Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

Mambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daah' sheeeda, mkuu unaweza?
Mm nitapqnda na nyundo kule juu, kutwa nzima kazi yangu ni hiyo.
 
Watanzania wazalendo wamefarijika Sana, wazandiki walipopigwa mwereka wa nguvu. Tanzania ya kijani.
 
Mgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.

Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Akose tuu. Mtu anayeweza kuandika barua kisirisiri ili tusiokua na uwezo tukose hata support ya kusomesha watoto wetu!!!
Huyo sio muwakilishi wa wananchi ila anatumia migongo ya wananchi kuisaliti nchi yao kwa faida ya tumbo lake
 
Zito alimsifia Sana Magufuli bungeni kipindi anaingia Madarakani Sasa kaonja joto ya jiwe
Wakati ule alikuwa anataka kupewa cheo, yaani ilikuwa kilemba cha ukoka. JPM rais bora kabisa kutokea Tanzania. 5 years sio Watanzania tu wanaomsifia hata mataifa makubwa wanamuhusudu.

1603995317155.png
 
Back
Top Bottom