Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu, mbona weye ndiye unaonekana ku panic kabla hata ya Zitto?Kuna mambo Zito mpaka yanamuohopesha yanamnyima raha alitegemea kuichokonoa Serikali angejibiwa kwa kukamatwa lakini amrpuuzwa kwa sasa hata hajui nn kinafuata
Mzimu wa dola ukikunyamazia hatari yake ni kubwa kuliko ukikamatwa
Zito angekuwa guru angekamatwa kuliko kuachwa anakosa raha sana nimrpenda kimyakimya hiki
Sasa akamatwe kwa kosa gani?Kuna mambo Zitto mpaka yanamuogopesha yanamnyima raha alitegemea kuichokonoa Serikali angejibiwa kwa kukamatwa lakini amepuuzwa kwa sasa hata hajui nini kinafuata.
Mzimu wa dola ukikunyamazia hatari yake ni kubwa kuliko ukikamatwa.
Zitto angekuwa guru angekamatwa kuliko kuachwa anakosa raha sana, nimependa kimya kimya hiki.
Kuna mambo Zitto mpaka yanamuogopesha yanamnyima raha alitegemea kuichokonoa Serikali angejibiwa kwa kukamatwa lakini amepuuzwa kwa sasa hata hajui nini kinafuata.
Mzimu wa dola ukikunyamazia hatari yake ni kubwa kuliko ukikamatwa.
Zitto angekuwa guru angekamatwa kuliko kuachwa anakosa raha sana, nimependa kimya kimya hiki.
Kuna mambo Zitto mpaka yanamuogopesha yanamnyima raha alitegemea kuichokonoa Serikali angejibiwa kwa kukamatwa lakini amepuuzwa kwa sasa hata hajui nini kinafuata.
Mzimu wa dola ukikunyamazia hatari yake ni kubwa kuliko ukikamatwa.
Zitto angekuwa guru angekamatwa kuliko kuachwa anakosa raha sana, nimependa kimya kimya hiki.
Acha kuvuta bhangi maana ni maujinga tu humuKuna mambo Zitto mpaka yanamuogopesha yanamnyima raha alitegemea kuichokonoa Serikali angejibiwa kwa kukamatwa lakini amepuuzwa kwa sasa hata hajui nini kinafuata.
Mzimu wa dola ukikunyamazia hatari yake ni kubwa kuliko ukikamatwa.
Zitto angekuwa guru angekamatwa kuliko kuachwa anakosa raha sana, nimependa kimya kimya hiki.
Hahaaaa.....nafikiri bado wanatafuta angle ya kumbana wanashindwa.Mbona wewe hufananii kuwa mmbea pia mchonganishi??
Kwa taharifa yako ZZK ni mti mkavu, ata wewe mmbea mguse uone kama manyoya yako ya chini ya kitovu hayatakunyonyoka.
Kaa mbali na ZZK
Wewe nini kinakuuma?Kuna mambo Zitto mpaka yanamuogopesha yanamnyima raha alitegemea kuichokonoa Serikali angejibiwa kwa kukamatwa lakini amepuuzwa kwa sasa hata hajui nini kinafuata.
Mzimu wa dola ukikunyamazia hatari yake ni kubwa kuliko ukikamatwa.
Zitto angekuwa guru angekamatwa kuliko kuachwa anakosa raha sana, nimependa kimya kimya hiki.
Naleta habari kama nilivyoipokea kutoka mitaani nilikokuwa nahangaika kutafuta ugali.
Najua kwakuwa si maarufu hapa jf basi ni rahisi moderators kuufuta uzi huu.
Kama habari hii itakuwa ya kweli, Mheshimiwa Zito akapewa kesi au kufanyiwa jambo lolote baya hivi karibuni, basi kama nchi tutakuwa tuko katika hali ngumu
Hebu tuungane kukemea huu uhuni wa kupeana kesi za kihuni kwa maslahi ya wahuni wachache