Alimchukua Membe then akapiga double U-turn dakika ya mwisho bila makubaliano na MembeHuko ni kutapatapa, hakuna lolote! apambane na hali yake... Alitegemea nini kumchukua Membe ili kumaliza upinzani tz. Malipo ni hapa hapa duniani
He who laughs last laughs longer.Ahahahahaaa 🤣🤣🤣🤣
Ajipange tu kwa ajili ya 2025.
Nilitembelea Kigoma mwezi Januari nikaongea na wanakigoma wengi walisema kuwa kama CCM watamweka mgombea anayekubalika lazima Zitto apotee kwenye ulingo wa siasa Kigoma. Kweli vijana wa Kigoma walinieleza ukweli. Na Zanzibar Maalim ameshindwa uchaguzi.Mgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.
Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Tarajia Gambo kutangazwa mshindi.Arusha vp wakuu!??
Mbona Zitto ni CCM toka enzi za kikwete,amempisha mwenzake tu huku yeye akipangiwa mikakati mingine.Mgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.
Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Zanzibar Maalim ameshindwa. Mwinyi ni Rais wa Zanzibar!!Arusha vp wakuu!??