Ma genius Kama Makonda, Sabaya walikua ndio vipenzi wake.Aaagh..!!, JPM alikuwa hapendi watu wajinga wajinga.
Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na marehemu kwani ni lazima tukiongea tumhusishe mtu aliyekufa tayari.
Diallo ye alisema yule jamaa alikua na file lake kabisa Milembe.Nimejiuliza hivi Salama na Zitto wote walijiamini nini? Kipindi cha leo Salama katoa airtime ya kutosha kwa Zitto kumsema Shujaa
Zitto anasema kama kuna Rais aliongoza kwa kujenga barabara basi ni Kikwete na sio Magufuli, hivyo watu waache kupotosha
Anasema Nyerere anakumbukwa kwa falsafa alizoziacha na sio miradi aliyojenga. Yaani leo Zitto kachafukwa mno
Zitto ni mwizi wa kisasa, nakumbuka enzi za akina Slaa Zitto alisumbua sana CHADEMA, mpaka akina Slaa wakawa wanamkaimisha ofisi Myika, Mpaka akina Kikwete wakamsaidia kumfungulia chama ili kuigawanya chadema. Bahati nzuri Magufuli alivyoingia tu madarakani alikuwa anajua mamluki wote, hivyo mamluki wote aliwasagia kunguni na ndio chanzo cha Zitto kuanza chuki na Magufuli. Zitto ni tapeli wa siasa tu, yeye kuuza mechi ili mkono uende kinywani haoni hasaraMuuaji mwendazake kafa
Usizuie mtu kutoa ya moyoni. Emotional ejaculation is a brain treatment.Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na marehemu kwani ni lazima tukiongea tumhusishe mtu aliyekufa tayari.
Wawe makini na Zitto ni ndumilakuwili na mnafiki wa kiwango cha SGR...
Zitto alimchukia Magufuli kwa kutoridhika na alichopata baada ya uchaguzi wa 2015!
Sio mtu wa kuaminika