Zitto Kabwe amdhihaki Tundu Lissu kwa kumuita CHIBA. Aomba radhi baada ya kulalamikiwa

Acheni kukaza ubongo sasa. Ashawaomba msamaha na kutaja sababu iliyofanya akafanya hivo. Amekiri na kuomba radhi.

Binafsi nimemsamehe.
 
Inawezekana kuwa vigumu kuamini, lakini Zitto ameonyesha dhahiri kuwa ni LIMBUKENI, kutokana na mambo mengi anayoonyesha siku hizi hadharani.
Naona kuna jambo mhimu linalomsumbua akilini, jambo ambalo hana uwezo wa kulisawazisha ili akili yake itulie.
 
Zito huwa hajiangalii kwenye kioo nafikiri halafu huwa anafikiri ataishi milele kama babake msoga!
 
Anatakiwa ajiuzulu mara moja uongozi wa Jukwaa la Wanasiasa.

Huyu Zitto Kabwe ana dini kweli

Anakosa uhalali na hadhi ya kuwa KIONGOZI WA JUKWAA LA WANASIASA. A leader of such an August body should be of high integrity, inspirational and EMPATHETIC ! Vigezo vyote hivyo ZITTO hana.
 

Ni sawa nilipewa hadithi hii ni uncle wangu alikuwa mpenzi wa muziki zama hizo nikiwa mtoto sana.
 
Wewe ni miongoni mwa Mazuzu mliojaza makaeatasi nyumbani mkidani mmeelimika kumbe wajinga wakubwa. Kuwait'a watu Misukule na kusema wenzio hawajasoma huko kusoma kunaishia kiwango gani cha elimu?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni miongoni mwa Mazuzu mliojaza makaeatasi nyumbani mkidani mmeelimika kumbe wajinga wakubwa. Kuwait'a watu Misukule na kusema wenzio hawajasoma huko kusoma kunaishia kiwango gani cha elimu?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile
Aliyekwambia mi nimesoma nani?!!!!
 
Ameomba radhi! Seems alijua ni jina la utani lakini hakujua linahusishwa na ulemavu. Itakuwa ajabu hili tukitaka kulifanya topic.

Nashauri likomee hapo, kulizungumza zaidi halitamuumiza tu Zitto bali hata ndugu yetu. Mengine tuache yapite.
Hivi kwa nafasi ya mtu kama Zitto ni kweli anaweza kutumia neno asilolijua maana yake?
 
Duh...!.
Mkuu Zitto , ukipata muda, endelea kupitia bandiko hili, na uyafanyie kazi mapungufu yaliyoainishwa.

P
 
Sawa shaibu katibu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…