Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

Jamani tuwapongeze CCM lakini. Wanajua sana kuiba kura. Wanaiba kiufundi kweli. Mimi ninawafanananisha na jinsi mwanademokrasia mwenzao hayati Sadaam Hussein alivyokuwa anashinda uchaguzi huko Iraq kwa asilimia 99.9%. Well done CCM. Nadhani Polepole atapata deal ya kualikwa nchi zingine akawafundishe jinsi ya kuiba kura kiulaini kama walivyofanya kwenye uchaguzi huu. Safi sana. Kidumu Chama Cha Majambazi. I’m sorry hiyo ni typo. My bad. Nilimaanisha kidumu Chama Cha Mapinduzi.
 
Mambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege
Labda ukachome baiskeli ya BABA ako...........ujachoma hata boksa ya bwana ako unataka kuchoma ndege uku ujawai hata kuipanda .....imeisha hiyoooooooo
 
Mgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.

Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Hongera komradi Kirumbe Ng'enda, pole Zitto! Hapa kazi tu, kazi inaendelea.
 
Mgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.

Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Hukuwa na hoja mkuu za kukupa kura eti madege yampigie kura ila ulifurahisha sana hahahaha
 
Huko ni kutapatapa, hakuna lolote! apambane na hali yake... Alitegemea nini kumchukua Membe ili kumaliza upinzani tz. Malipo ni hapa hapa duniani
Zito zuberi kwabwe si wa kumwamini hata kwa 1/3 ni mtu fulani hivi wa pande mbili mbili upinzani kaeni macho.
 
Back
Top Bottom