Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Acheni kukaza ubongo sasa. Ashawaomba msamaha na kutaja sababu iliyofanya akafanya hivo. Amekiri na kuomba radhi.
Binafsi nimemsamehe.
Binafsi nimemsamehe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskhara maskhara mbuzi kazaa na mama yake mkuu!Dah!...umeenda mbali Sana mkuu...tusifike huko.
Si ndio mnasemaga Zitto ni mdini?Anatakiwa ajiuzulu mara moja uongozi wa Jukwaa la Wanasiasa.
Huyu Zitto Kabwe ana dini kweli?
Anatakiwa ajiuzulu mara moja uongozi wa Jukwaa la Wanasiasa.
Huyu Zitto Kabwe ana dini kweli
Kwa kumbukumbu zangu, Kama sijasahau neno Chiba limetokana na mwimbaji mwenye asili ya Congo mikataba ya 80 alikua akiimbia bendi moja wapo,kati ya maquis du Zaire au orchestra Safari sound masantula,aliku na ulemavu wa mguu mmoja ulikuwa mfupi.naomba kusahihishwa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe ni miongoni mwa Mazuzu mliojaza makaeatasi nyumbani mkidani mmeelimika kumbe wajinga wakubwa. Kuwait'a watu Misukule na kusema wenzio hawajasoma huko kusoma kunaishia kiwango gani cha elimu?Sema nao hawa viongozi wa chadema nao wanamfuatafuata sana zitto. Hawaishi kumtolea maneno ya kukera kila siku hata akinyamaza vp. Wanamfuata katika chama chake, wanamfuata yeye binafsi kila uchwao. Anafuatwa na misukule ya mbowe hadi viongozi misukule km lema, lissu na heche. Watu peke ninaowaona smart kichwani, yaani hawana huu ujinga ujinga wa kumfuatilia zitto kiboyaboya kwa sasa, ni mbowe na angalau mnyika. Mbowe hajasoma sana lkn kina tobo na huyu lema inabidi wasubiri sana kumfikia.
Zitto km binadamu, tena mwenye jinsi ya kiume, anaweza kuudhika na kujikuta anajibu mapigo km hivyo wakati mwingine kutoka na tabia hizo za kidada za kina lema. Wabadilike, waache siasa za kishamba na kizamani hizo.
Aliyekwambia mi nimesoma nani?!!!!Wewe ni miongoni mwa Mazuzu mliojaza makaeatasi nyumbani mkidani mmeelimika kumbe wajinga wakubwa. Kuwait'a watu Misukule na kusema wenzio hawajasoma huko kusoma kunaishia kiwango gani cha elimu?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile
Hivi kwa nafasi ya mtu kama Zitto ni kweli anaweza kutumia neno asilolijua maana yake?Ameomba radhi! Seems alijua ni jina la utani lakini hakujua linahusishwa na ulemavu. Itakuwa ajabu hili tukitaka kulifanya topic.
Nashauri likomee hapo, kulizungumza zaidi halitamuumiza tu Zitto bali hata ndugu yetu. Mengine tuache yapite.
Duh...!.Zitto sasa amevuka mpaka na shime ndugu Tundu usimchekee tena hasa kwa hatua hiyo ya kukudhalilisha kwa kilema chako.
Hii ndiyo Tweet aliyoandika Twitter wakati akijibu hoja ya mdau
Baada ya kulalamikiwa na wadau, Zitto Kabwe aliomba msamaha na kudai kuwa hakuwa anajua maana ya neno ''CHIBA'' kama linamaanisha mlemavu, bali alijua ni maneno ya vijana tu
Nukuu
Kwa kweli sikufahamu kama jina Chiba linahusiana na ulemavu. Nilidhani ni majina ya Vijana ya kutaniana. Mama yangu mzazi alikuwa mlemavu kamwe siwezi kutweza ulemavu wa Mtu. Naomba radhi sana Kwa hili. Hakika Sio Sawa. Uzee umeingia tunapitwa na majina ya mtaani. Mniwie radhi
Sawa shaibu katibu mkuuInawezekana attacks anazopewa Zitto siku za karibuni zimemvuruga ameamua kufunguka kwa namna aliyofanya, atibue makusudi kisha aombe radhi.
Lakini pia inawezekana sababu aliyoitoa Zitto binafsi ni ya kweli, hakujua maana halisi ya hilo neno hasa ukizingatia neno lenyewe ni moja kati ya yale yanayozuka mitaani kila kukicha.
Hivyo basi, kwa upande wangu naona bora nikubaliane na sababu ya Zitto kwamba hakujua maana ya hilo neno, kwani kistaarabu mtu akikukosea halafu usipoikubali samahani yake ni wewe mkosewaji ndie utakuwa na matatizo, sio yeye mkosaji.
Kwamba umeamua kuidanganya akili yako[emoji23][emoji23]Sawa lakini jamaa hana umaarufu kama aliokuwa nao CHADEMA. He's the best loser. Hivyo yani