Zitto Kabwe amdhihaki Tundu Lissu kwa kumuita CHIBA. Aomba radhi baada ya kulalamikiwa

Zitto Kabwe amdhihaki Tundu Lissu kwa kumuita CHIBA. Aomba radhi baada ya kulalamikiwa

Ameomba radhi! Seems alijua ni jina la utani lakini hakujua linahusishwa na ulemavu. Itakuwa ajabu hili tukitaka kulifanya topic.

Nashauri likomee hapo, kulizungumza zaidi halitamuumiza tu Zitto bali hata ndugu yetu. Mengine tuache yapite.
Chiba nani asiyefahamu kuhusishwa na ulemavu wakati yeye mwenyewe kalitumia kwa ulemavu? Chiba akiwa Yamoto Band na mguu mmoja alionekana na kila Mtu msitufanye wajinga.
Tumshukuru tu kwa vile yeye hawezi kupata madhara.
 
Kiburi Cha ndugu yetu Zitto Kabwe kimekuwa kikubwa Sana
Juzi alituita tunaotaka katiba mpya hatuna ubongo na Leo kamuita Tundu Lissu Chiba akiwa na maana ya mlemavu. Yaani inaonekana Zitto alifurahia saana Lissu aliposhambuliwa kwa risasiView attachment 2152717

Ukijaribu kuangalia hizi lugha za Zito ni kama mtu mwenye msongo wa mawazo, na anafanya hivi kama sehemu ya kujibu mapigo, kwani ni mpinzani anayeoongozwa kwa kukejeliwa na wafuasi wengi wa upinzani. Na hilo neno Zito kalibeba kutoka kwa kigogo. Sidhani kama amelitumia hilo neno kwa bahati mbaya, huenda alikuwa hajui maana yake kweli. Lakini ni dhahiri anajua ni jina la kejeli.
 
Nisingeona radhi yake tena ukiangalia time aliyoandika utaona hata yeye hakujua vyema tafsiri ya hilo neno. Inaweza kutokea kwa yeyote! Mfano nikisema "Zuzu amegoma" wote hapa tunajua maana ya neno Zuzu?

Sometimes kwenye siasa kuna maneno ya kejeli bila hata kujua maana halisi. Mfano Lissu alipenda kumuita JPM "dikteta uchwara" , Mnyika alimuita Kikwete "dhaifu" na wote hakuna aliyewahi kuomba radhi. Hili Zitto kawa muungwana hakuna haja ya kuyakuza zaidi.
Kuwa dhaifu kiuongozi ni kilema cha mwili?
Kuwa Dikiteta ni kilema au ni tabia?
 
Amefilisika hoja
Kabisa
Zitto wa sasa hivi niwakusamehe kwani yuko tofauti na alichokuwa anatarajia na ACT inazidi kuparanganyika na baada siasa zake kujulikana.
Ndo maana Vijana wake wengi wanaomtetea wanapata wakati mgumu kujibu hoja za wadau.
Juzi nilingia ktk Spesi ya Maria Sarungi hawa vijana walikutana ambacho hawakutegemea kwa hiyo anawapa hawa vijana mtihani na baada mjadala kuwa mkali walibadili msimamo ya kuwa Katiba mpya ndo kipaumbe japokuwa Chama msimamo wao ni Tume huru
 
Angetamka kwa kudhamiria sawa ila hili amesema ameteleza na ameomba radhi. Sisi ndio tunataka kuyakuza sasa.
Zitto ni mwanasiasa pia anauwezo wa kichambuzi kwani haiwezekani amwite mtu jina ambalo ajajua maana yake.
Ndo jina huwa wanalitumiaga ktk hicho Chama ila leo kajisahau kuja nalo public.
Lakini kama kaomba msamaha asamehewe kwani msamaha ni dawa
 
Aliita neno ambalo hajui maana yake?
Atakuwa timamu?
Inawezekana attacks anazopewa Zitto siku za karibuni zimemvuruga ameamua kufunguka kwa namna aliyofanya, atibue makusudi kisha aombe radhi.

Lakini pia inawezekana sababu aliyoitoa Zitto binafsi ni ya kweli, hakujua maana halisi ya hilo neno hasa ukizingatia neno lenyewe ni moja kati ya yale yanayozuka mitaani kila kukicha.

Hivyo basi, kwa upande wangu naona bora nikubaliane na sababu ya Zitto kwamba hakujua maana ya hilo neno, kwani kistaarabu mtu akikukosea halafu usipoikubali samahani yake ni wewe mkosewaji ndie utakuwa na matatizo, sio yeye mkosaji.
 
Sasa kashaambiwa hakuna namna na hujui zitto ni muha ujuaji mwingi mbele giza, Hata Magufuli alimwita mshamba.
Kwani Zito ni Muha wingi wa Muha wakiwa watu wawili unawaitaje kwa kiswahili miwa?
 
Huyu ni juzi tu alikuja na Quote ya kusema "usimseme vibaya mwenzako kwasababu ya utofauti wenu kwasababu kuna siku mtakuja kuwa marafiki tena na utapata aibu"

Huu sasa ni unafki
niliishasema humu hakuna watu wanafiki kama waha na wahaya na hawaaminiki hata siku moja na hata kubebeka hawabebeki hata ukiwa na mbeleko ya chuma.
 
niliishasema humu hakuna watu wanafiki kama waha na wahaya na hawaaminiki hata siku moja na hata kubebeka hawabebeki hata ukiwa na mbeleko ya chuma.
Mbona umeanzisha mada mpya ya ukabila juu ya mada bwashe
 
Ukijaribu kuangalia hizi lugha za Zito ni kama mtu mwenye msongo wa mawazo, na anafanya hivi kama sehemu ya kujibu mapigo, kwani ni mpinzani anayeoongozwa kwa kukejeliwa na wafuasi wengi wa upinzani. Na hilo neno Zito kalibeba kutoka kwa kigogo. Sidhani kama amelitumia hilo neno kwa bahati mbaya, huenda alikuwa hajui maana yake kweli. Lakini ni dhahiri anajua ni jina la kejeli.

..alikuwa anapima upepo.

..sasa public reaction imekuwa very negative amekimbilia kuomba radhi.

..watu wengi wasingempinga angeendelea na kashfa zake.

..Zitto ni wa kumsamehe, na kumhurumia, kwa kukengeuka kwa kiasi hiki.

Cc MTAZAMO
 
anaongelea akiwa wapi
Zito ni Malaya wa kisiasa aliyekomaa. Ni mtu wa kupuzwa kabisa wala asitupotezee mda. Sasa hivi hata akigombea ubunge hawezi kushinda sehemu yoyote. Kaisha kufa kisiasa. Sasa njia yake ya kubaki kusiskika ni kupinga chadema na kujipendekeza kwa raisi ili Chama chake kipewe wabunge wa kuchongwa.
 
Ameomba radhi! Seems alijua ni jina la utani lakini hakujua linahusishwa na ulemavu. Itakuwa ajabu hili tukitaka kulifanya topic.

Nashauri likomee hapo, kulizungumza zaidi halitamuumiza tu Zitto bali hata ndugu yetu. Mengine tuache yapite.
Kweli madam kaomba radhi busara tuachane nalo. Kuendelea kulijadili ni kufanya mjadala ambao hauna afya vijana wenzangu. Achana nalo ilo.
 
Zito ni Malaya wa kisiasa aliyekomaa. Ni mtu wa kupuzwa kabisa wala asitupotezee mda. Sasa hivi hata akigombea ubunge hawezi kushinda sehemu yoyote. Kaisha kufa kisiasa. Sasa njia yake ya kubaki kusiskika ni kupinga chadema na kujipendekeza kwa raisi ili Chama chake kipewe wabunge wa kuchongwa.
saivi ana mdomo huyo. baada ya mbowe na lisu kuelewana na mama alihisi next atakuwa yeye😄😄
 
Nipe matokeo ya kuendeleza mjadala wa namna hii? Ameomba radhi, nini cha ziada?
Hiyo dhihaka ingesemwa na mtu kutoka Chadema ninavyokujua ungeanzisha Uzi mrefu sana. Kwa kuwa una chuki na Chadema unaona jambo la kawaida tuu kwa Zitto kumdhihaki Lissu.
 
Upo sawa ila maana yake anajua ndo maana kamuiata ni neno la kitambo tu
Atakuwa kaingia mkumbo wa Kigogo. Sometimes linaweza kuibuka jina la utani ukaunga bila kuhoji maana yake. Nafikiri alaumiwe kwa uzembe wa kutumia jina la utani bila utafiti kitu ambacho yeyote anaweza kukosea.

Zitto mama yake alikuwa mlemavu sidhani angeweza kuwa na nguvu hiyo ambayo wengi wanafikiri amefanya makusudi. Kizuri zaidi ameomba radhi.
 
Chiba nani asiyefahamu kuhusishwa na ulemavu wakati yeye mwenyewe kalitumia kwa ulemavu? Chiba akiwa Yamoto Band na mguu mmoja alionekana na kila Mtu msitufanye wajinga.
Tumshukuru tu kwa vile yeye hawezi kupata madhara.
Hata mimi leo ndio nimejua maana yake
 
Zitto ni mwanasiasa pia anauwezo wa kichambuzi kwani haiwezekani amwite mtu jina ambalo ajajua maana yake.
Ndo jina huwa wanalitumiaga ktk hicho Chama ila leo kajisahau kuja nalo public.
Lakini kama kaomba msamaha asamehewe kwani msamaha ni dawa
He is not Saint. Ahukumiwe kwenye mengine, hili kawa muungwana mapema kaomba radhi.
 
Back
Top Bottom