kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
inakuwaje zito alalamike sana ruhusuni haraka mambo yanedaInasikitisha sana, inafedhehesha sana kwakweli.
Infact,
Serikali ya Tanzania inawatambua waTanzania wanaoishi ughaibuni, na tayari uko utaratibu maalumu wa kuwatambua kisheria,
kwahiyo hakuna haja ya wadau kuibua visingizio ambavyo havipo.
watume pesa na mali kwa ndugu jamaa na marafiki zao tahadhari, waache ubahili 🐒