Zitto Kabwe asema Kikwete alimwambia CCM hakina muda mrefu madarakani na kumshauri abaki upinzani. Aliahidiwa uwaziri wa fedha iwapo angejiunga CCM

Mtasema mengi
 
Zitto sio wa kumuamini saana maneno yake
CCM miaka yote inahonga vyeo kuvutia wapinzani. Kina Gekul, Patrobas, Kitila, Mollel, Shonza, Waitara n.k wote walipewa uwazir au unaibu waziri walipohamia CCM!! so sishangai kama zitto aliahidiwa pia
 
So baada ya Zitto kuamua kwenda upinzani ndio akaelekea Chadema, baadae ndio akaanza kutumiwa na Kikwete kukivuruga Chadema kwa mikutano yao ya usiku akiulizwa akasema Kikwete ni sawa na baba yake..
Lema alimpigia mzee kikwete kuhusu kurudi nyumbani
 
Hili la Zitto kutumika na Kikwete hakuna asiyelifahamu na ndio maana alitimuliwa Chadema mapema sana , Hata Mahakamani alikuwa analindwa na Walinzi waliolipwa na Kikwete , nani amesahau ?
Utasema uliziona hizo pay slip za kikwete kwa hao walinzi,chakubimbi Sana wewe
 
Kichwa cha habari hakivutii kuendelea kusoma.
Yaani chama kitakufa lakini akaahidiwa uwaziri kama angejiunga nacho.!
 
Unakwenda Chama fulani sababu ya itikadi / ideology yako inaendana na hicho Chama au unakwenda sababu ni Platform ya wewe kupata Kula ?

Hizi siasa ni maigizo tu kwa taxpayers expense....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…