Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ccm inapendwa sana na watznia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm inapendwa sana na watznia
Nilitembelea Kigoma mwezi Januari nikaongea na wanakigoma wengi walisema kuwa kama CCM watamweka mgombea anayekubalika lazima Zitto apotee kwenye ulingo wa siasa Kigoma. Kweli vijana wa Kigoma walinieleza ukweli. Na Zanzibar Maalim ameshindwa uchaguzi.
Kinachokuchekesha ni nini mzee? Utafurahia Mambo ya hovyo yanayofanywa na Chama tawala?Ahahahahaaa 🤣🤣🤣🤣
Ajipange tu kwa ajili ya 2025.
Weekend hii nitangusha mbuzi mbili na pilau la nguvu watoto na mjirani waburudike
Nikajua kila kura ya CCM ikipigwa itageuka maji.
Kumbe ni mkwara tu.
Haya sasa awafuate World Bank wakampe ajira.
Hakuna uchaguzi Tanzania sasa bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi woteMgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.
Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Piga spana piga spanaKinachokuchekesha ni nini mzee? Utafurahia Mambo ya hovyo yanayofanywa na Chama tawala?
Kwa uchaguzi upi? Hakuna uchaguzi Tanzania kuna ushetani wa CCM kuubaka kuulawiti uchaguzi tuZanzibar Maalim ameshindwa. Mwinyi ni Rais wa Zanzibar!!
Huko ni kutapatapa, hakuna lolote! apambane na hali yake... Alitegemea nini kumchukua Membe ili kumaliza upinzani tz. Malipo ni hapa hapa duniani
Wengi wa wapi? Wengi wa huko gheto unaposhinda ukivuta Bangi?Manung'uniko ya watu wachache hayana shida, wengi ndo tumeamua iwe hivyo.
Watanzania wa wapi Huko? au watanzania wa hapo gheto kwa cyprian Musiba mnaposhinda mkivuta Bangi?Ccm inapendwa sana na watznia
Ingia road utawakuta wanakusubiri wenzako,unazidi kuchelewa. Acha sisi viongozi wenu tulale na wake zetu.Mambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege
Pole endelea na stress zako!Kwa uchaguzi upi? Hakuna uchaguzi Tanzania kuna ushetani wa CCM kuubaka kuulawiti uchaguzi tu
Hakuna uchaguzi Tanzania bali kuna vioja vya maigizo ya ushetani wa CCMKinachokuchekesha ni nini mzee? Utafurahia Mambo ya hovyo yanayofanywa na Chama tawala?
Hakuna uchaguzi Tanzania wewe kubali kataaPole endelea na stress zako!
Pole.Kutokana na laana na manung'uniko ya watu, hili Bunge litakumbwa na mikosi mpaka watajuta.
Mrisho gambo ndio mshindi, Hai anaitwa saashicha mafue .wote hawa ni ccmArusha vp wakuu!??