Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika dunia itawafunzaYeye na wasengerema wote wanaomtetea,subiri ile albadiri itawashughulikia mmoja mmoja mpaka mkome.Mnatia mtu kilema halafu mnaanza kumdhihaki.
Zitto katokea huko huko shuhulisha tigo we jamaa!CHADEMA kama chama kimefanya nini kuhusu kauli ya Zitto?Shughulisha akili we jamaa!
Ametokea huko lini?Ameshindwa kuiongoza ACT hadi afuatilie ya CHADEMA?Halafu usipende kuandika matusi kwa kisingizio cha tiGO.Kuna watu wana matusi mapya.Zitto katokea huko huko shuhulisha tigo we jamaa!
Kwa huu mwandiko, wewe Zitto hii ni akaunti yako nyingine.Nisingeona radhi yake tena ukiangalia time aliyoandika utaona hata yeye hakujua vyema tafsiri ya hilo neno. Inaweza kutokea kwa yeyote! Mfano nikisema "Zuzu amegoma" wote hapa tunajua maana ya neno Zuzu?
Sometimes kwenye siasa kuna maneno ya kejeli bila hata kujua maana halisi. Mfano Lissu alipenda kumuita JPM "dikteta uchwara" , Mnyika alimuita Kikwete "dhaifu" na wote hakuna aliyewahi kuomba radhi. Hili Zitto kawa muungwana hakuna haja ya kuyakuza zaidi.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ameomba radhi! Seems alijua ni jina la utani lakini hakujua linahusishwa na ulemavu. Itakuwa ajabu hili tukitaka kulifanya topic.
Nashauri likomee hapo, kulizungumza zaidi halitamuumiza tu Zitto bali hata ndugu yetu. Mengine tuache yapite.
Kwa kumbukumbu zangu, Kama sijasahau neno Chiba limetokana na mwimbaji mwenye asili ya Congo mikataba ya 80 alikua akiimbia bendi moja wapo,kati ya maquis du Zaire au orchestra Safari sound masantula,aliku na ulemavu wa mguu mmoja ulikuwa mfupi.naomba kusahihishwa.Hapana, Sony Chiba alikuwa ni DJ maarufu miaka ya 80, alikuwa ni mlemavu ndio hapo jina hilo Chiba walipobatizwa vilema wengi miaka hiyo. Ni kama vile umuone mlemavu umuite mabaga fresh.
Ana uzee gani zitto kabwe ni stress tu za siasa zinamsumbua.neno chiba lipo kitambo tu.vijana wazamani wanalijua vyema hilo neno Sony Chiba.Zitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno ''CHIBA'' kama linamaanisha mlemavu, bali alijua ni maneno ya vijana tu
Nukuu
Kwa kweli sikufahamu kama jina Chiba linahusiana na ulemavu. Nilidhani ni majina ya Vijana ya kutaniana. Mama yangu mzazi alikuwa mlemavu kamwe siwezi kutweza ulemavu wa Mtu. Naomba radhi sana Kwa hili. Hakika Sio Sawa. Uzee umeingia tunapitwa na majina ya mtaani. Mniwie radhi
Kama mama yake alikuwa mlemavu lazima atakuwa analijua hilo jina la Chiba.asijetee kachemka kiongozi mkuu.Sidhani kama alifanya hivyo kwa makusudi ukizingatia Mama yake alikuwa na Ulemavu.., Na Lissu sio Mlemavu naturally...
Nawashauri wapinzani wote waache kwenda personal na waanze ku-attack issues..,
Hizi gutter politics can only go so far.... Tukumbuke tunajenga nyumba moja...,
Thinking about it....[emoji848]
Au tunabomoa nyumba moja ?
Duh! Umeingia lini JF?Kwa huu mwandiko, wewe Zitto hii ni akaunti yako nyingine.
Huyu siasa kwake zimekua ngum KILA anachopanga hakiendi, amebaki kuwa Chawa, na mtu wa vijembe basi, na mbaya zaidi hujiona bado mwanasiasa machachari kumbe Zama zake zimeisha ,Zitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno ''CHIBA'' kama linamaanisha mlemavu, bali alijua ni maneno ya vijana tu
Nukuu
Kwa kweli sikufahamu kama jina Chiba linahusiana na ulemavu. Nilidhani ni majina ya Vijana ya kutaniana. Mama yangu mzazi alikuwa mlemavu kamwe siwezi kutweza ulemavu wa Mtu. Naomba radhi sana Kwa hili. Hakika Sio Sawa. Uzee umeingia tunapitwa na majina ya mtaani. Mniwie radhi
ZZK amethibitisha usahaulifu wake.Huyu ni juzi tu alikuja na Quote ya kusema "usimseme vibaya mwenzako kwasababu ya utofauti wenu kwasababu kuna siku mtakuja kuwa marafiki tena na utapata aibu"
Huu sasa ni unafki
Haka kasaka fursa kana mambo ya hovyo sana. Baadhi ya wazanzibari washaanza kukashitukia.Zitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno ''CHIBA'' kama linamaanisha mlemavu, bali alijua ni maneno ya vijana tu
Nukuu
Kwa kweli sikufahamu kama jina Chiba linahusiana na ulemavu. Nilidhani ni majina ya Vijana ya kutaniana. Mama yangu mzazi alikuwa mlemavu kamwe siwezi kutweza ulemavu wa Mtu. Naomba radhi sana Kwa hili. Hakika Sio Sawa. Uzee umeingia tunapitwa na majina ya mtaani. Mniwie radhi
Sony chiba ni japenese martial artist alikuwa na mguu mfupi aliwika sana miaka ya 80Kwa kumbukumbu zangu, Kama sijasahau neno Chiba limetokana na mwimbaji mwenye asili ya Congo mikataba ya 80 alikua akiimbia bendi moja wapo,kati ya maquis du Zaire au orchestra Safari sound masantula,aliku na ulemavu wa mguu mmoja ulikuwa mfupi.naomba kusahihishwa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app