Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Kafulila leo lazima afanye party huko halipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha...wazee wa vyeti feki mnahasira hasa, pambaneni na khali aisee.Wengi wa wapi? Wengi wa huko gheto unaposhinda ukivuta Bangi?
Mm nitapqnda na nyundo kule juu, kutwa nzima kazi yangu ni hiyo.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daah' sheeeda, mkuu unaweza?
GayiiSema kapotezwa siyo amepoteza. CCM imeshinda nchi nzima kwa kishindo.
Watanzania sio wajinga. The boy is stupid.Ahahahahaaa 🤣🤣🤣🤣
Ajipange tu kwa ajili ya 2025.
ampelekee moto tu ndio iliyobakiZitto mroge Magufuli, hakuna namna.
Akose tuu. Mtu anayeweza kuandika barua kisirisiri ili tusiokua na uwezo tukose hata support ya kusomesha watoto wetu!!!Mgombea wa CCM jimbo la Kigoma mjini, Kilumbe Ng'enda ametangazwa mshindi baada ya kupata kura 27, 688 huku Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo akipata kura 20, 600. Akitangaza matokeo hayo msimamizi wa uchaguzi, jimbo hilo Mwailwa Pangani amesema kura zilizopigwa ni 50268.
Zitto: Licha ya kuingiza kwenye vituo kura zilizokwishapigwa zipatazo 15,850 (kura 50 kila Kituo cha kupigia kura ) nimemshinda Mgombea wa CCM kwa kura 5218. Hata hivyo Mgombea wa CCM katangazwa mshindi kwa tofauti ya kura 7000. Tunafungua ukurasa Mpya wa mapambano ya demokrasia nchini.- Zitto Kabwe.
Zitto mroge Magufuli, hakuna namna.
Wakati ule alikuwa anataka kupewa cheo, yaani ilikuwa kilemba cha ukoka. JPM rais bora kabisa kutokea Tanzania. 5 years sio Watanzania tu wanaomsifia hata mataifa makubwa wanamuhusudu.Zito alimsifia Sana Magufuli bungeni kipindi anaingia Madarakani Sasa kaonja joto ya jiwe
Mtaji wa zito kulima sio wa jembe la mkono kama weweAje tulime
Hata bungeni alikataa kutoka 😂😂Zito alimsifia Sana Magufuli bungeni kipindi anaingia Madarakani Sasa kaonja joto ya jiwe
Usinisahau kwenye mnusoWeekend hii nitangusha mbuzi mbili na pilau la nguvu watoto na mjirani waburudike
Asee kwakweli jamaniAje tulime
Zambi nduguMambo ndiyo kwanza yameiva. Fanyeni mobilization ya kutosha kwa wananchi ili waingie barabarani tuanze kubomoa flyovers na kuchoma madege