Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wananchi wote wa tz wanaipenda ccmWatanzania wa wapi Huko? au watanzania wa hapo gheto kwa cyprian Musiba mnaposhinda mkivuta Bangi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi wote wa tz wanaipenda ccmWatanzania wa wapi Huko? au watanzania wa hapo gheto kwa cyprian Musiba mnaposhinda mkivuta Bangi?
Kigoma ipi ulikwenda? au kigoma ya wifi yako hapo gheto? Usiwasemee watu wa kigoma hawajawahi kukutuma huo uongoHuu ni ukweli usio na shaka.
Kigoma is my home, nimetoka huko mwezi uliopita nimeshangaa sana kuona watu hawataki kusikia habari ya Zitto wala Mzito.
Yaani ndugu yangu amechokwa!
Wananchi wapi unawasemea? Maana hakuna mwananchi mwenye Akili timamu anaipenda CCMWananchi wote wa tz wanaipenda ccm
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege
Kumbe umeenda kumpora jimbo kisa miaka 15 ?Zitto naye hajatosheka jamani miaka 15 yote amekula yeye tu.
Wewe elewa kwamba ccm inapendwaWananchi wapi unawasemea? Maana hakuna mwananchi mwenye Akili timamu anaipenda CCM
Hakika. Si unaona mazwazwa kibao humu JF yanafurahia hatari.Hakuna uchaguzi Tanzania bali kuna vioja vya maigizo ya ushetani wa CCM
Uchaguzi upi imekwisha? Kulikuwa na uchaguzi wapi? Kwa Tume ipi? Hakuna uchaguzi Tanzania kuna vioja vya CCM kuubaka kuulawiti uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniMshana Jr siyo vizuri namna hii! Utakaaje kimya hivi? Tuijenge Tanzania yetu sasa uchaguzi umekwisha.
Daaaaaah..Weekend hii nitangusha mbuzi mbili na pilau la nguvu watoto na mjirani waburudike
CCM ingekuwa inapendwa isingefanya ushetani wa kuulawiti kuubaka uchaguzi huu kwa njia haramu za kishetaniWewe elewa kwamba ccm inapendwa
ID yake inaonesha hawezi,ana bwabwaja tu mtandaoni mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah' sheeeda, mkuu unaweza?
Kigoma ipi ulikwenda? au kigoma ya wifi yako hapo gheto? Usiwasemee watu wa kigoma hawajawahi kukutuma huo uongo
CCM kwa ujinga wao wanafurahia ushetani wao wakijona wajanja wamesahau kuwa hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa Ubaya ni Aibu kubwaHakika. Si unaona mazwazwa kibao humu JF yanafurahia hatari.
Kama mliona hakuna Tume huru kwanini hamkufuata ushauri wa kutoshiriki kabisa?Uchaguzi upi imekwisha? Kulikuwa na uchaguzi wapi? Kwa Tume ipi? Hakuna uchaguzi Tanzania kuna vioja vya CCM kuubaka kuulawiti uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
Zitto mroge Magufuli,hakuna namna.
Watz wanaipenda sana ccm ndio maana wapo majumbani wanafurahia ushindi wa ccm kwa amani. Kinyume na hapo wangekuwa mabarabarani wanaandamana.CCM ingekuwa inapendwa isingefanya ushetani wa kuulawiti kuubaka uchaguzi huu kwa njia haramu za kishetani
Weekend hii nitangusha mbuzi mbili na pilau la nguvu watoto na mjirani waburudike
Pole sana.Mambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege