Zitto Kabwe adai kuna mkakati wa kumweka gerezani kabla ya uchaguzi

Zitto Kabwe adai kuna mkakati wa kumweka gerezani kabla ya uchaguzi

Nimesoma mara mbilimbili naona upuuzi mtupu!!!!!
Kufutia Zitto Kabwe kushindwa kuwapatanisha Madiwani wa ACT Wazalendo Kigoma ujiji, ili kujiimarisha kisiasa amebuni Mbinu Mpya ya kuwashawishi Jeshi la Polisi Wamkamate.

Akiwa anaondoka Kigoma tarehe 18.01.2020 akiwa anaelekea uwanja wa Ndege kwa Kigoma kupanda ndege za ATCL ambazo hakufanikiwa kuziingiza kwenye mtego wa madili yake huko Africa kusini na Canada.

Alimuaga rafiki yake Wilson Awimo Mogha kwamba akifika Dar es salaam atahakikisha afanye siasa za either kulitukana Jeshi la Polis au Takukuru ili akamatwe na kumnufahisha kisiasa.
Watanzania kweli Zitto ameishiwa sera hivyo anaanza kutafuta Sera za kufungwa kuonesha anaonewa.

Akiwa kwenye Guest ya Awimo iliyopo Kilima Hewa alieleza wazi kuwa kwa Muda mrefu amewadanganya Wananchi wa Kigoma, ili ashinde 2020 nilazima atengeneze Mazingira ya siasa za Huruma kwa kukamatwa sana, kwakuwa ana mawili akina Thomas Mtatizo Msasa eti akitoka hiyo ndo itakuwa kete ya kumrudisha mjengoni.

NB: Zitto Kabwe nasikia akiwa Gerezani anagawaga Mambo, ndiyo maana hata akitembea huwa Matak anayabakiz. Na usiku wa tarehe 17.01.2020 Aliwafuata Vijana watatu wamsaidie kumkuna maeneo.

Zitto umefika hali hiyo Mpaka umesababisha sura yako kuwa hivyo kutokana na kunogewa na raha ya Kik.
Maaana unahofiwa uso na macho yako eti yameathiliwa kutokana na kumsahau Mungu na kuwategemea Wagang 50[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama mods mmeuona huu uzi lakini kwa kuwa una harufu ya mkono wa chama its OK. Uruhusuni uendelee ila nadhani Zito alipofikia, haya maneno ya khanga sio saizi yake. Sidhani atapoteza mda hata sekunde kuyaangalia mapuuzi ka haya.
Simpendi Zito ila namchukia mwandishi huyu mpuuzi kihivi. Na kama ni mwanachama wa chama changu nadhani Pole anastahili kumtafuta na kumng'oa kabisa hata hiyo page aliyoandikwa ichomwe moto. Tunataka mashindano ya points siyo matusi ya kipuuzi. Kama kazi yako weye ni kufanywa hayo, basi usitangaze humu JF
 
Siwezi kumbishia Zitto maana hata Lissu kabla hajafyatuliwa lisasi alieleza kuwa anafuatiliwa, na huyo jamaa wa huko Rombo Mashati wa chadema aliyepotea kabla hajapotea alisema humh humu jukwaani zaidi tulimbeza lakini mpaka sasa hivi hatujui alipo.....Mungu lisaidie Taifa letu tunakuomba sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hao MsemajiUkweli na UCD ni member toka 2012 na inaonekana ni watu wazima haswaa,sasa nashangaa wanafurahia Mh Zitto kutukanwa matusi ya nguoni tena mabaya kiasi hicho!Kwamba wanalike mleta mada kusema Zitto anaingiliwa kinyume na maumbile!!!Hivi tukiruhusu hayo,wengine wakamshambulia Jiwe kwa matusi kama hayo,si ndio mwanzo wa kumuingiza Melo matatani?
Maxence Melo mods wako wapi?Mbona wanaruhusu uchafu kama huu?
Tunajiheshimu saana na kinachopostiwa unatakiwa kukifanyia utafiti, na uanzie kubisha hapo kwani wewe umekurupuka angalia ulichoandika na nilichoandika, unaonekana huna staha.
Nimekueleza tuliza akili zako rudia kusoma na fanyia utafiti kwa namna unavyohisi.
JF ni mahala pa kushauliana na kurekebisha tabia chafu. Zitto anatumia mitandao mingine hayupo hapa sana labda rafiki yake aitwaye Mogha. Ila kwaajili ya Siasa kuna Watu ningewataja lakini anaweza kujinyonga.
Kwenye utafiti wako anza kwa Baba Levo muulize aliahidiwa nini akiwa Gerezani na baada ya kutoka Gerezani amekikuta kipi, Muulize rafiki yake waliyeshirikiana kupiga madili na aliyekuwa na Ratiba ya Zitto aende wapi kwenye Kampeni za 2015 muulize baada ya kufungwa ni kitu gani kilimkuta.
Tushauliane na tuelimishane tabia za Zitto hazitakiwi kuigwa Kabisa, na ukimweka karibu lazima akumalize Mfano Filik
 
Yes anaweza kuwa anayskatisha fedha jweli
Alichoandika Zitto kinawezekana kabisa kutokea. Huyo jamaa haamini katika uchaguzi huru na haki hata kidogo.

Kwa hiyo Zitto , Sugu na baadhi ya wengine kwenye majimbo korofi wajichunge maana malaika wa giza yuko kazini kuhakikisha wanakuwa nje ya bunge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ZZK,mchezea matope,huchafuka mikonoye.
Kama akishindwa kujiosha(kukiri na kuomba msamaha);huna budi kuoshwa hata kwa bomba la "Fire". Kwa maana hatua za Listeria dhidi yako zitachukuliwa dhidi yako hapo utakapobainika.Jirekebishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haitashangaza maana kuna wengine si tu kuwekwa magerezani bali wamepotezwa kabisa. Wanasema kichaa hana haya.
 
Haitashangaza maana kuna wengine si tu kuwekwa magerezani bali wamepotezwa kabisa. Wanasema kichaa hana haya.
Halafu aliyewapoteza anajitokeza hadharani anasema ukipotelewa na nduguyo mkosoaji wa serikali usiwatuhumu usalama wa taifa hata kama umewaona live wakimkamata
 
CCM acheni kuwaonea watanzania... acheni kutumia taasisi za umma kuwanyanyasa watanzania...
 
Back
Top Bottom