Kuna wachangiaji tayari wamejionesha muelekeo wao.Sasa wewe ndugu yangu, Chadema inaingiaje kwenye mjadala na povu lote hilo!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wachangiaji tayari wamejionesha muelekeo wao.Sasa wewe ndugu yangu, Chadema inaingiaje kwenye mjadala na povu lote hilo!.
Zitto na ACT tumieni approach ile ilemnayoitumia kuaddress issues za Bandari, mafuta, inflation na kadhalika.Hii ni kali.
👇
"Tumeshuhudia hujuma za wazi Uchaguzi wa Mtambwe; tena katika wakati ambao nchi ipo kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa(SUK), wananchi wametulia na ipo Kamati ya Maridhiano ya Vyama vinavyounda SUK. Haikutarajiwa uhuni huu katika zama hizi."
View attachment 2805904
Nyinyi ni tawi la CCM Main, sasa mnaibianaje? Nyie ni kitu kimojaHii ni kali.
👇
"Tumeshuhudia hujuma za wazi Uchaguzi wa Mtambwe; tena katika wakati ambao nchi ipo kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa(SUK), wananchi wametulia na ipo Kamati ya Maridhiano ya Vyama vinavyounda SUK. Haikutarajiwa uhuni huu katika zama hizi."
View attachment 2805904
Bila Uporaji CCM inakufa,hata huyo Mwinyi bila wizi wa Kura asingeingia Ikulu.
Hii ni kali.
👇
"Tumeshuhudia hujuma za wazi Uchaguzi wa Mtambwe; tena katika wakati ambao nchi ipo kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa(SUK), wananchi wametulia na ipo Kamati ya Maridhiano ya Vyama vinavyounda SUK. Haikutarajiwa uhuni huu katika zama hizi."
View attachment 2805904
Tulimwambia huyu bwege hakuelewa
Mbwe** wewe, wewe si ulisema wewe huwez kugomea uchaguzi?...,Endelea kulia lia..., CCM kwa CCM mnaibiana....Hii ni kali.
[emoji116]
"Tumeshuhudia hujuma za wazi Uchaguzi wa Mtambwe; tena katika wakati ambao nchi ipo kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa(SUK), wananchi wametulia na ipo Kamati ya Maridhiano ya Vyama vinavyounda SUK. Haikutarajiwa uhuni huu katika zama hizi."
View attachment 2805904
Analalamika nini? Kwani alitegemea jambo la tofauti? Viongozi wa vyama vya upinzani nao ni pasua kichwa, unategemea usawa katika nchi inayotukuza uchawa?
Chadema imejaa wapumbavu wengi sana wanajiona wao ndio wapinzani pekee na wengine wote wanawaona ni CCM! Majinga sana kwa sababu ni vigumu na haiwezekani wapinzani wengine wote wafuate njia zao.
Waache ujinga huo.
Kuna wachangiaji tayari wamejionesha muelekeo wao.
Na sasa wameurudisha Mtambo wao wa kuteka,kuteswa na kuuwa. BASHITESio kuibakura Kura Tu, wanauwa mpaka raia ili washinde uchaguzi
Yatakushinda!Hii ni kali.
👇
"Tumeshuhudia hujuma za wazi Uchaguzi wa Mtambwe; tena katika wakati ambao nchi ipo kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa(SUK), wananchi wametulia na ipo Kamati ya Maridhiano ya Vyama vinavyounda SUK. Haikutarajiwa uhuni huu katika zama hizi."
View attachment 2805904
Kweli na hili kosa alitaka kukifanya Mbowe akapigiwa kelele, Sasa hivi atakuwa amelelewa SoMo. Usitegemee huruma kutoka kwa CCM
Nili pumbavuMuelekeo upi?. Mnafiki lazima asemwe. Wenzake wamejitoa chaguzi ndogo yeye kabaki anashiriki, Sasa anamlalamikia nani?
Hakuna namna ccm itaweza tena kushinda katika uchaguzi halali. Namna pekee ya kuwafanya kuendelea kukaa madarakani ni kwa kunajisi uchaguzi. Machafuko pekee ndio yatarejesha heshima ya box la kura.Bila Uporaji CCM inakufa,hata huyo Mwinyi bila wizi wa Kura asingeingia Ikulu.