Zitto Kabwe: ACT Wazalendo imehujumiwa wazi uchaguzi wa Mtambwe

Zitto Kabwe: ACT Wazalendo imehujumiwa wazi uchaguzi wa Mtambwe

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amelalamikia hujuma katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Mtambwe, Pemba uliofanyika Oktoba 28, 2023, huku Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ikieleza kushangazwa na madai hayo.

Kulingana na Zitto, hujuma kama hizo ndizo zilizo haribu uchaguzi wa mwaka 2020 na ndio maana wanatarajia kufanya kongamano Desemba 8 mwaka huu kutathmini mwenendo wa Serikali wa Umoja wa Kitaifa (SUK) ndani ya miaka mitatu.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi amekanusha kuwepo kwa hujuma katika uchaguzi huo, akisema hawajapokea malalamiko kutoka kwenye chama hicho.
 
CCM A na CCM B, hiyo inaitwa mbwa amemla mbwa mwenzie
 
Msaliti mkuu Yuda Iskariote huyo! Anatingisha Kiberiti kwa Mwinyi ili amfanyie kama huku Bara wanavyomfanyia kwenye Buyu la asali!
 
Acheni upumbavu. Mnalalamika Nini?. Wanafiki nyie ACT. Acheni maigizo yenu.
 
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amelalamikia hujuma katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Mtambwe, Pemba uliofanyika Oktoba 28, 2023, huku Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ikieleza kushangazwa na madai hayo.

Kulingana na Zitto, hujuma kama hizo ndizo zilizo haribu uchaguzi wa mwaka 2020 na ndio maana wanatarajia kufanya kongamano Desemba 8 mwaka huu kutathmini mwenendo wa Serikali wa Umoja wa Kitaifa (SUK) ndani ya miaka mitatu.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi amekanusha kuwepo kwa hujuma katika uchaguzi huo, akisema hawajapokea malalamiko kutoka kwenye chama hicho.
Hizi ni mind games tu kuwavuruga waZanzibari
 
Back
Top Bottom