Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

Zitto na yeye Mbona anajionyesha ni mjinga sana?

Kenya ina Diaspora zaidi ya milioni tatu. Tanzania ina Diaspora laki tano.

Kweli anataka watu milioni tatu watume pesa nyumbani sawa na laki tano?

Wakenya waliruhusiwa Kusafiri na kusoma nje miaka mingi sana. Watanzania hata kupata passport ilikuwa mpaka upate scholarship ya serikali.

Pia Watanzania waliaminishwa miaka na miaka kwamba ukiishi nje wewe sio mzalendo. Wakaanza kuogopa hata kwenda nchi jirani. Hao Wachache walioenda ndio sasa mnataka kukamua mpaka damu?

Wakenya Diaspora wamepewa uraia pacha, Watanzania ni chenga kila siku.

Zitto, I hope Unajua mahesabu. Watu milioni tatu pesa wanazotuma nyumbani haziwezi kufanana na za watu laki tano.
 
Zitto Kabwe kwanza anajua ugumu wa kupata passport nchi hii??

Hiyo passport inavyopatikana kwa mbinde kama hisani na maswali chungu nzima unaweza tamani kutuma pesa kweli ukiwa huko ughaibuni??
 
K
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.

View attachment 3188343

Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
Kwa kweli
 
Siku zote watu wanaongelea Diaspora lakini hata maana ya neno Diaspora lina maana gani hawajui.
Kuna watu wanaongelea habari za uchumi hata neno uchumi hawajui maana yake.
Binafsi sizani kama tunaitaji Diaspora watume pesa nyumbani bali tunaitaji elimu/ujuzi waliopata huko walipo utusaidie kama Taifa.
Hoja kama hii inaonesha udogo wa mawazo ya Zitto.

Badala ya kuipigia lelele serikali iruhusu dual citizenship kama Kenya watu wapate uhuru wa kuchangia kwa njia zote, hali na mali, anaongozwa na akili fupi ya kuangalia pesa na kuingilia uhuru wa watu kujieleza tu.

Kiongozi wa upinzani anawanyanyapaa watu kutumia haki yao ya kibinadamu kujieleza mitandaoni kweli?

Huyu ni mpinzani au msaidizi wa kitengo cha usalama wa taifa anaziba watu midomo wasiongee?
 
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.

View attachment 3188343

Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
Mapema mwaka huu 2024 nilishuhudia mteja mmoja benki "akigogora" kwa sauti sana na Teller kisha manager. Kisa alizuiliwa "ku-withdraw" fedha alizotumiwa akitakiwa aeleze anazipeleka wapi.
 
Zitto na yeye Mbona anajionyesha ni mjinga sana?

Kenya ina Diaspora zaidi ya milioni tatu. Tanzania ina Diaspora laki tano.

Kweli anataka watu milioni tatu watume pesa nyumbani sawa na laki tano?

Wakenya waliruhusiwa Kusafiri na kusoma nje miaka mingi sana. Watanzania hata kupata passport ilikuwa mpaka upate scholarship ya serikali.

Pia Watanzania waliaminishwa miaka na miaka kwamba ukiishi nje wewe sio mzalendo. Wakaanza kuogopa hata kwenda nchi jirani. Hao Wachache walioenda ndio sasa mnataka kukamua mpaka damu?

Wakenya Diaspora wamepewa uraia pacha, Watanzania ni chenga kila siku.

Zitto, I hope Unajua mahesabu. Watu milioni tatu pesa wanazotuma nyumbani haziwezi kufanana na za watu laki tano.
Wakenya walianza kusafiri kwenda nje tangu miaka ya 70 so Mkenya anaposafiri kwenda nje anakuwa na connection tayari,tofauti na mtanzania ukienda nje unaanza mwenyewe from zero hadi uje kusimama it takes long time haiwezi kuwa sawa.
 
Warudi watazame hata mazingira ya kutuma hizo pesa. Pesa zinazoingia kenya kutoka nje nyingine sio za kutumwa diaspora, ni malipo ya watu kufanya kazi online na walipaji wengi wanalipa kwa njia ya Paypal kwa sababu inawapa guarantee ya usalama ya wanachokilipia tofauti na njia nyingine.
Nara tu ya mtanzania hapa walimletea chokochoko. Serikali nayo inabidi iangalie hizi sheria zao za kuzuia baadhi ya platforms. Mimi kwa mwaka kuna pesa yangu nyingi itaonekana imeenda kenya kwa sababu natumia Paypal ya Kenya kupokea pesa. Na ni vijana wengi wa Tanzania wana Paypal accounts za Kenya kwa sababu ya sheria za fedha za TAnzania zinazoifanya Paypal TZ isiweze kupokea pesa.
We fikiria platform nyingi za kutuma na kupokea pesa toka nje, zina option ya mtumaji kuchagua anayetumiwa apokee pesa moja kwa moja kwa mpesa safaricom. Mfano, Skrill, Wise, na mitandao kibao ikiwemo mitandao ya kazi kama upwork mtu anaweza kuhamisha pesa yake direct kwenye safaricom Mpesa.
Haya mambo yanajengewa misingi sio kwamba yanatokea kwa bahati mbaya.
hii nchi kila kitu ni uozo tu,....kuna wakati nilihiitaji sana SKRILL,...nilihangaika mpaka nikanyoosha mikono juu🙌🙌
 
hii nchi kila kitu ni uozo tu,....kuna wakati nilihiitaji sana SKRILL,...nilihangaika mpaka nikanyoosha mikono juu🙌🙌
Ulitaka kufungua akaunti mkuu? Mbona ni rahisi mkuu sema itabidi ufoji proof of address maana template wanayotaka huwezi kuipata tanzania so huwa tunazifoj.
 
Zitto na yeye Mbona anajionyesha ni mjinga sana?

Kenya ina Diaspora zaidi ya milioni tatu. Tanzania ina Diaspora laki tano.

Kweli anataka watu milioni tatu watume pesa nyumbani sawa na laki tano?

Wakenya waliruhusiwa Kusafiri na kusoma nje miaka mingi sana. Watanzania hata kupata passport ilikuwa mpaka upate scholarship ya serikali.

Pia Watanzania waliaminishwa miaka na miaka kwamba ukiishi nje wewe sio mzalendo. Wakaanza kuogopa hata kwenda nchi jirani. Hao Wachache walioenda ndio sasa mnataka kukamua mpaka damu?

Wakenya Diaspora wamepewa uraia pacha, Watanzania ni chenga kila siku.

Zitto, I hope Unajua mahesabu. Watu milioni tatu pesa wanazotuma nyumbani haziwezi kufanana na za watu laki tano.

Unachosema ni kweli.

Nilikaa na mshua mmoja alikuwa anafanya kazi East African Community ya mwanzo.

Anasema katika community wenzao Waganda na Wakenya walikuwa wanapeana mipango ya kwenda nje kusoma na kufanya kazi.

Upande wa Tanzania ilikuwa mtu akitaka kufanya kazi au kusoma nje anaonekana yeye si mzalendo.
 
Diaspora nao wangekuwa bize na maisha yao badala ya kupiga siasa mtandaoni. Kuhusu kutuma hela hapo ni jambo lingine linalohitaji umakini. Wabongo wengi tuna changamoto ya uaminifu. Watu walichangia Join the Chain ya CHADEMA bila kujua wanachangia hela za kujenga hekalu la Mbowe na baadhi ya chawa wake.
 
Ulitaka kufungua akaunti mkuu? Mbona ni rahisi mkuu sema itabidi ufoji proof of address maana template wanayotaka huwezi kuipata tanzania so huwa tunazifoj.
duuh!,...aise mi nilichoka🤧🤧
mpaka nikaamua Nitumie crypto coins tu...
 
duuh!,...aise mi nilichoka🤧🤧
mpaka nikaamua Nitumie crypto coins tu...
Kwa Tanzania Skrill, Wise, Payoneer walau ni rahisi kuziverify. Wise ni straight forward kabisa. Hizi mbili zitahitaji uedit bank statement au utility bill kwa kuongeza physical address
 
Zitto ni mzito mnoo kama akili zake

Hela zao wazitume wapi wakati serikali yao haiwatambui na haijaweka mifumo salama ya fesha?

Wanawwtumia ndugu zao na wanadhulumiwa vibaya mno. Anataka hizo fedha atumiwe yeye?

Jamaa ni bogus sana. Hana reasoning brain
Kwa hiyo wao ni diaspora wa Nchi gani?
 
Kwa Tanzania Skrill, Wise, Payoneer walau ni rahisi kuziverify. Wise ni straight forward kabisa. Hizi mbili zitahitaji uedit bank statement au utility bill kwa kuongeza physical address
ok Asante sana MKUU,...
 
Hamna mtu atatuma pesa nyumbani if serikal yao imewawekea vikwazo kibao. Majirani tu hapo kenya they have a best system, hata ghana, diaspora wana uhuru wa kuwekeza nyumbani kwa usalama.

Bongo ukitaka kufanya hivyo, rushwa, majungu, na wakuu wanataka wapate chochote
Wanatuma sana tuu sema ni wachache Kwa sababu Watanzania hawapendi kusafiri
 
Kapumbavu kama wapumbavu wenzake. Badala ya kushauri serikali iweke mifumo rafiki kwa Watanzania kuweza kupata fursa nje ya nchi, kenyewe kanabwabwaja tu. Nakashauri kajikite katika haya
1. Serikali kupunguza masharti magumu ya Mtz kupata passport.
2. Kushauri Mabalozi watangaze fusra zilizopo nje ya nchi
Otherwise kanyamaze tu
Mfumo upo ila Watanzania hawapendi kutoka Nje ya Nchi na tafiti zinaonesha hivyo
 
Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa twitter amesema watanzania wote ni masikini hata wanaoishi nje ni maskini.

Anasema wakati diaspora wa nchi nyingine wakituma pesa kwenye nchi zao, diaspora wa Tanzania wanatulaza macho clubhouse kwa mjadala ambayo haieleti pesa.

View attachment 3188343

Naunga mkono mtazamo wa Zitto. Diaspora tuleteeni pesa nyumbani story za kwenye clubhouse hazitusaidii sana.
naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom