Zitto Kabwe: Diaspora hawatumi pesa nyumbani, kazi yao ni kukesha Clubhouse

inakuwaje zito alalamike sana ruhusuni haraka mambo yaneda
 
Dispora wa tz ni maskini, hawezi mtu kutoka kwenye mfuko wa ujamaa akafanikiwa mfumo wa kibepari
 
Leteni pesa. Tumezoea per diem, nyie mnatufanya tuna kesha bure na mijadara haina substance yoyote.
 
Clibhouse ndiyo iliyomharibu Tundu Lissu.
 
Pesa nitafute mwenyewe halafu Kuna mtu hamjawahi hata kuajiliwa anataka anipangie matumizi ya kuzitumia
 
Sio kazi ya Diaspora kuwaletea pesa nyumbani. Hiyo ni kazi ya serikali yenu.

Kwanza mmeweka vikwazo vingi kwa Diaspora hata kutoa uraia pacha hamtaki. Mnataka hela tu!!

Gaddamit!!

Wakenya wana uraia pacha, mtu anaweza kuwekeza huku na huku kwa uhuru bila bugudha.
 
Utume hela zije kugawiwa kama njugu na Sa100 kwenye magoli ya Simba na Yanga......
 
Kila mtu atengeneze pesa zake na matumizi tusipangiane.
 
Hapa kachemsha...
 
Wapeni uraia pacha kwanza ndio muwe na legitimacy ya kudai ndururu zao
 
Zitto angekuwa na akili sijuwi hii nchi ingekuwa wapi?
 
Team Lissu punguzeni matusi kwa Zitto mkimkerea akagoma kumpokea Lissu bosi wenu anawezaishia TLP
 
Angeanza kupiga kelele kwanza watanzania tupate passport kwa urahisi bila kulazimika kutoa rushwa tungemuona wa maana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…