Zitto na yeye Mbona anajionyesha ni mjinga sana?
Kenya ina Diaspora zaidi ya milioni tatu. Tanzania ina Diaspora laki tano.
Kweli anataka watu milioni tatu watume pesa nyumbani sawa na laki tano?
Wakenya waliruhusiwa Kusafiri na kusoma nje miaka mingi sana. Watanzania hata kupata passport ilikuwa mpaka upate scholarship ya serikali.
Pia Watanzania waliaminishwa miaka na miaka kwamba ukiishi nje wewe sio mzalendo. Wakaanza kuogopa hata kwenda nchi jirani. Hao Wachache walioenda ndio sasa mnataka kukamua mpaka damu?
Wakenya Diaspora wamepewa uraia pacha, Watanzania ni chenga kila siku.
Zitto, I hope Unajua mahesabu. Watu milioni tatu pesa wanazotuma nyumbani haziwezi kufanana na za watu laki tano.
Kenya ina Diaspora zaidi ya milioni tatu. Tanzania ina Diaspora laki tano.
Kweli anataka watu milioni tatu watume pesa nyumbani sawa na laki tano?
Wakenya waliruhusiwa Kusafiri na kusoma nje miaka mingi sana. Watanzania hata kupata passport ilikuwa mpaka upate scholarship ya serikali.
Pia Watanzania waliaminishwa miaka na miaka kwamba ukiishi nje wewe sio mzalendo. Wakaanza kuogopa hata kwenda nchi jirani. Hao Wachache walioenda ndio sasa mnataka kukamua mpaka damu?
Wakenya Diaspora wamepewa uraia pacha, Watanzania ni chenga kila siku.
Zitto, I hope Unajua mahesabu. Watu milioni tatu pesa wanazotuma nyumbani haziwezi kufanana na za watu laki tano.