Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

Zitto ni mzito mnoo kama akili zake

Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?

Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?

Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
Zitto ni mpumbavu tena karithi upumbavu kutoka kwa baba yake na mama yake labda amuwajui wazee wake walikuwa je😁😁😁😁
 
Diaspora nao wangekuwa bize na maisha yao badala ya kupiga siasa mtandaoni. Kuhusu kutuma hela hapo ni jambo lingine linalohitaji umakini. Wabongo wengi tuna changamoto ya uaminifu. Watu walichangia Join the Chain ya CHADEMA bila kujua wanachangia hela za kujenga hekalu la Mbowe na baadhi ya chawa wake.
Kupiga siasa mitandaoni ni haki yao ya kikatiba na kibinadamu. Na inawezekana kabisa wako busy na maisha yao wanakwenda Clubhouse ku unwind kwa kuongea siasa za Bongo.

Ukiwa na watu 1,000 kila mtu anaongea dakika 5 mpaka 10 unaweza kuona hawa watu hawamalizi kuongea kumbe wanapokezana.

Watanzania kama Zitto hawajui haki za binadamu ni nini, na hapo ndiyo wamesoma chuo kikuu na kuwa viongozi wa siasa.

Wangekuwa hawajasoma na hawajaongoza siasa sijui ingekuwa vipi.
 
Mulokozi mnayemsifia billionaire si alikuwa diaspora?

Vinginevyo mnataka watu waletę hela gani.

Wengine hawashindwi kuleta hela huko, lakini sio kwa serikali ya sasa.

Diaspora serious ili kuwekeza Tanzania wanataka usimamizi wa nchi kama wa Magufuli.

Watanzania ni tatizo, hata huko walipo usidhani diaspora wote hasa wenye mafanikio wanaongea na kila raia wa nchi zao.

Ni stress lakini si kwamba kuna diaspora hawajui yule dada wa ki-Ghana aliyefungua kiwanda cha machungwa Muheza kikafunguliwa na ‘bi-tozo’ na kuajiri source yake ya fund.

If anything fund ya yule dada ilikuwa ni kwa ajili ya miradi ya Tanzania tu kupitia source yake ya serikali vinginevyo angeenda wekeza kwao Ghana. Same waganda, wakenya na diaspora wengine wanaowekeza Tanzania source ni hizo hizo.

Sio kwamba watanzania hawajui sources, isipokuwa hao watu hawaijui Tanzania kama watanzania wenyewe. Watanzania wakifikiria hadithi za vibali, kusimamia mradi wenyewe (kwa kuelewa culture yetu) government bureaucracy, energy shortages na mlolongo mwingine wa kero it’s not worth it kwao.

May be we are not ambitious, lakini siasa zetu pia ni kikwazo.
Yaani Magufuli aliyekuwa anapota pesa za watu ndio anatakiwa na diaspora gani? 😆😆😆😆😆

Huyo huyo Mwendazake wako ndio alizuia hata pesa za NGOs Kwa visingizio rundo.

Alipora watu forex harafu unaropoka ? Kuwa serious wewe msukule wake.

Mwisho tuna watu wachache sana huko Nje ya Nchi ndio maana hela ni chache na Watanzania hawataki kuwenda kuishi Nje Ili kutafuta fursa huko
 
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.

View attachment 3188343

Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
Pesa zenyewe ndio tuletewe watanzania sisi tinaoamini kuiba ndio kufanikiwa kwetu.Bora zisije kuibiwa.
 
Mkuu ulichoandika umewaza mara mbili? Nani amekwambia diaspora and the like hawatumi pesa kwa wazazi wao? Umejuaje na kwa factor gani? Hoja aliyojibiwa Jepesi Kabwela ni hoja jumuishi, akimaanisha watu watume pesa za maendeleo ya nchi kama nchi, mfano investment, na sio kutuma hela (ya kula) kwa wazazi kama ambavyo unajaribu kusema.
Nimemuelewa na nimeelewa hoja

Na nimejibu one specific aspect ya hoja because niliyemjibu alitaka kuhamisha mada
 
Mapema mwaka huu 2024 nilishuhudia mteja mmoja benki "akigogora" kwa sauti sana na Teller kisha manager. Kisa alizuiliwa "ku-withdraw" fedha alizotumiwa akitakiwa aeleze anazipeleka wapi.
Bila shaka ni nmb hao,
 
Aisee hizi changamoto za Diaspora zi adresiwe wanufaishe watu wao bhana
 
Zitto Kabwe ameingia katika mtego wa watu wengi wajinga wa kuabudu pesa, kushindwa kuchunguza mambo kwa kina, na kutoa kauli znazoongozwa na chuki.

Mwanasiasa anayetoka nchi yenye masikini wengi kuwanyanyapaa watu kuwa ni masikini ni ujinga.

Mwanasiasa anatakiwa kuwanyanyua watu wake, kuwapa matumaini, kuwaonesha njia. Si kuwasimanga kwa maneno ya jumlajumla yanayoongozwa na hisia za chuki zaidi ya mantiki.

Anaonesha haielewi nchi yake, hajielewi yeye mwenyewe na hawaelewi diaspora.
Sema kiongozi siyo mwanasiasa.

Hawa karibu wote walio ktk madaraka ya siasa na serikali siyo viongozi.

Kuna tofauti kubwa zisizo mkabala kati ya Leader na Manager. Wote maowaita viongozi siyo viongozi ni ma manager
 
Pumbavu kabisa.

Mletewe pesa za nini?

Acheni uvivu. Acheni kuwa tegemezi.

Fanyeni kazi mtengeneze pesa zenu wenyewe.

Msipende na msiendekeze vitu vya kupewa.
 
Sema kiongozi siyo mwanasiasa.

Hawa karibu wote walio ktk madaraka ya siasa na serikali siyo viongozi.

Kuna tofauti kubwa zisizo mkabala kati ya Leader na Manager. Wote maowaita viongozi siyo viongozi ni ma manager
Zitto si kiongozi. Si kiongozi mzuri anyway.

Kiongozi hawagawi wananchi kwa umasikini na utajiri, walio nyumbani na diaspora.

Kiongozi hawaambii wananchi "nyie masikini tu".

Anawaonesha jinsi ya kutajirika.
 
Hakuna kutembea na mafurushi ya pesa ,tuma
Nihamishe hela kutoka Absa bank SA iingie Tanzania hao DRD unawajua au unawasikia mazee hayo magari tu tukileta ya biashara wanakufungia TIN namba mpaka utoe maelezo ya kutosha na rushwa..
 
Back
Top Bottom