Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

Kutokana na laana na manung'uniko ya watu, hili Bunge litakumbwa na mikosi mpaka watajuta.
Mkuu Salary Slip, wewe ndiye uliyeongoza kwa bandiko za matukio na kuwasema watu (characteristics of small minds) na hukutaka na ulipuuza ushauri wangu kuhusu kutetea Sera zenu za "Uhuru, Haki, Maendeleo ya Watu - CHADEMA na Kazi na Bata - ACT-Wazalendo.

Hamkujali kauli za chuki, uchochezi na dharau za wagombea wenu dhidi ya Utawala.

Mliamini habari za mitandaoni na kuweka " video" na picha zilizochachuliwa ili kuonesha wagombea wenu walipendwa.

Hamkujua kuwa vijana waliowashabikia wagombea wenu walikuwa si wapiga kura na wengine walifanya hivyo kwa ushabiki wakitegemea kupata chochote ama kupewa na wagombea au kuwapora waliohudhuria kampeni.

Mlijua kuwa mnalishana matango pori humu JF lakini mlifunga milango yenu ya ufahamu na utambuzi.

KWA HERI UPINZANI na ASANTE KUSHIRIKI, tuonane 2025
 
Zitto ana nguvu kubwa sana kuliko unavyofikiria hub ulikuwa uteuzi na sio uchaguzi MZEE. Jamaa yenu mliempa hana hamasa wala nguvu ndani ya mkoa zaidi ya nyumbani kwake usiwe unadanganya watu wote wenye kujielewa wako na zitto

Nguvu iliyomuweka ndio iliyomuangusha.
Acha ubishi, Zitto amechokwa!
 
Haya matusi ya kibwege ya kishamba hutumiwa na wavuta Bangi wala unga ni matusi yamepitwa na wakati ulimwengu wa sasa hawatumii matusi ya kishamba kama yako jenga hoja acha ufala wewe mbweha

Aunt unataka nikuongeze?
Huna power ya kujanga hoja na mimi.
Tuliza kijambio chako!
 
Wizi mkuu wa karne ya 21, majizi yanaenda kuunda serikali
 
Mkuu Salary Slip, wewe ndiye uliyeongoza kwa bandiko za matukio na kuwasema watu (characteristics of small minds) na hukutaka na ulipuuza ushauri wangu kuhusu kutetea Sera zenu za "Uhuru, Haki, Maendeleo ya Watu - CHADEMA na Kazi na Bata - ACT-Wazalendo.

Hamkujali kauli za chuki, uchochezi na dharau za wagombea wenu dhidi ya Utawala.

Mliamini habari za mitandaoni na kuweka " video" na picha zilizochachuliwa ili kuonesha wagombea wenu walipendwa.

Hamkujua kuwa vijana waliowashabikia wagombea wenu walikuwa si wapiga kura na wengine walifanya hivyo kwa ushabiki wakitegemea kupata chochote ama kupewa na wagombea au kuwapora waliohudhuria kampeni.

Mlijua kuwa mnalishana matango pori humu JF lakini mlifunga milango yenu ya ufahamu na utambuzi.

KWA HERI UPINZANI na ASANTE KUSHIRIKI, tuonane 2025
U amaze me kwa kweli, I guess I overrated you to the max. Hauna tofauti na wenzio.

Hvi irregularities zimeongelewa mpaka na observers ila wewe unabisha. Hao US walisema uchaguzi ulikua huru 2015 ila leo wanadai una changamoto lukuki then wewe ulieshiba kuku ukiwa umekunja nne mbele ya Flast screen ndio unadai wapinzani wameshindwa kisa wahudhuriaji mikutano hawapigi kura?

Anyway tuone hilo bunge la chama kimoja litaleta ufanisi gani. Maana majitu meusi hamuelewi bado umuhimu wa checks and balances!! Mnaona upinzani kma mapepo hivi yasiyohitajika duniani.
 
Kutokana na laana na manung'uniko ya watu, hili Bunge litakumbwa na mikosi mpaka watajuta.

Hahahah we jamaa umeanza kupiga ramli sio..

Ndio nyie demu akiwakataa mnadhani atakuwa na maisha magumu na nyie mtafanikiwa afu arudi analia. Endelea kujipa moyo.
 
Aunt unataka nikuongeze?
Huna power ya kujanga hoja na mimi.
Tuliza kijambio chako!
Mie najua matusi yote lakini matusi ya viungo vya mwanadamu ni matusi hutumiwa na watu washamba na humu JF ukitumia matusi ya kishamba kama yao inaonekana ni mshamba kama wewe
 
Mie najua matusi yote lakini matusi ya viungo vya mwanadamu ni matusi hutumiwa na watu washamba na humu JF ukitumia matusi ya kishamba kama yao inaonekana ni mshamba kama wewe

Imekuingia hiyo.
Pole aunt!
 
Nilitembelea Kigoma mwezi Januari nikaongea na wanakigoma wengi walisema kuwa kama CCM watamweka mgombea anayekubalika lazima Zitto apotee kwenye ulingo wa siasa Kigoma. Kweli vijana wa Kigoma walinieleza ukweli. Na Zanzibar Maalim ameshindwa uchaguzi.
Zitto hata 2015 alibebwa tu na ccm
 
Back
Top Bottom