Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Jibu hoja kwa hoja.Huu sasa ni ukichaa!
Huyu mtu anazidi kuonyesha uhayawani alionao kichwani.
Na hawa ndio viongozi wanaotegemewa kuivusha Tanzania?
BURE KABISA.
Kama ubongo wako unafanya kazi, elezea kwanini ni muhimu kuanza na Katiba mpya ambayo mwisho wa siku itapigiwa kura na zoezi hilo litasimamiwa tume ile ile mnayosema haipo huru ?