Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wanavyolalamika utafikiri sio wao waliokuwa wanafurahia Job Ndugai akidharirishwa.Chadema bhana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavyolalamika utafikiri sio wao waliokuwa wanafurahia Job Ndugai akidharirishwa.Chadema bhana!
Ameiga siasa za chademaAmefilisika hoja
Ni nini maana ya Chiba? Kwa tafsiri rasmi ya Lugha gani?
Siku zote anayeomba radhi ni mtu strong.Kuomba radhi ni swala moja kukubaliwa ni swala jingine.
Viongozi wajifunze kuwajibika pale wanapokosea, Ni aibu kwa kiongozi kariba ya Zitto kutamka maneno kama haya.
Hata CCM pamoja na kebehi zao zote kwa upinzani sijawahi kuwasikia wakimdhihaki Lissu kwa ulemavu wake.
Amemuita chiba baada ya Lisu kupata shida aache uongo haka kajamaa kanapenda kuonekana smart kuliko wengine...angekua amemuita Chiba kabla ya tatizo tungesema kachapia haelewi maana ya chiba ila hili anajua alichofanya.Zitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno ''CHIBA'' kama linamaanisha mlemavu, bali alijua ni maneno ya vijana tu
Nukuu
Kwa kweli sikufahamu kama jina Chiba linahusiana na ulemavu. Nilidhani ni majina ya Vijana ya kutaniana. Mama yangu mzazi alikuwa mlemavu kamwe siwezi kutweza ulemavu wa Mtu. Naomba radhi sana Kwa hili. Hakika Sio Sawa. Uzee umeingia tunapitwa na majina ya mtaani. Mniwie radhi
Haiwezekani asijue neno CHIBA(CHIBASON) wakati ni neno la kitaa toke 'nineteen seventies', anasemaje ni terms za vijana wakati tangu akiwa mtoto hilo neno lilikuwa likitumika.Zitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako...
Kiswahili-street language.Chiba maana yake mlemavu? Lugha gani?
Atakuwa kavuta kwanza bangiHuyo Ras ameamua kuidhalilisha bangi.
Zitto ni mpuuzi sanaZitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako...
Zitto mtu wa ajabu snLugha ya vijiweni,
Soni Chiba ni mlemavu wa miguu.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Shukrani sana kwa busara zako, lakini hawatokuelewaAmeomba radhi! Seems alijua ni jina la utani lakini hakujua linahusishwa na ulemavu. Itakuwa ajabu hili tukitaka kulifanya topic.
Nashauri likomee hapo, kulizungumza zaidi halitamuumiza tu Zitto bali hata ndugu yetu. Mengine tuache yapite.
Hujafa hujaumbika!
Kwa jinsi Zitto Kabwe alivyo siyo busara kumkejeli mwenzake kwani naye ana hitalafu nyingi tu mwilini mwake, ajiheshimu.
Labda kama hakusema ila wanamsingizia.
Kiuhalisia Chiba ni mtu aliyezaliwa akiwa na miguu isiyolingana.
Naunga mkono hojaAnatakiwa ajiuzulu mara moja uongozi wa Jukwaa la Wanasiasa.
Huyu Zitto Kabwe ana dini kweli?
Upo sawa ila maana yake anajua ndo maana kamuiata ni neno la kitambo tuAmeomba radhi! Seems alijua ni jina la utani lakini hakujua linahusishwa na ulemavu. Itakuwa ajabu hili tukitaka kulifanya topic.
Nashauri likomee hapo, kulizungumza zaidi halitamuumiza tu Zitto bali hata ndugu yetu. Mengine tuache yapite.
CHADEMA kama chama kimefanya nini kuhusu kauli ya Zitto?Shughulisha akili we jamaa!Chadema bhana!