisa mtu huyu ni mbinafsi na mtu anayetumiwa na wanaccm wa msoga. Wakali wa uongozi (naweza kuuita pia utawala) wa Magufuli Zitto aliwahi kumuita Magufuli na washirika wake ni WASHAMBA na Malimbukeni. Maneno haya yalikuwa maneno makali na yenye kudharirisha mamlaka ya urais nchini lakini hakuna mtu aliyempelekea police kwa kauli yake hiyo. Je hatuoni kuwa ni dharau pia kwa Zitto kumtaka IGP Siro kumkamata mtanzania kisa tu katoa maoni yake binafsi?
THE LOST, lost and gone.
Watu ambao kwa Tanzania hutakiwi kuwaamini saaana
1.Mwanasiasa
2.Watu wa Kigoma
3.Wachaga
4.Wasukuma
5.Wagogo
6.Wanyakyusa
7.Wahaya
8.Wasomi hasa Maprofesa na Madokta PhD
9.Wasanii hasa bongo Muvi
10.Wamakonde.
 
Hamna lolote, huyo IGP angeagizwa hata na balozi wa nyumba kumi wa ccm kumkamata mpinzani, angetoa hata gari kumi kutekeleza hayo. Ila kwakuwa ni mwanaccm anajifanya kuna sheria za kufuata. Siku zote poli hujisifia kutii amri toka juu, mbona hasemi barua huwa zinatoka kwa nani?
Awamu hii tangu ianze umeshasikia mtu kakamatwa/kufanyiwa kitu chochote kwa "amri kutoka juu"? Hilo neno ni kama limesahaulika kwa sasa! Ninachokiona ni kama wapinzani wanalazimisha kuishi maisha ya awamu ya JPM, may be walikuwa wanapenda zile dramas na misuguano isiyo na maana yeyote, may be ilikuwa ni njia ya kula kwa wachache (both upinzani and ccm)
 
Watu ambao kwa Tanzania hutakiwi kuwaamini saaana
1.Mwanasiasa
2.Watu wa Kigoma
3.Wachaga
4.Wasukuma
5.Wagogo
6.Wanyakyusa
7.Wahaya
8.Wasomi hasa Maprofesa na Madokta PhD
9.Wasanii hasa bongo Muvi
10.Wamakonde.
Du kwanini mkuu?
 
Mambo ya wanasiasa wa Kiafrika yanatafakarisha sana. Zitto anayefahamika pia kama Ayatola kulingana na majukumu yake ya kimwinyi ACT Wazalendo amesema kuwa IGP amemdharirisha Mh Rais at kwa kile alichodai kukaidi amri iliyotolewa na Waziri wa afya daktari Doroth Gwajima. Kauli hiyo siyo kuwa inatuonyesha ni kwa namna gani Zitto Kabwe ni mnafika lakini pia inaonesha kabisa mtu huyu ni mbinafsi na mtu anayetumiwa na wanaccm wa msoga. Wakali wa uongozi (naweza kuuita pia utawala) wa Magufuli Zitto aliwahi kumuita Magufuli na washirika wake ni WASHAMBA na Malimbukeni. Maneno haya yalikuwa maneno makali na yenye kudharirisha mamlaka ya urais nchini lakini hakuna mtu aliyempelekea police kwa kauli yake hiyo. Je hatuoni kuwa ni dharau pia kwa Zitto kumtaka IGP Siro kumkamata mtanzania kisa tu katoa maoni yake binafsi?
THE LOST, lost and gone.
Zitto ni mpuuzi wa kisiasa.
 
Mambo ya wanasiasa wa Kiafrika yanatafakarisha sana. Zitto anayefahamika pia kama Ayatola kulingana na majukumu yake ya kimwinyi ACT Wazalendo amesema kuwa IGP amemdharirisha Mh Rais at kwa kile alichodai kukaidi amri iliyotolewa na Waziri wa afya daktari Doroth Gwajima. Kauli hiyo siyo kuwa inatuonyesha ni kwa namna gani Zitto Kabwe ni mnafika lakini pia inaonesha kabisa mtu huyu ni mbinafsi na mtu anayetumiwa na wanaccm wa msoga. Wakali wa uongozi (naweza kuuita pia utawala) wa Magufuli Zitto aliwahi kumuita Magufuli na washirika wake ni WASHAMBA na Malimbukeni. Maneno haya yalikuwa maneno makali na yenye kudharirisha mamlaka ya urais nchini lakini hakuna mtu aliyempelekea police kwa kauli yake hiyo. Je hatuoni kuwa ni dharau pia kwa Zitto kumtaka IGP Siro kumkamata mtanzania kisa tu katoa maoni yake binafsi?
THE LOST, lost and gone.
Najaribu kuelewa dhima ya zitto kabwe ni kuwa IGP amedhalilisha ama kuonesha udhaifu wa rais Kama taasisi kuu.
Lakini zitto kabwe kumwita Magufuli mshamba ni kumuatack John Magufuli personal as head of hiyo taasisi kwamba anaiendesha taasisi yake kishamba.

Hata kama taasisi inaendeshwa kishamba haiwapi mandatory waliopo chini ya ile taasisi kutokufuata taratibu za uendeshaji zilizopo.


I believe that zitto kabwe is better than all in prisidential running
 
Zitto amesema IGP Sirro anapaswa kujiuzuru maana amekataa kutii amri ya askari wa mwamvuli wa rais SSH kwa kukataa kumkamata Askofu Gwajima.

Na kwa kufanya hivyo Sirro amegoma kutii amri toka kwa rais SSH.

Source; StarTV medani za siasa.
[emoji817][emoji3581]
 
Zitto kama kawaida yake, anazima moto kwa petrol, anakaa nasikilizia, hapo anataka achochee ili Mh. Rais asipokuwa makini, ataona IGP kakaidi amri ya Waziri, ili amtimue, hapo Zitto atakenua mimeno ya migebuka hadi mwisho, kumbe IGP yuko sahihi na amefuata utaratibu na kiapo chake. Ila kwa jinsi Gwajima alivyo hovyo nataka akamatwe tu
IGP hakuwa sahihi kukaidi agizo la waziri ambaye pale anamuwakilisha rais, anapaswa kuchukuliwa hatua kali.
Hebu jaribu ku imagine enzi za Jiwe waziri atoe maagizo kwa polisi then polisi akaidi, kuna udhaifu wanauona ambao unawapa kiburi cha kudharau uongozi uliopo, unadhani angeagizwa amkamate mtu wa chama cha upinzani ingekuwaje. Si huwa wanawakamata then ndiyo wanasema tunafanya uchunguzi kama hawana hatia tutawaachia au la tutawapeleka mahakamani. It's so ridiculous.
 
Back
Top Bottom