Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.

Screenshot 2024-12-30 at 09.34.47.png


Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
 
Zitto ni mzito mnoo kama akili zake

Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?

Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?

Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
 
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.


Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
Hamna mtu atatuma pesa nyumbani if serikal yao imewawekea vikwazo kibao. Majirani tu hapo kenya they have a best system, hata ghana, diaspora wana uhuru wa kuwekeza nyumbani kwa usalama.

Bongo ukitaka kufanya hivyo, rushwa, majungu, na wakuu wanataka wapate chochote
 
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.


Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
Wajinga wakubwa nyie mshinde mnabishania Yanga na Simba, kubett, kusikiliza bongo fleva, kufanya uzinzi na madudu mengine mkisubiri Diaspora wafanye kazi wawaletee hela nyie mmekaa tu? Fanyeni kazi
 
Hamna mtu atatuma pesa nyumbani if serikal yao imewawekea vikwazo kibao. Majirani tu hapo kenya they have a best system, hata ghana, diaspora wana uhuru wa kuwekeza nyumbani kwa usalama.

Bongo ukitaka kufanya hivyo, rushwa, majungu, na wakuu wanataka wapate chochote
Kwanza utaambiwa unataka kugombea ubunge unaanza kufuatiliwa hovyo
 
Zitto ni mzito mnoo kama akili zake

Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?

Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?

Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
Kapumbavu kama wapumbavu wenzake. Badala ya kushauri serikali iweke mifumo rafiki kwa Watanzania kuweza kupata fursa nje ya nchi, kenyewe kanabwabwaja tu. Nakashauri kajikite katika haya
1. Serikali kupunguza masharti magumu ya Mtz kupata passport.
2. Kushauri Mabalozi watangaze fusra zilizopo nje ya nchi
Otherwise kanyamaze tu
 
Zitto ni mzito mnoo kama akili zake

Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?

Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?

Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
Zitto ni tapeli, wahindi na wachina wanakuja bila hata laptop lakini wanakuja kutajirikia hapa bongo yeye akisubiri kutumiwa pesa huku anafanya uzinzi na kubetty
 
Kapumbavu kama wapumbavu wenzake. Badala ya kushauri serikali iweke mifumo rafiki kwa Watanzani kuweza kupata fursa nje ya nchi, kenyewe kanabwabwaja tu. Nakashauri kajikite katika haya
1. Serikali kupunguza masharti magumu ya Mtz kupata passport.
2. Kushauri Mabalozi watangaze fusra zilizopo nje ya nchi
Otherwise kanyamaze tu
Zitto ni wale wale anapenda vitu vya bure bila kufanya kazi
 
wananchi tupo bize kukamliwa na TRA ili tupate maendeleo lakini ,viongozi wapo bize kuhamisha hela zetu kwenda nje kwenye account zao na nakumbuka, zitto miaka hiyo alikuwa na list ya wanaohamisha hela za hazina kwenda uswis,je nani anataka kuleta hela yake ambayo anaihangaikia harafu mtawala aichukue kwa masirahi yake baadala ya masirahi ya wananchi,kila mtu afe na chake ngoja tunaokamliwa tuendelee kukamuliwa
 
Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.
Waliandaliwaje kabla ya kwenda huko?
Je hao wenye kutumiwa wanajitambua?
Je waliotuma wakalizwa walisaidiwaje?
Tusiwalaumu tu hao nasi tujitazame tupo sawa?
 
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.


Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
Na uchoyo na kulalama
 
Zitto ni mzito mnoo kama akili zake

Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?

Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?

Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
sasa wanajadili nini huko clubhouse kuhusu Tanzania kama hawatambuliki?🤣

hiyo si ni kupoteza muda tu gentleman? 🐒
 
Zitto ni mzito mnoo kama akili zake

Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?

Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?

Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
Very cheap of you

Kumtumia mama yako fedha ya kula ni Lazima serikali iingilie?

How do you empower your people (whom you are trying to insinuate kwamba wanadhulimiwa na serikali) Kwa kuwa Tuma support?

Do you think utamnyanyua mnyonge Kwa kumyima support?

Hapa umeongea pumba kabisa
 
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.


Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
Warudi watazame hata mazingira ya kutuma hizo pesa. Pesa zinazoingia kenya kutoka nje nyingine sio za kutumwa diaspora, ni malipo ya watu kufanya kazi online na walipaji wengi wanalipa kwa njia ya Paypal kwa sababu inawapa guarantee ya usalama ya wanachokilipia tofauti na njia nyingine.
Nara tu ya mtanzania hapa walimletea chokochoko. Serikali nayo inabidi iangalie hizi sheria zao za kuzuia baadhi ya platforms. Mimi kwa mwaka kuna pesa yangu nyingi itaonekana imeenda kenya kwa sababu natumia Paypal ya Kenya kupokea pesa. Na ni vijana wengi wa Tanzania wana Paypal accounts za Kenya kwa sababu ya sheria za fedha za TAnzania zinazoifanya Paypal TZ isiweze kupokea pesa.
We fikiria platform nyingi za kutuma na kupokea pesa toka nje, zina option ya mtumaji kuchagua anayetumiwa apokee pesa moja kwa moja kwa mpesa safaricom. Mfano, Skrill, Wise, na mitandao kibao ikiwemo mitandao ya kazi kama upwork mtu anaweza kuhamisha pesa yake direct kwenye safaricom Mpesa.
Haya mambo yanajengewa misingi sio kwamba yanatokea kwa bahati mbaya.
 
Back
Top Bottom