Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manung'uniko ya watu wachache hayana shida, wengi ndo tumeamua iwe hivyo.Kutokana na laana na manung'uniko ya watu, hili Bunge litakumbwa na mikosi mpaka watajuta.
Wako wengi wa design yako ambao huwa hawapendi maendeleo ya wengine, akisikia mwenzake kapata shida anafanya sherehe.Weekend hii nitangusha mbuzi mbili na pilau la nguvu watoto na mjirani waburudike
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Zitto mroge Magufuli,hakuna namna.
Sema NEC ndio imeamua.Manung'uniko ya watu wachache hayana shida, wengi ndo tumeamua iwe hivyo.
Unaujua uchawi wa kanda ya ziwa au unausikia tu?Zitto mroge Magufuli,hakuna namna.
Labda ukachome baiskeli ya BABA ako...........ujachoma hata boksa ya bwana ako unataka kuchoma ndege uku ujawai hata kuipanda .....imeisha hiyooooooooMambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege
Hapa sijakuelewa mkuu.Zitto alikuwa sawa na wassira
Nipe MUALIKOWeekend hii nitangusha mbuzi mbili na pilau la nguvu watoto na mjirani waburudike
Hongera komradi Kirumbe Ng'enda, pole Zitto! Hapa kazi tu, kazi inaendelea.Mgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.
Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Msiseme HAMKUAMBIWA...Mambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege
Hukuwa na hoja mkuu za kukupa kura eti madege yampigie kura ila ulifurahisha sana hahahahaMgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.
Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Gambo atatangazwa muda sio mrefu.Arusha vp wakuu!??
Zito zuberi kwabwe si wa kumwamini hata kwa 1/3 ni mtu fulani hivi wa pande mbili mbili upinzani kaeni macho.Huko ni kutapatapa, hakuna lolote! apambane na hali yake... Alitegemea nini kumchukua Membe ili kumaliza upinzani tz. Malipo ni hapa hapa duniani
Uchawi ni fix tu.Zitto mroge Magufuli,hakuna namna.
Muage kabisa majumbani kwenuMambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege