Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Inasikitisha sana, inafedhehesha sana kwakweli.Do you want the government kukutambua ndio utume pesa Kwa mama au baba?
Infact,
Serikali ya Tanzania inawatambua waTanzania wanaoishi ughaibuni, na tayari uko utaratibu maalumu wa kuwatambua kisheria,
kwahiyo hakuna haja ya wadau kuibua visingizio ambavyo havipo.
watume pesa na mali kwa ndugu jamaa na marafiki zao tahadhari, waache ubahili 🐒