Kufutia Zitto Kabwe kushindwa kuwapatanisha Madiwani wa ACT Wazalendo Kigoma ujiji, ili kujiimarisha kisiasa amebuni Mbinu Mpya ya kuwashawishi Jeshi la Polisi Wamkamate.
Akiwa anaondoka Kigoma tarehe 18.01.2020 akiwa anaelekea uwanja wa Ndege kwa Kigoma kupanda ndege za ATCL ambazo hakufanikiwa kuziingiza kwenye mtego wa madili yake huko Africa kusini na Canada.
Alimuaga rafiki yake Wilson Awimo Mogha kwamba akifika Dar es salaam atahakikisha afanye siasa za either kulitukana Jeshi la Polis au Takukuru ili akamatwe na kumnufahisha kisiasa.
Watanzania kweli Zitto ameishiwa sera hivyo anaanza kutafuta Sera za kufungwa kuonesha anaonewa.
Akiwa kwenye Guest ya Awimo iliyopo Kilima Hewa alieleza wazi kuwa kwa Muda mrefu amewadanganya Wananchi wa Kigoma, ili ashinde 2020 nilazima atengeneze Mazingira ya siasa za Huruma kwa kukamatwa sana, kwakuwa ana mawili akina Thomas Mtatizo Msasa eti akitoka hiyo ndo itakuwa kete ya kumrudisha mjengoni.
NB: Zitto Kabwe nasikia akiwa Gerezani anagawaga Mambo, ndiyo maana hata akitembea huwa Matak anayabakiz. Na usiku wa tarehe 17.01.2020 Aliwafuata Vijana watatu wamsaidie kumkuna maeneo.
Zitto umefika hali hiyo Mpaka umesababisha sura yako kuwa hivyo kutokana na kunogewa na raha ya Kik.
Maaana unahofiwa uso na macho yako eti yameathiliwa kutokana na kumsahau Mungu na kuwategemea Wagang 50[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]