Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

Kuchangia kwa maana ya kupeleka ela kwa familia na ndugu zao sio kuchangia miradi ya umma

Hela sio ela.

Ni lazima kuchangia ndugu na familia? Kwa sheria Ipi? Kwanini wao wasijitafutie? Huyo diaspora anachangiwa na nani?
 
Kiongozi kuna maeneo ukienda (kama una marafiki) sahihi. Hapo mnapeana deal tu.

Mara ya mwisho walikuwa wana kutana mitaa ya Victoria station nilikuwa na rafiki mghana miaka 10 iliyopita alikuwa anataka niende sana kwenye hizo session huko (diaspora wa nchi zote za Africa wanakutana na kupeana deals walizokamata) unaweza pewa deal mtu anatafuta kiwanja ajenge nyumba mia (we mpe business plan na mtafutie kiwanja).

Mwingine anakwambia China huko kuna kampuni ina mabasi yamebakiza kama maili 30,000 kwa viwango vyao as residual value (si unajua hawa na hesabu zao PPE) mpe deal ya kuyatumia; kwa kifupi hapo kuna ma deal ya kufa mtu.

We na akili zako timamu utoke ulaya ukagombee nafasi za serikali na wenyewe humu. Sasa huko ulaya umejifunza nini. Bado elimu yako inalipa huko kushinda Tanzania.

Hakuna kitu special hao wakenya wanafanya sio kwamba watanzania hawawezi ila siasa zetu zinatia uvivu watanzania; sema wakenya wapo too ambitious only.
Ni vizuri kupeana michongo kama kuna uaminifu wa hali ya juu
Mimi Nana miaka zaidi ya 30 hapa London ila sijuani na watu wengi na sio kwa ubaya
Ila sio mbaya kujua biashara zinavyoenda na kama kuna connection
Wakenya nimekutana nao sana kwenye migahawa na wengi wako kwenye biashara na wengine wamehamia kabisa Tz na kutuma vitu hapa
Hao nawajua na wanakuambia wanachofanya kama upo interested unafanya nao
Ila ni vizuri kuwa pamoja na kushirikiana kwa mambo mema
Ila kwa kweli sisi tumedhulumiwa sana haki zetu huko kama dual
 
Mulokozi mnayemsifia billionaire si alikuwa diaspora?

Vinginevyo mnataka watu waletę hela gani.

Wengine hawashindwi kuleta hela huko, lakini sio kwa serikali ya sasa.

Diaspora serious ili kuwekeza Tanzania wanataka usimamizi wa nchi kama wa Magufuli.

Watanzania ni tatizo, hata huko walipo usidhani diaspora wote hasa wenye mafanikio wanaongea na kila raia wa nchi zao.

Ni stress lakini si kwamba kuna diaspora hawajui yule dada wa ki-Ghana aliyefungua kiwanda cha machungwa Muheza kikafunguliwa na ‘bi-tozo’ na kuajiri source yake ya fund.

If anything fund ya yule dada ilikuwa ni kwa ajili ya miradi ya Tanzania tu kupitia source yake ya serikali vinginevyo angeenda wekeza kwao Ghana. Same waganda, wakenya na diaspora wengine wanaowekeza Tanzania source ni hizo hizo.

Sio kwamba watanzania hawajui sources, isipokuwa hao watu hawaijui Tanzania kama watanzania wenyewe. Watanzania wakifikiria hadithi za vibali, kusimamia mradi wenyewe (kwa kuelewa culture yetu) government bureaucracy, energy shortages na mlolongo mwingine wa kero it’s not worth it kwao.

May be we are not ambitious, lakini siasa zetu pia ni kikwazo.
Huyo magufuli si ndie alikuwa anachota hala za watu kwenye account za bank
 
Haya mambo yakupenda pesa za kitonga toka nje ndo maana vijana wanaharibiwa madifu.......na uzuri jamaa wameshasoma akili za wengi humu,,,,,huku unavutwa na mwarabu huku unavutwa na mzungu ukileta njaa za kijinga unakatiwa dolare ila ndo hivyo unatolewa vyeo
 
ni muhimu sana kufuatilia mambo haya kwa karibu na umakini mkubwa bila kuzira 🐒

Jibu lingekua fupi kuliko hayo maelezo. Huo utaratibu umeanza lini? State the date.
 
Ni lazima wachangie? Kwa katiba na sheria Ipi?
Hawa kina Zitto ama kwa kujua, ama bila kujua, wanaongozwa na chuki na ujinga.

Wangeongozwa kwa mantiki wangejua kuwa kuwagawanya raia kwa vigezo vya umasikini na utajiri, walio diaspora na walio nyumbani, si siasa nzuri, ni ujinga tu.
 
Zitto ni mzito mnoo kama akili zake

Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?

Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?

Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
Huu ndio ukweli,imagine unakomaa kubeba boksi kwa miaka 3 usiku na mchana hulali vizuri baadae unamtumia mtu pesa ili asimamie projects zako hela zinatafunwa na mradi haufanywi baadae ukiulizia update unapewa kiswahili.
Sasa ni nani mjinga atakayeenda kupambana nje ya nchi kwa ajili ya kumtumia mtu mwingine pesa,haina mantiki
 
Siku zote watu wanaongelea Diaspora lakini hata maana ya neno Diaspora lina maana gani hawajui.
Kuna watu wanaongelea habari za uchumi hata neno uchumi hawajui maana yake.
Binafsi sizani kama tunaitaji Diaspora watume pesa nyumbani bali tunaitaji elimu/ujuzi waliopata huko walipo utusaidie kama Taifa.
 
Ni vizuri kupeana michongo kama kuna uaminifu wa hali ya juu
Mimi Nana miaka zaidi ya 30 hapa London ila sijuani na watu wengi na sio kwa ubaya
Ila sio mbaya kujua biashara zinavyoenda na kama kuna connection
Wakenya nimekutana nao sana kwenye migahawa na wengi wako kwenye biashara na wengine wamehamia kabisa Tz na kutuma vitu hapa
Hao nawajua na wanakuambia wanachofanya kama upo interested unafanya nao
Ila ni vizuri kuwa pamoja na kushirikiana kwa mambo mema
Ila kwa kweli sisi tumedhulumiwa sana haki zetu huko kama dual
Jichanganye na watu sahihi, ulaya deal kila kona kiongozi.
 
Mulokozi mnayemsifia billionaire si alikuwa diaspora?

Vinginevyo mnataka watu waletę hela gani.

Wengine hawashindwi kuleta hela huko, lakini sio kwa serikali ya sasa.

Diaspora serious ili kuwekeza Tanzania wanataka usimamizi wa nchi kama wa Magufuli.

Watanzania ni tatizo, hata huko walipo usidhani diaspora wote hasa wenye mafanikio wanaongea na kila raia wa nchi zao.

Ni stress lakini si kwamba kuna diaspora hawajui yule dada wa ki-Ghana aliyefungua kiwanda cha machungwa Muheza kikafunguliwa na ‘bi-tozo’ na kuajiri source yake ya fund.

If anything fund ya yule dada ilikuwa ni kwa ajili ya miradi ya Tanzania tu kupitia source yake ya serikali vinginevyo angeenda wekeza kwao Ghana. Same waganda, wakenya na diaspora wengine wanaowekeza Tanzania source ni hizo hizo.

Sio kwamba watanzania hawajui sources, isipokuwa hao watu hawaijui Tanzania kama watanzania wenyewe. Watanzania wakifikiria hadithi za vibali, kusimamia mradi wenyewe (kwa kuelewa culture yetu) government bureaucracy, energy shortages na mlolongo mwingine wa kero it’s not worth it kwao.

May be we are not ambitious, lakini siasa zetu pia ni kikwazo.
Mtanzania aliyepo kwenye system fulani ya kutoa vibali akisikia ni Mtanzania mwenzake ndiye anayeanzisha uwekezaji mkubwa anaumia na anaombea ufeli wazo lako lisifanikiwe,ila akisikia muhusika ni mgeni anafurahia na kibali kitatolewa chapchap.
 
Mtanzania aliyepo kwenye system fulani ya kutoa vibali akisikia ni Mtanzania mwenzake ndiye anayeanzisha uwekezaji mkubwa anaumia na anaombea ufeli wazo lako lisifanikiwe,ila akisikia muhusika ni mgeni anafurahia na kibali kitatolewa chapchap.
Ni shida.

Tanzania ni bado, kwenye uwekezaji wa ndani in terms of value addition.

Bado kuna fursa kubwa sana.
 
Ukisoma somo la propaganda Kuna kitu kinaitwa "SCAPEGOAT" wanasiasa watanzania wanajifanya kuwarushia mpira wananchi kama ndio tatizo la Tanzania ilihali kimsingi tatizo la Tanzania ni Wanasiasa waliopewa mamlaka ya kuongoza nchi na vibaraka wao.
 
Back
Top Bottom