Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Wakiamka tu wanaufuta, ila wakiamua kufuta poa tuumeona uposti time ambazo mods wamelala...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiamka tu wanaufuta, ila wakiamua kufuta poa tuumeona uposti time ambazo mods wamelala...
Huyu jamaa amekuwa kama mfaa maji tu..watu wamempuuza kabisa..hopeless
Ofisi nzima ya makao makuu ya Takukuru imehamia Kigoma?!!
Huu ni urongo!
Ofisi nzima ya makao makuu ya Takukuru imehamia Kigoma?!!
Huu ni urongo!
Ofisi nzima ya makao makuu ya Takukuru imehamia Kigoma?!!
Huu ni urongo!
Kama ni uongo basi tuambie Kama upo nayo nyumbani kwako hapo!Ofisi nzima ya makao makuu ya Takukuru imehamia Kigoma?!!
Huu ni urongo!
Siri ya kifo anaijua Mungu pekee. Hakuna binadamu yeyote anailewa siri hiyo.
Watu wepi waliokutuma kuwasemea kuwa wamempuuza zitto ambao Mimi sio mmojawao? Sijakutuma na sijampuuza zitto so,usininee!Huyu jamaa amekuwa kama mfaa maji tu..watu wamempuuza kabisa..hopeless
Du kama Hilo ndivyo, basi kuna maswali mengi juu ya wale ambao walishitakiwa kwa kosa la namna hiyo, mungu akufanyie wepesi uyashinde yote hayaHii nimeitoa kwenye official Twitter page ya Zitto
====
Serikali ya Rais @MagufuliJP wameamua kutengeneza mashtaka ya utakatishaji Fedha dhidi yangu. Ofisi nzima ya TAKUKURU Makao Makuu imehamia Kigoma kubumba Mashtaka. Lengo ni kuhakikisha nakuwa Gerezani wakati wa Uchaguzi. CCM inatapatapa, TAKUKURU inatumika kisiasa. #Siogopi
View attachment 1327385
View attachment 1327492
Duu!Atakufa tena ghafla kwa shinikizo la juu la damu