1. walinzi... kwakuwa hakujawahi kutokea tukio baya walinzi walikuwa wakizembea na kutokuwapo. Naamini wamechukuliwa hatua.
2. Kutibiwa nje hakukuhitaji idhini ila taarifa rasmi ya tiba zake ilihitajika kwa nwajiri.
3. Ubunge amefutwa baada ya kugoma ama kushindwa kutoa taarifa za kitibabu kwa mwajiri wake.
4. Kitogharamiwa matibabj kulitokana na kutotoa taarifa rasmi. Yet serikali ya Raisi wa wanyonge alilipia baadhi ya gharama...
5. Saa 8 sijui hilo tukio sina jibu wala busara ya kulielezea kuwa simu yake alipewa mtu mwingine...
6. Am sure atakufa tu ila jua nawewe namimi tuko humohumo.... Kigumu ni nani ataanza... Na kumbuka kufa sio adhabu... ni utukufu na njia ya kwenda mbinguni.. Amina.
Sent using
Jamii Forums mobile app