Hana adabu,hivi Zito ni kuokota,Neno mtaaani aanze kulitumia Ttu...huuu alizoea kumwita mamake Chiba!Ameomba radhi! Seems alijua ni jina la utani lakini hakujua linahusishwa na ulemavu. Itakuwa ajabu hili tukitaka kulifanya topic.
Nashauri likomee hapo, kulizungumza zaidi halitamuumiza tu Zitto bali hata ndugu yetu. Mengine tuache yapite.
naman chadema walivyomshambulia na maneno waliyoyatoa, nimeamini chadema wana roho mbaya sana. kwasababu wameanza kumtukana marehemu mamake kwanza kwamba na yeye alikuwa kilema. kina boniface wa ubungo n.k wengi, na sijaona tofauti kati ya kile alichokifanya na kile ambacho wao pia wamefanya dhidi ya marehemu mamake. hivi kwanini cdm mnakuwa na mhemko na chuki hivi? ni kwasababu ya kukosa madaraka? zito kaomba radhi lakini hakuna cdm hata mmoja atakayeomba radhi kwa kumtukania marehemu mamake aliyekuwa mlemavu. kwa macho watu wanaonekana wastaarabu lakini wana chuki na roho ngumu kuiliko hata ccm.Zitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno ''CHIBA'' kama linamaanisha mlemavu, bali alijua ni maneno ya vijana tu
Nukuu
Kwa kweli sikufahamu kama jina Chiba linahusiana na ulemavu. Nilidhani ni majina ya Vijana ya kutaniana. Mama yangu mzazi alikuwa mlemavu kamwe siwezi kutweza ulemavu wa Mtu. Naomba radhi sana Kwa hili. Hakika Sio Sawa. Uzee umeingia tunapitwa na majina ya mtaani. Mniwie radhi
Yeye mwenyewe lisu alijiita chibaKiburi Cha ndugu yetu Zitto Kabwe kimekuwa kikubwa Sana
Juzi alituita tunaotaka katiba mpya hatuna ubongo na Leo kamuita Tundu Lissu Chiba akiwa na maana ya mlemavu. Yaani inaonekana Zitto alifurahia saana Lissu aliposhambuliwa kwa risasiView attachment 2152717
Uliwahi kulitumia...Kwa MTU ya level yake ni aibu,ku,okoteza maneno!mimi sio fun wa zitto, lakini naamini angekuwa anajua maana ya neno hilo, wala asingelitumia. tumpe benefit of doubt. hata mimi nilikuwa sijui neno hilo hadi leo baadaya kuona mjadala. watz wengi tu pia walikuwa hawajui hii kitu.
Huyu jamaa ni mpumbavu sana yeye ana UKOMA hamna mtu anae mdhihakiZitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno ''CHIBA'' kama linamaanisha mlemavu, bali alijua ni maneno ya vijana tu
Nukuu
Kwa kweli sikufahamu kama jina Chiba linahusiana na ulemavu. Nilidhani ni majina ya Vijana ya kutaniana. Mama yangu mzazi alikuwa mlemavu kamwe siwezi kutweza ulemavu wa Mtu. Naomba radhi sana Kwa hili. Hakika Sio Sawa. Uzee umeingia tunapitwa na majina ya mtaani. Mniwie radhi
Hivi kwa kejeli anazotoa Lissu kwa wengine lini kaomba radhi?Dr.Slaa kuondoka Chadema Lissu alikshambulia sana lakini alionekana shujaaKuomba radhi ni swala moja kukubaliwa ni swala jingine.
Viongozi wajifunze kuwajibika pale wanapokosea, Ni aibu kwa kiongozi kariba ya Zitto kutamka maneno kama haya.
Hata CCM pamoja na kebehi zao zote kwa upinzani sijawahi kuwasikia wakimdhihaki Lissu kwa ulemavu wake.
Huyu Tundu lini kakwomba Dr.Slaa msamaha kwa udhalilishaji aliomfanyia baada ya kupinga EL kugombea Urais kupitia Chadema?kabla hajamuita mwenzie Chiba ajiangalie kwenye kioo ule ukurutu usoni
Poa tu kitu gani kwani? Kila siku mnamtukana Samia na Magufuli Lisu yeye nani?
Kamanda huyu Tundu ndiye kinara wa kudhalilisha wenzie.Aliwahi kumdhalikisha EL,JPM,ZZK,Slaa nk. Lakini hakuwahi kuomba radhi. Zitto kafanya uungwana kuomba radhiMalipo ni hapa hapa
Mama yake alikua chiba wa kuzaliwa bila fimbo haendi,zito ni kirusi ila iko siku ccm watamtoa kafaraZitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno ''CHIBA'' kama linamaanisha mlemavu, bali alijua ni maneno ya vijana tu
Nukuu
Kwa kweli sikufahamu kama jina Chiba linahusiana na ulemavu. Nilidhani ni majina ya Vijana ya kutaniana. Mama yangu mzazi alikuwa mlemavu kamwe siwezi kutweza ulemavu wa Mtu. Naomba radhi sana Kwa hili. Hakika Sio Sawa. Uzee umeingia tunapitwa na majina ya mtaani. Mniwie radhi
Kama mama yake mzaziHujafa hujaumbika!
Kwa jinsi Zitto Kabwe alivyo siyo busara kumkejeli mwenzake kwani naye ana hitalafu nyingi tu mwilini mwake, ajiheshimu.
Labda kama hakusema ila wanamsingizia.
Kiuhalisia Chiba ni mtu aliyezaliwa akiwa na miguu isiyolingana.